Polisi yaanza kufuatilia tukio la Binti aliyebakwa na wanaume watatu

Ni ujinga wa kiwango cha lami. Badala kubdeal na mume unaenda ku deal na mwanamke mwanzako. Kazi hana, mume atamkosa na jela inamhusu. Wakati mwingine sijui watu wanafikiria kwa kutumia nini.
Hasira na kisasi ni kazi ya shetani ukijiona una pata hasira jitahidi sana kujidhibiti maana yake umetawaliwa na shetani kuna siku hasira zitakuponza
 
Raia hawaogopi aisee.!!
Dar usiku kuna mambo mengi sana....
Kuna hiyo wanaita usiku wa baikoko ni hatari mabinti wanakalia chupa humo ndani wakati wa shw singeli na matarumbeta watu wanakanyagana mwanzo mwisho
Hii miziki ya sahv isipopigwa stop
Mpaka kufika 2035 nchi itakuwa nyakanyaka

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…