cacutee
JF-Expert Member
- Apr 9, 2024
- 1,333
- 3,512
DuhKaribu Russia...sio sura tuu hadi mwili unaukunja,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhKaribu Russia...sio sura tuu hadi mwili unaukunja,.
Kiukweli maisha ya Tz hakuna kilevi unachokipenda basi utaishia kuwa kichaa au kujinyonga
Urusi pombe inanyweka Sana tena kaliKiukweli maisha ya Tz hakuna kilevi unachokipenda basi utaishia kuwa kichaa au kujinyonga
😀😀😀...🙌🏽🙌🏽🙌🏽Urusi pombe inanyweka Sana tena kali
Sema na ile ni nzito...Guinness stout ya Nigeria.
Shida mnaongelea pombe za misimu....ingawa kiafya ni salama kweli..,nipo shamba maji ya kunywa hamna..nawapa wanakijiji 5,000 walete ulanzi unakuja lita 20...afu mtamu kabisa..kiuu niliaribu kaz shamba la ekar mbili naliona kama ekar 10...mbaya zaid tukavamiwa na chuki zinanipiga naanguka tuu...mbio siwez..niliuchukia mpaka leoPombe safi na salama ni Mnazi na Ulanzi tu.
Mkuu mnazi bado kuisha kwa damuShida mnaongelea pombe za misimu....ingawa kiafya ni salama kweli..,nipo shamba maji ya kunywa hamna..nawapa wanakijiji 5,000 walete ulanzi unakuja lita 20...afu mtamu kabisa..kiuu niliaribu kaz shamba la ekar mbili naliona kama ekar 10...mbaya zaid tukavamiwa na chuki zinanipiga naanguka tuu...mbio siwez..niliuchukia mpaka leo
Sijawah kunywa...hata kuiona..Mkuu mnazi bado kuisha kwa damu
Ya kweli hayo..??!Watoe Mbowe na Mkapa, hawa ni walevi chakari mpaka wanavunjika miguu.
So mkuu wewe binafsi ukiondoa kuchakata mbususu/ papuchi ukitaka kufanya relaxation na recreational activities huwa unafanya nini your can share kwa faida ya wengi..Sinywi uchafu mimi.
Pombe ni uchafu flan hiv uliovikwa pambo la ustaarabu. Ila ni ujinga kama ujinga mwingine wowote ule
Hizi bia bingwa ziliuzwa huku TANZANIA mwishoni mwa miaka ya 90's sizani Kama zinapatikana recently..View attachment 3002312linauzwa buku 1300,nikitoka shambani kulima,nikirudi nyumbani mama chanja uwa ananiandalia kabisa nakaa juu ya tractor nikishushia taratibu
Na bila shaka ww utakuwa mwanaume wa dar tu 😂Mimi ni mwanaume lakini mara moja moja hua najificha nyuma ya choo napiga haka kakitu baridi sanaaa.. utamu wake ni zaidi ya nanii 😊
Songea,mbeya zipo za kutosha sanaHizi bia bingwa ziliuzwa huku TANZANIA mwishoni mwa miaka ya 90's sizani Kama zinapatikana recently..