Noted
 
Now she got a six year old,
Trying to keep him warm,
Trying to keep out the cold,
When he looks in her eyes,
He don't know he is safe,
When she says,

She tells him oh love,
No one's ever gonna hurt you love,
I'm gonna give you all of my love,
Nobody matters like you,

She tells him your life,
Ain't gonna be nothing like my life,
You gonna grow and have a good life,
I'm gonna do what I've got to do,

So rockabye baby rockabye,
I'm gonna rock you,
Rockabye baby don't you cry,
Somebody's got you,
Rockabye baby rockabye,
I'm gonna rock you,
Rockaby baby don't you cry,
Rockabye.
 
Hahaa dogo..jamaa gani alienizalisha?
Mi sijazaa bado.naongea kwa niaba yao
Sipendi wanachofanyiwa
Halafu hapa ndipo ninapowashangaa sana baadhi ya watu humu JF yaani mwanamke yeyote anayewatetea single mothers basi na yeye kashakuwa single mother yaani kazi kweli kweli
 
Kabla mpira haujaanza team moja tayari imepewa goal
FIFA Tunaomba Muangalie Kama Kuna Fair Play Hapa
Mbona wapo wanaume wana watoto na wanaoa wanawake wasio na watoto?? Au hapo inakuwa siyo timu moja imepewa goli??
 
Vipi na wewe Ni mhanga wa paragraph ya mwisho?
 
07689990 nipigie kwenye hiyo namba single mother tuone jins gan nakutafuna
 
Wengine utakuta Mama zao ni Single Mother lakini ndio wanaongoza kwa kuwasema Single Mother kila kukicha, siyo vizuri kabisa Single Mother nao ni Binadamu kama walivyo Binadamu wengine.
Ni kweli.na hata kama inaonekana ni kosa wtambue Mao ni binadamu wanakosea
Mambo ya kuandamana yanakera
 
Hey..unashauri wachororpoe mimba kuepuka kuwa singo mother?
Wish..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…