Girland
JF-Expert Member
- Jan 24, 2016
- 2,489
- 4,253
In worst scenario, maamuzi yapi ni sahihi?I think ots high time tuache kuwasumbua hawa wanawake na kuwa objectify kisoro.
The reason ya mwanamke kutoa mimba au kua singo maza n sisi sisi wanaume amd here we are trying to see yupi n bora.
Tuanze kuacha unafki wa kuwabagua between the two na tuwe honest kuhakikisha hawapitii vitu kama hivi na dharau like this kwenye jamii.
Povu ruksa!