PONGEZI: Mary Pius Chatanda Mwenyekiti Mpya UWT, Rais Samia aitaka UWT kuwaunganisha na kuwakwamua wanawake nchini

PONGEZI: Mary Pius Chatanda Mwenyekiti Mpya UWT, Rais Samia aitaka UWT kuwaunganisha na kuwakwamua wanawake nchini

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Joined
Jul 10, 2020
Posts
2,823
Reaction score
2,466
IMG-20221128-WA0198.jpg

RAIS SAMIA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 10 UWT JIJINI DODOMA.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan azungumza na Viongozi, wageni mbalimbali pamoja na Wajumbe wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) akifungua Mkutano Mkuu wa 10 wa Jumuiya hiyo uliofanyika kwenye ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma tarehe 28 Novemba, 2022.
IMG-20221128-WA0133.jpg
IMG-20221128-WA0130.jpg


IMG-20221128-WA0193.jpg


IMG-20221128-WA0199.jpg


Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa UWT Taifa
IMG-20221128-WA0197.jpg


MARY CHATANDA MWENYWKITI MPYA UWT TAIFA,

IMG-20221128-WA0201.jpg

 
Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,

Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Kwa hiyo awanyoshe Watanzania?. Mbona wakati fulani mna hoja za kipumbavu sana??. Talk about development Acha Uchawa na Ukunguni wa Kitoto.
 
Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,

Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Hujui chochote kuhusu uhusika wa huyu Maria kwenye siasa za hovyo alizofanya Jimbo ya Arusha mjini kipindi cha Kamanda Mkuu Lema. Kaa kimya
 
Back
Top Bottom