Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Kwa hiyo awanyoshe Watanzania?. Mbona wakati fulani mna hoja za kipumbavu sana??. Talk about development Acha Uchawa na Ukunguni wa Kitoto.Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Alifanya mambo gani Arusha?Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Please be ware it's the matter of old guard,Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
aliwanyoosha chadema unaota au uko macho ccm ni mazuzu ndio maana huwa nawambia.Huyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Hujui chochote kuhusu uhusika wa huyu Maria kwenye siasa za hovyo alizofanya Jimbo ya Arusha mjini kipindi cha Kamanda Mkuu Lema. Kaa kimyaHuyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Acha muendele kuburuzwaHuyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Huchui Mary Chatanda alichowafanya CHADEMA kweli Arusha Au unacomment usichokijua?aliwanyoosha chadema unaota au uko macho ccm ni mazuzu ndio maana huwa nawambia.
Huchui Mary Chatanda alichowafanya CHADEMA kweli Arusha Au unacomment usichokijua?
Mary Pius Chatanda, anaweza akawa mhadizabe huwezijua mkuuUdini hapo Vipi?
Kwa comment yako hiyo nimekudharau mara elfu zaidiHuyu Mary Chatanda aliwanyoosha sana CHADEMA kule Arusha nadhani ndio maana wanawake wamekuwa na imani nae sana,
Hongera Sana CHATANDA, Yale uliyoyafanya Arusha yafanye Sasa Tanzania nzima,
Mama hana hizo Siasa, Alitaka akisaidie Chama ngazi ya TaifaKwa hiyo Mama alishindwa kumkata Kate Kamba baada ya kumkata uenyekiti CCM mkoa Dar ikambidi amlete huku UWT maana alijua hatakatika
Hapa je?Sijaelewa wakuu kwenye duara namna gani hapo?View attachment 2430084