Hao wanaolalamika udini wao wenyewe ndio WADINI, wakabila na wabaguzi wasio wakweli na waliojawa na unafiki wa kunuka.
Magufuli ali Fanta chaguzi za upande mmoja tena uapendao. Aliwapendelea watu wa ukanda Mmoja na Wakristo wa Madhehebu ya Kikatoliki peke, huku akiwatenga KKT na madhehebu zinginezo, Mbona hamkusema lolote wakati huo.
Elimu na maarifa unayodhani unayo kukufanya uandike huu ujinga mbele za Mungu ni UPUMBAVU..una upumbavu kichwani vema unyamaze vile sasa unafahamu upumbavu wako..ongelea yale akili yako inayafahamu, lakini ya Mungu mwachie Yeye na wenye neema waliojaliwa kuyafahamu au omba neema ujaliwe kuyafahamu pia.
Elimu na maarifa unayodhani unayo kukufanya uandike huu ujinga mbele za Mungu ni UPUMBAVU..una upumbavu kichwani vema unyamaze vile sasa unafahamu upumbavu wako..ongelea yale akili yako inayafahamu, lakini ya Mungu mwachie Yeye na wenye neema waliojaliwa kuyafahamu au omba neema ujaliwe kuyafahamu pia.