Pongezi mwanaJF "National Anthem, kwa kupata watoto mapacha

Umeanza mbali sana, ila sijui chuki inatoka wapi mkuuπŸ€”πŸ€”
Mkuu siwezi kumchukia mtu nisiyemfahamu.
Sina sababu na haitotokea.

Hofu yangu naona kama vile uzi ni wa kufurahisha tu.
Hii ni jf nimeona mengi, kabla ya kuamini jambo huwa napenda kujiridhisha.

Humu masihara ni ruksa so nisipoamini kirahisi sio rambi.
Mkuu siwezi kukuchukia hujawahi nikosea
 
I mean no malice to nobody, Hawa Ni marafiki zangu was karibu.
πŸ‘‰ Taarifa hizi nimepokea kutoka kwao, nikaona SI Jambo baya nikiwapongeza
 
Congratulations πŸŽ‰πŸ‘πŸŽ‰πŸŽ‰ kwake #ASAP
Mm pia soon πŸ”œπŸ”œ mwakani ntakupa mrejesho inshallah.....na Mimi uni post...
πŸ˜ŠπŸ˜ŠπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜„πŸ€“πŸ€“
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…