Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali

Kweli Paskali...Ngoma ikilia sana hupasuka. Na mbwembwe ziwe na kiasi na staha.
 
mara aingie na baiskeli, mara aingie na fuso, na hizo simu za maagizo sasa mawaziri wanabidi waitikie tu..
kweli makonda ni" content creator"
ila kwa shangwe anazopewa na wanaomsikiliza kwenye mikutano yake ni wazi tatizo kubwa kwa wananchi wetu ni elimu.. haya maigizo wengi wanayafurahia na kusema makonda ni magufuli mpya, mtetezi wa wanyonge na mkombozi... hahahaah aisee hii nchi inahitaji miaka mingine 60 ndo tuupate uhuru halisi, hichi kizaz kilichokosa elimu kipite kije kizazi kipya ambacho angalau kila raia ana ka elimu ka form 4 na diploma kanakomuwezesha kupambanau mambo na kujui kipi ni fiksi na kipi ni uhalisia.

swali la kujiuliza, ccm imetawala yenyewe tangu uhuru, leo unaposema unatetea wanyonge, unawatetea wanyonge dhidi ya nani? aliyewaacha kwenye umaskini na unyonge ni nani? anayeifisadi nchi na kutowajibika ni nani? aliyeshindwa kutatua migogoro tangu uhuru ni nani?
yan ccm hyohyo ikupige halafu ccm hyohyo ikupe pole, na leso ya kufuta machozi.
ndo maana nasema yote ni maigizo, mpaka wananchi tutapoamua kila uchaguzi kupima hoja na kuchagua chama chochote, hapo tutakuwa tumejikomboa na tutaheshimiwa na hawa tunaowachagua, lakin huu ushabiki wa mkumbo tutaendelea kuwa watumwa, kulipa kodi ili wao na wenza wao walipane mishahara na posho.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali


Mtu anaenda ongea na Marehemu huku analia, halafu anasema yeye ni Mkristo, mambo ya aibu haya.
 
Wala hakumbuki hata ni maagizo yapi katoa Hadi Sasa, na mrejesho wa kufanyiwa kazi! Dhalimu alitumia mbinu hii hii akawa anapata nyomi ya kutengenezwa, ilipofika wakati wa kampeni akawa anaona wenye nyomi ya ukweli. Hali ile ilimpa shida akawa anapelekwa garage Kila mara, alipoona hivyo akaamua apore mchakato wa uchaguzi maana alijua atakutana na matokeo asiyoyapenda.
TUjikite zaidi ni kwenye mada za makonda kuliko kuzungumzia mtu asiyehusika .Mwisho wa siku hilo nyomi halimkumpa kura aliyekuwa na nyomi ya kweli si ndio maana yako!
 
Wala hakumbuki hata ni maagizo yapi katoa Hadi Sasa, na mrejesho wa kufanyiwa kazi! Dhalimu alitumia mbinu hii hii akawa anapata nyomi ya kutengenezwa, ilipofika wakati wa kampeni akawa anaona wenye nyomi ya ukweli. Hali ile ilimpa shida akawa anapelekwa garage Kila mara, alipoona hivyo akaamua apore mchakato wa uchaguzi maana alijua atakutana na matokeo asiyoyapenda.
Na baada ya kupora uchaguzi dhamira ikawa inamhukumu akaamu kufa
 
mara aingie na baiskeli, mara aingie na fuso, na hizo simu za maagizo sasa mawaziri wanabidi waitikie tu..
kweli makonda ni" content creator"
ila kwa shangwe anazopewa na wanaomsikiliza kwenye mikutano yake ni wazi tatizo kubwa kwa wananchi wetu ni elimu.. haya maigizo wengi wanayafurahia na kusema makonda ni magufuli mpya, mtetezi wa wanyonge na mkombozi... hahahaah aisee hii nchi inahitaji miaka mingine 60 ndo tuupate uhuru halisi, hichi kizaz kilichokosa elimu kipite kije kizazi kipya ambacho angalau kila raia ana ka elimu ka form 4 na diploma kanakomuwezesha kupambanau mambo na kujui kipi ni fiksi na kipi ni uhalisia.

swali la kujiuliza, ccm imetawala yenyewe tangu uhuru, leo unaposema unatetea wanyonge, unawatetea wanyonge dhidi ya nani? aliyewaacha kwenye umaskini na unyonge ni nani? anayeifisadi nchi na kutowajibika ni nani? aliyeshindwa kutatua migogoro tangu uhuru ni nani?
yan ccm hyohyo ikupige halafu ccm hyohyo ikupe pole, na leso ya kufuta machozi.
ndo maana nasema yote ni maigizo, mpaka wananchi tutapoamua kila uchaguzi kupima hoja na kuchagua chama chochote, hapo tutakuwa tumejikomboa na tutaheshimiwa na hawa tunaowachagua, lakin huu ushabiki wa mkumbo tutaendelea kuwa watumwa, kulipa kodi ili wao na wenza wao walipane mishahara na posho.
Yaani watu wanashangilia kudanganywa kama watoto wa chekechea
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Katibu mwenezi siyo msemaji wa chama
Kazi yake ni kueneza sera za chama siyo kutoa maagizo na amri kwa mawaziri na waziri mkuu
 
Nilikua sijakuelewa


Nko nafatilia Hotuba zake muda Huu .


Kwa aina ya Viongozi wetu Afrika, anachofanya Makonda ni kizuri Sanaa Sanaa, ila Kwa watu watamfitinisha na Mkuu wa Nchi ionekane kama Makonda ,anataka kua na umaarufu mkubwa kuliko Mkuu wa Nchi
 
Nilikua sijakuelewa

Nko nafatilia Hotuba zake muda Huu .

Kwa aina ya Viongozi wetu Afrika, anachofanya Makonda ni kizuri Sanaa Sanaa, ila Kwa watu watamfitinisha na Mkuu wa Nchi ionekane kama Makonda ,anataka kua na umaarufu mkubwa kuliko Mkuu wa Nchi
Never outshine your boss!.
Mwenezi ni No. 7 kwenye hierarchy ya chama, ana mabosi 6 juu yake M/Kiti, M/Kiti Bara, M/Kiti ZnZ, KM, NKM Bara, NKM ZnZ ndipo anakuja Mwenezi!.
P
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Well said. Sasa mjomba wangu P, mbona keshaharibu? Kuvua GAMBA hakuibadili NYOKA ilivyo. Kwetu sie WATOTO wa MWL (RIP GENIOUS), huyu jamaa hapiti kwenye chujio la sifa za KIONGOZI tunaemtaka. Kwanza ni narcissist, less endowed kichwani kutokana ba tamshi zake mwenyewe, rude, ... na huenda kama ni kweli, KATILI sana. Mtu unajimwambafy hadi kukosa adabu madhabahuni kweli? Rejea alivohuzuria msiba wa Mzee Mengi, kwangu mimi Bibamu (RIP). Uongozi sio mchezo wa kitoto (tunaita 'kushoiya') !!
 
Back
Top Bottom