Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Binafsi, napenda utaratibu ufuatwe, sikufurahishwa na kupanda "roli la mchanga" ambalo ni la mizigo si la kubeba watu. Vinginevyo, awe amepewa Kibali na askari wetu wa barabarani.

Hata hivyo, ieleweke Makonda anakisemea Chama, Chama ndicho kinaisimamia serikali, na Serikali ndiyo inasimamia hizo Taasisi zilizoagizwa na Chama kupitia msemaji.
Watu wengi hawaelewi hoja ya amri ya kuchukua mwili i.

Kutoa amri mwili uchukuliwe Hospitali ulikouzuiliwa ni kukiuka taratibu.

Hospitali ilizuia mwili kwasababu si kwa vile tu inataka. Ikiwa marehemu anadaiwa ni wajibu wa Familia kulipia na kama Makonda anawalipia kama mtu binafsi au chama hilo halina tatizo.

Kutoa amri kwa taasisi ni kuidhoofisha i. Milioni 2 za kufidia amri ya makonda zitalipwa na nani?

Pili, utaratibu ni kumpigia simu mkuu wa Hospitali. Tumeona JPM , SSH , Majaliwa wakiwa katika mikutano hawatoi amri hadi wanapowasiliana na Waziri. Makonda hakuwasiliana na uongozi wa Sekotoure na hilo ni kosa

Tukiendelea ujinga wa Makonda ipo siku atatoa amri Mzazi afanyiwe operesheni mtoto atolewa tumboni haraka

Kwani mumesahau ni Makonda huyu huyu alitoa amri Wanaume walazimishwe kupima Tezi Dume! Think about that
Hajui hata mipaka ya haki za binadamu wala haki za Raia , yeye anatoa amri tu.

Si huyu Makonda alianzisha vita ya madawa ya kulevya kwa DSM peke yake.
Yaani unawezaje ku control madawa katika mkoa mmoja wa Tanzania. Haya ni matoke ya amri.

Sasa anapanda Malori ambayo kwa utaratibu si chombo cha usafiri. Anaendesha piki piki bila helmet n.k.

Hoja ya uenezi; ni mwenezi wakiitwa ' Propaganda and mass mobilization'' yaani uhamasishaji na uenezi.

Hii si kazi ya serikali ni ya chama. Kusimamia serikali si kuropoka hovyo, ni kuisimamia kwa taratibu.

Kwamba anawasiliana na serikali kwa utaratibu na si yeye kuwa Mganga mkuu wa Hospitali ya sekotoure majukwaani
 
Watu wengi hawaelewi hoja ya amri ya kuchukua mwili i.

Kutoa amri mwili uchukuliwe Hospitali ulikouzuiliwa ni kukiuka taratibu.

Hospitali ilizuia mwili kwasababu si kwa vile tu inataka. Ikiwa marehemu anadaiwa ni wajibu wa Familia kulipia na kama Makonda anawalipia kama mtu binafsi au chama hilo halina tatizo.

Kutoa amri kwa taasisi ni kuidhoofisha i. Milioni 2 za kufidia amri ya makonda zitalipwa na nani?

Pili, utaratibu ni kumpigia simu mkuu wa Hospitali. Tumeona JPM , SSH , Majaliwa wakiwa katika mikutano hawatoi amri hadi wanapowasiliana na Waziri. Makonda hakuwasiliana na uongozi wa Sekotoure na hilo ni kosa

Tukiendelea ujinga wa Makonda ipo siku atatoa amri Mzazi afanyiwe operesheni mtoto atolewa tumboni haraka

Kwani mumesahau ni Makonda huyu huyu alitoa amri Wanaume walazimishwe kupima Tezi Dume! Think about that
Hajui hata mipaka ya haki za binadamu wala haki za Raia , yeye anatoa amri tu.

Si huyu Makonda alianzisha vita ya madawa ya kulevya kwa DSM peke yake.
Yaani unawezaje ku control madawa katika mkoa mmoja wa Tanzania. Haya ni matoke ya amri.

Sasa anapanda Malori ambayo kwa utaratibu si chombo cha usafiri. Anaendesha piki piki bila helmet n.k.

Hoja ya uenezi; ni mwenezi wakiitwa ' Propaganda and mass mobilization'' yaani uhamasishaji na uenezi.

Hii si kazi ya serikali ni ya chama. Kusimamia serikali si kuropoka hovyo, ni kuisimamia kwa taratibu.

Kwamba anawasiliana na serikali kwa utaratibu na si yeye kuwa Mganga mkuu wa Hospitali ya sekotoure majukwaani
Hapo kinachotafutwa ni political mileage tu ! Come what may !😅🙏
 
Mkuu Nguruvi3, Konda Boy ni action oriented man, wananchi wanachotaka sio maneno, wanataka vitendo, actions, Konda Boy anafanya actions, hivyo kuwapa wananchi wanachotaka!, kiukweli CCM imekuja juu!.
Wananchi wanataka vitendo, lakini ni wajibu wa viongozi kufuata taratibu
Makonda si mganga wa Hospitali ya Sekotoure, alichotakiwa ni kuwasiliana na Hospitali ajue kwanini mwili umezuiwa.

Baada ya hapo ndipo angeweza kuchukua action kulingana na habari alizopewa na Hospitali iwe kulipia mwenyewe au CCM kulipia au vinginevyo. Deni la Hospitali lazima lilipwe ili Hospitali iendelee kutoa huduma

Mfuko wa Bima unakufa kwasababu ya mismanagement kama hizi. Mashirika ya umma yalikufa kwasababu hayakuendeshwa kibiashara, yaliendeshwa kwa amri za chama enzi hizo.
Zamani kulikuwa na Wenyeviti wa Chama katika kila taasisi kuanzia jeshini, Hospitali, Mashirika ya umma n.k.

Mambo yalikuwa ya amri kutoka kwa wenyeviti wasiojua abcd , mwisho wa siku mashirika yakafa

Kwa nchi zilizoendelea hata Rais hawezi kumwingia mfagiaji eneo lake la kazi. Kwamba kila mtu ana nafasi yake
Sasa huyu bwana anapojigeuza ni Mganga mkuu wa Hospitali ya Sekoutoure ni msiba kwa Taifa

Kumbukeni huyu bwana aliwahi kutoa amri ya Wanaume kupimwa tezi Dume! mkiacha aendelee na amri bila taratibu ipo siku atato amri wazee wenye mabusha wafyekwe haraka, Wanawake wenye mimba wapasulie haraka tuwe na watoto wa kutosha. This is dangerous !

JokaKuu
 
Mkuu Nguruvi3, Konda Boy ni action oriented man, wananchi wanachotaka sio maneno, wanataka vitendo, actions, Konda Boy anafanya actions, hivyo kuwapa wananchi wanachotaka!, kiukweli CCM imekuja juu!.

Kwa CCM, hii ni sifa!, angalia nilisema nini kumhusu Makonda na sifa hii Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... nilisema
Makonda ni populist leader anatumia system ya utawala ya populism kwa kuwa ni pragmatist anafanya pragmatism, na hiki ndicho wananchi wanachotaka, hivyo Makonda anawapa wananchi wanachotaka, CCM inazidi kupendwa na kupaa!.

P
Sukuma Gang.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Enzi za Nyerere na Mwinyi, mfumo wa utawala wa taifa letu ulikuwa ni mfumo wa Party Supremacy, ambapo chama ndio kulikuwa kimeshika hatamu kuongoza serikali, hivyo viongozi wa serikali walikuwa na kofia mbili, wakuu wa mikoa ndio viongozi wa CCM wa mkoa na waliingia Bungeni. Kulikuwa mpaka kuna mkoa wa majeshi!, jeshi lilikuwa ni Idara ya chama na kulikuwa na ma kamisaa wa chama jeshini.

Mwaka 1992 tulipoingia mfumo wa vyama vingi, huo ndio ulikuwa mwisho wa party supremacy na kofia mbili, chama ni chama na serikali ni serikali, siasa ikaondolewa jeshini. Kofia mbili zilikuja kubaki kwa rais tuu wa JMT.

Tulianza mfumo wa Parliamentary Supremacy ambapo CCM kinatoa ilani ya uchaguzi kwa serikali kuitekeleza, Bunge ndio linaisimamia serikali.

Ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ndio kazi ya Mwenezi, lakini utaratibu wa ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani ya CCM kwa serikali ni kwa mtindo wa "Eyes on Hands Off", kwa CCM kufuatia utekelezaji kwa eyes on, hivyo hiki anachokifanya Mwenezi Paul Makonda kufuatia utekelezaji wa ilani ndio kazi yake rasmi kwa kuona kwa macho na kuzungumza na wananchi, na watekelezaji wa ngazi ya chini, kuhusu kero zao mbalimbali.

Baada ya kuona na kusikia hatua za utekelezaji wa ilani, zinafuatiliwa kupitia vikao vya CCM kuanzia shina, tawi, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa, mwenezi taifa anapaswa kupokea taarifa za waenezi wenzake toka chini, kuyaandika na kuyapeleka kwenye vikao vya rasmi vya chama kitataifa na kule ndipo chama kinajadili na kutoa maelekezo ambapo kazi ya Mwenezi ni kuyatangaza maamuzi na maelekezo ya chama kwa watendaji wa serikali na sio Mwenezi kutoa maagizo na ultimatum kwa watendaji wa serikali akiwemo Waziri Mkuu na mawaziri, hiyo sio jukumu la Mwenezi ni jukumu la mamlaka yao ya uteuzi na nidhamu ambayo ni Rais wa JMT.

Sehemu ambapo Konda Boy anajichanganya ni kwa vile Rais Samia ndie Mwenyekiti wa CCM, na yeye ndie msemaji wa CCM, anatoa maagizo kwa viongozi wa serikali, akiwemo Waziri Mkuu na mawaziri ikiwemo kuwapa ultimatums kutoka kwa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM, wakati Rais Samia anaweza kutoa maelekezo na ultimatums kwa watendaji wa serikali kama Rais wa JMT na sio Mwenezi kuivaa kofia ya rais wa JMT na ku summons mawaziri na kuwapa ultimatums akiwemo Waziri Mkuu!. That is wrong!. Huku ni ku overstepping over and above mamlaka yake, ni Rais wa JMT pekee ndie mwenye uwezo to summon ministers na kutoa ultimatums kwa Waziri Mkuu and not anyone else!. Hata Bunge haliwezi kum summon Waziri Mkuu na kumpa ultimatums bali linaweza kufanya hivyo kwa serikali.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Umeniwahi kumpa Ushauri ,tena nilitaka nisema kwamba mama angesubiria jirani na uchaguzi wa 2024 ndio amteue ila Sasa anaweza vuma baadae wakamzoea.

But akimlaiza ziara huko Mara anatakiwa akae afanye tathmini hata miezi 3 au 4 baadae analimsha tena Kwa Kanda so Hadi ndani ya mwaka akilimaha mara 4 inatosha sana.
 
Yaani ukitaka kujua kuwa CCM walishaishiwa miaka mingi ni hizi hoja hapa. Hivi Bashite ana credibility gani hata za kusimama jukwaani?. Mmeamua kuleta wahuni ili kuimarisha uhuni.
Wanaojua ana Credibility kiasi gani ndio wamemuweka hapo alipo!, Mimi na wewe hatuna Mandate ya kupima Credibility ya mtu!
 
Anachokifanya ndio Chama kilitarajia na kilihitaji kwa sasa
Anayejuwa namna ya kudeal na Ccm ni Tundu Lisu peke yake, sasa ndio namuelewa Lisu.

Huwezi kufanya maridhiano na wahuni, wanahubiri amani huku wameshika mapanga.

Ili kuthibitisha uhuni wao utasikia Olw Sabaya ameteuliwa.

Makonda na Sabaya mikono yao imejaa damu, kitendo cha mama kumrudisha Makonda kwenye system ni dharau kwa Watanzania.

Ccm si watu wa kuwaamini, Lisu ndio anaijuwa namna sahihi ya kudeal na Ccm.
 
Makonda na Sabaya mikono yao imejaa damu, kitendo cha mama kumrudisha Makonda kwenye system ni dharau kwa Watanzania.
Hawa wanaoleta nyuzi za kumpamba kwa upande mwingine wanamhujumu
Tutafukua makaburi na kutonesha vidonda

Tangu aondoke RC Viroba coco beach vimeisha
Watu kupotea kama akina Roma hakuna tena
Hatusikii ya akina Mo
Watu ''kujinyonga'' kwa chupi au t-shirt hatusikii

Huyu bwana na genge lake walifanya uhalifu dhidi ya ubinadamu,mikono imejaa damu wanapmua dhulma na uhalifu

Aliyetuthibitishia hayo ni aliyekuwa Mwenyekiti wa UVCCM ambaye sasa ni DC.
Huyu alisimama mbele ya Camera na kuomba radhi Watanzania kwa makosa waliyofanya
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Enzi za Nyerere na Mwinyi, mfumo wa utawala wa taifa letu ulikuwa ni mfumo wa Party Supremacy, ambapo chama ndio kulikuwa kimeshika hatamu kuongoza serikali, hivyo viongozi wa serikali walikuwa na kofia mbili, wakuu wa mikoa ndio viongozi wa CCM wa mkoa na waliingia Bungeni. Kulikuwa mpaka kuna mkoa wa majeshi!, jeshi lilikuwa ni Idara ya chama na kulikuwa na ma kamisaa wa chama jeshini.

Mwaka 1992 tulipoingia mfumo wa vyama vingi, huo ndio ulikuwa mwisho wa party supremacy na kofia mbili, chama ni chama na serikali ni serikali, siasa ikaondolewa jeshini. Kofia mbili zilikuja kubaki kwa rais tuu wa JMT.

Tulianza mfumo wa Parliamentary Supremacy ambapo CCM kinatoa ilani ya uchaguzi kwa serikali kuitekeleza, Bunge ndio linaisimamia serikali.

Ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ndio kazi ya Mwenezi, lakini utaratibu wa ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani ya CCM kwa serikali ni kwa mtindo wa "Eyes on Hands Off", kwa CCM kufuatia utekelezaji kwa eyes on, hivyo hiki anachokifanya Mwenezi Paul Makonda kufuatia utekelezaji wa ilani ndio kazi yake rasmi kwa kuona kwa macho na kuzungumza na wananchi, na watekelezaji wa ngazi ya chini, kuhusu kero zao mbalimbali.

Baada ya kuona na kusikia hatua za utekelezaji wa ilani, zinafuatiliwa kupitia vikao vya CCM kuanzia shina, tawi, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa, mwenezi taifa anapaswa kupokea taarifa za waenezi wenzake toka chini, kuyaandika na kuyapeleka kwenye vikao vya rasmi vya chama kitataifa na kule ndipo chama kinajadili na kutoa maelekezo ambapo kazi ya Mwenezi ni kuyatangaza maamuzi na maelekezo ya chama kwa watendaji wa serikali na sio Mwenezi kutoa maagizo na ultimatum kwa watendaji wa serikali akiwemo Waziri Mkuu na mawaziri, hiyo sio jukumu la Mwenezi ni jukumu la mamlaka yao ya uteuzi na nidhamu ambayo ni Rais wa JMT.

Sehemu ambapo Konda Boy anajichanganya ni kwa vile Rais Samia ndie Mwenyekiti wa CCM, na yeye ndie msemaji wa CCM, anatoa maagizo kwa viongozi wa serikali, akiwemo Waziri Mkuu na mawaziri ikiwemo kuwapa ultimatums kutoka kwa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM, wakati Rais Samia anaweza kutoa maelekezo na ultimatums kwa watendaji wa serikali kama Rais wa JMT na sio Mwenezi kuivaa kofia ya rais wa JMT na ku summons mawaziri na kuwapa ultimatums akiwemo Waziri Mkuu!. That is wrong!. Huku ni ku overstepping over and above mamlaka yake, ni Rais wa JMT pekee ndie mwenye uwezo to summon ministers na kutoa ultimatums kwa Waziri Mkuu and not anyone else!. Hata Bunge haliwezi kum summon Waziri Mkuu na kumpa ultimatums bali linaweza kufanya hivyo kwa serikali.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Ahaaaa
 
Mkuu Nguruvi3, Konda Boy ni action oriented man, wananchi wanachotaka sio maneno, wanataka vitendo, actions, Konda Boy anafanya actions, hivyo kuwapa wananchi wanachotaka!, kiukweli CCM imekuja juu!.

Kwa CCM, hii ni sifa!, angalia nilisema nini kumhusu Makonda na sifa hii Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze... nilisema
Makonda ni populist leader anatumia system ya utawala ya populism kwa kuwa ni pragmatist anafanya pragmatism, na hiki ndicho wananchi wanachotaka, hivyo Makonda anawapa wananchi wanachotaka, CCM inazidi kupendwa na kupaa!.

P
To the contrary;
Makonda anathibitisha kuwa chini ya CCM, na Serikali yake, kilichotapakaa nchi nzima ni DHULUMA na UNYANG'ANYI.
Katika umati wa watu wanaomfuata Makonda, sijasikia mtu hata mmoja akinyosha mkono na kumwambia Mwenezi wa Chama Tawala jinsi Watanzania wanavyoneemeka chini ya CCM.
Wote wanalalamika jinsi wanavyoteseka na kudhulumika katika nchi hii inayoongozwa na Chama cha Mapinduzi.
Kama Wapinzani wana muono sahihi, Makonda ni msaada mkubwa sana kwao.
Makonda ataiumiza sana CCM mwisho wa siku.
I hope the Opposition is smart enough to take advantage of this rare opportunity.
 
Wala hakumbuki hata ni maagizo yapi katoa Hadi Sasa, na mrejesho wa kufanyiwa kazi! Dhalimu alitumia mbinu hii hii akawa anapata nyomi ya kutengenezwa, ilipofika wakati wa kampeni akawa anaona wenye nyomi ya ukweli. Hali ile ilimpa shida akawa anapelekwa garage Kila mara, alipoona hivyo akaamua apore mchakato wa uchaguzi maana alijua atakutana na matokeo asiyoyapenda.
Kweli
 
Hongera mkuu
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Enzi za Nyerere na Mwinyi, mfumo wa utawala wa taifa letu ulikuwa ni mfumo wa Party Supremacy, ambapo chama ndio kulikuwa kimeshika hatamu kuongoza serikali, hivyo viongozi wa serikali walikuwa na kofia mbili, wakuu wa mikoa ndio viongozi wa CCM wa mkoa na waliingia Bungeni. Kulikuwa mpaka kuna mkoa wa majeshi!, jeshi lilikuwa ni Idara ya chama na kulikuwa na ma kamisaa wa chama jeshini.

Mwaka 1992 tulipoingia mfumo wa vyama vingi, huo ndio ulikuwa mwisho wa party supremacy na kofia mbili, chama ni chama na serikali ni serikali, siasa ikaondolewa jeshini. Kofia mbili zilikuja kubaki kwa rais tuu wa JMT.

Tulianza mfumo wa Parliamentary Supremacy ambapo CCM kinatoa ilani ya uchaguzi kwa serikali kuitekeleza, Bunge ndio linaisimamia serikali.

Ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ndio kazi ya Mwenezi, lakini utaratibu wa ufuatiliaji wa utekelezaji wa ilani ya CCM kwa serikali ni kwa mtindo wa "Eyes on Hands Off", kwa CCM kufuatia utekelezaji kwa eyes on, hivyo hiki anachokifanya Mwenezi Paul Makonda kufuatia utekelezaji wa ilani ndio kazi yake rasmi kwa kuona kwa macho na kuzungumza na wananchi, na watekelezaji wa ngazi ya chini, kuhusu kero zao mbalimbali.

Baada ya kuona na kusikia hatua za utekelezaji wa ilani, zinafuatiliwa kupitia vikao vya CCM kuanzia shina, tawi, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa, mwenezi taifa anapaswa kupokea taarifa za waenezi wenzake toka chini, kuyaandika na kuyapeleka kwenye vikao vya rasmi vya chama kitataifa na kule ndipo chama kinajadili na kutoa maelekezo ambapo kazi ya Mwenezi ni kuyatangaza maamuzi na maelekezo ya chama kwa watendaji wa serikali na sio Mwenezi kutoa maagizo na ultimatum kwa watendaji wa serikali akiwemo Waziri Mkuu na mawaziri, hiyo sio jukumu la Mwenezi ni jukumu la mamlaka yao ya uteuzi na nidhamu ambayo ni Rais wa JMT.

Sehemu ambapo Konda Boy anajichanganya ni kwa vile Rais Samia ndie Mwenyekiti wa CCM, na yeye ndie msemaji wa CCM, anatoa maagizo kwa viongozi wa serikali, akiwemo Waziri Mkuu na mawaziri ikiwemo kuwapa ultimatums kutoka kwa Rais Samia kama Mwenyekiti wa CCM, wakati Rais Samia anaweza kutoa maelekezo na ultimatums kwa watendaji wa serikali kama Rais wa JMT na sio Mwenezi kuivaa kofia ya rais wa JMT na ku summons mawaziri na kuwapa ultimatums akiwemo Waziri Mkuu!. That is wrong!. Huku ni ku overstepping over and above mamlaka yake, ni Rais wa JMT pekee ndie mwenye uwezo to summon ministers na kutoa ultimatums kwa Waziri Mkuu and not anyone else!. Hata Bunge haliwezi kum summon Waziri Mkuu na kumpa ultimatums bali linaweza kufanya hivyo kwa serikali.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Hongera mkuu wewe ni mchambuzi na maandishi makini sana
 
Back
Top Bottom