Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Kijana yupo kwenye right Track,
Anafanya kazi tajika vizur sana....

Na I can confirm to you without fear of contradictions kwamba, yote haya yanafanyika hivo yanavyofanyika kwa makubaliano maalumu na maelekezo makini mno na hao hao unao watetea, kwamba hawawezi kuwa sommoned na Mwenezi.

Friends, in politics nothing happens out of mere coisidence, every thing is well planned, organized and executed to achieve a certain political objectives......

you can just imagine the objectives of muenezi movie...
 
Ndugu ya MAYALA ww na makonda ni kabila moja na huna namna lazima ,uma na kupuliza.
Hoja yangu ni hii

Ndugu yako ni mchafukoge yaani anajua sana kuchafua maji yaliyo tuama kisimani,tena kwa kuchukua vumbi LA nje kumwagia ndani akidhani akifanya hivo tope LA ndani litatoka kwani vumbi likumwagiwa ndani tope kitapanda juu kuchujika ,kumbe Mara vumbi likugusa maji huwa tope na hutuama chini natope kuzidi yaani Mara zote maji ni less denser than tope

Ufafanuzi: huyu makonda anataka kumwagia vumbi kwenye kisima akidhani tope litapanda juu ili achuje apate maji safi kumbe ,ulongo

Wafipa wana msemo " akantasundwa kayile na manvi kuwukoyi "means,undisplined man went with mavi (toilet waste) to the father in laws. Makonda hajui kuamini wenzie yy daima wengine wamekosea yy
atanapatia ,Huyu ni kivuruge CCm iliyo waka moto wakati wa, Lowasa inakuja ,natabiri nguri kujitoa ndani ya Ccm na ndio mwisho wenye mwisho wa CCM ,mi siichukii Ccm bila uongozi wake wa kijamaa Mimi ,ningekuwa msukuma mkokoteni asiye jua A,B,C,D etc

Tuna,kupenda Ccm ila unajitengenezea moto wa kifuu unaitwa Makonda.

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app


Nguli kujitoa CCM? Nguli yupi amebaki ndani ya CCM?

CCM kwa sasa Kama Chama kwa ujumla wake ni entity inayosimama yenyewe.

CCM imefikia hatua ya ku mature kiasi kwamba wanaweza kuondoka wanachama wote wa sasa na wakaingia wapya na bado ikaendelea ilipoishia.

CCM ni dubwana.
 
Rule number one of POWER “ Never outshine your boss “!
Bashite is committing suicide by not only outshining his boss but all his bosses?🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️
Sio hivyo tu kwa kutumia proxies wake anawakashifu wakina Chongolo, Kinana na Kikwete na Mama Abdul anacheka cheka tu!’ Samia aliwekwa madarakani na hawa ambao Makonda anawatukana; na nina uhakika kuwa kama walimuweka wana uwezo wa kumuondoa Samia! Time will tell.
What is he up to? Anyway, labda wametumana na ajenda ya kueleweka. Maana hapa katikati kuna watu wamepewa madaraka na wameyatimba
 
Huyu bwana anachokifanya ni kutumia siasa chafu za wakati wa JPM, ni uongo mtupu .
JPM mwenyewe amekutwa na Bilioni majumbani , mtetezi wa Wanyonge kama alivyo huyu bwana

Umati unaouona ni maagizo anayotoa kwa viongozi wa CCM Wilayani na vijijini . Hawa wanamuogopa sana kwasababu ana nguvu hata za kumkaanga Waziri mkuu hadharani. Juzi alikuwa mgeni rasmi daraja la Busisi na Waziri anatoa taarifa kwake! Hata waziri hajui anawajibika kwa nani kwasababu ya hofu.

Huku mitandaoni kajaza watu wanaanzisha thread za hovyo sana na hasa JF.
Utasoma nyuzi eti 'mwenezi anakunywa maji, sasa anakula chakula cha mihogo, mwenezi anaingia chooni '' yaani upuuzi mtupu . Anatumia mbinu zile zile akiwa RC na Clouds Fm.


Anachokifanya ni kusafisha taswira yake kutokana na uovu alioufanya enzi zile akiwa 'deputy president'
Hajaeleza kuhusu vyeti vyake kitaaluma
Hajaeleza Roma Mkatoliki alikuwa wapi na alijua nini kuhusu yeye
Hajaeleza, akiwa RC DSM vile viroba vya miili ya watu pale coco beach vilihusu nini

orodha ni ndefu, leo anataka kutueleza nini!


You made the whole thing too personal!

Blinded by hate maybe?
 
Tusubiri 2025 kwenye kilio cha tulishinda ila tumeibiwa kura 😂 mimi cjawah kupiga kura na wala sina mpango wa kuja kupiga kura hvy ht cjui anayeshinda na anayeshindwa hua kura zao zipoje
Safari hii jaribu kumpigia huyo katibu mwenezi wa chadema angalau na yeye apate kura mbili tatu asiaibike kama wenzake 🤣🤣🤣
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Mugambo wana ruka na kukanyagana........homa ya 2025 imewafanya wamechanganyikiwa.

Makonda hakutakiwa hapo alipo ila kwa kuwa ni watu wa fujo na vurugu


Sasa kinyago kinawatisha wao wenyewe.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Pascal Mayalla ushauri wako ni mzuri sana ila tunachofanya sasa ni kurejesha imani ya Chama kwa wananchi, hakuna anayeweza kufanya hivyo kwa sasa isipokuwa kupitia chama chetu cha mapinduzi tu. Hakuna mkubwa kwenye chama, msemaji na mwenezi ndiye mdomo wa chama. Acha aamshe amshe hayo ya protocal yatafuata baadaye ila tunachotaka hizi ziara zikiisha basi tutarudi ground zero na Mamlaka itapita kuwajibisha. Sauti kama hii watanzania tulikuwa tumeimisi tunahitaji viongozi wawajibikaji. Najua una point ila kwa hali tuliyokuwa tumefikia CCM ilikuwa inachukiwa sana kiasi chawa tulikuwa tunapata tabu kukipambania chama ila nyomi ya Makonda tunakula kuku kwa mrija hahaha
 
Pascal Mayalla ushauri wako ni mzuri sana ila tunachofanya sasa ni kurejesha imani ya Chama kwa wananchi, hakuna anayeweza kufanya hivyo kwa sasa isipokuwa kupitia chama chetu cha mapinduzi tu. Hakuna mkubwa kwenye chama, msemaji na mwenezi ndiye mdomo wa chama. Acha aamshe amshe hayo ya protocal yatafuata baadaye ila tunachotaka hizi ziara zikiisha basi tutarudi ground zero na Mamlaka itapita kuwajibisha. Sauti kama hii watanzania tulikuwa tumeimisi tunahitaji viongozi wawajibikaji. Najua una point ila kwa hali tuliyokuwa tumefikia CCM ilikuwa inachukiwa sana kiasi chawa tulikuwa tunapata tabu kukipambania chama ila nyomi ya Makonda tunakula kuku kwa mrija hahaha
Anaamsha au anajichosha tu

Chama hicho mbeleko yake ni vyombo vya dola tu wala sio mwenezi
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Labda ameagizwa kufanya hivyo ??!!
Maana kama ni vinginevyo mamlaka ingeshamfunga spidi gavana !
 
Never outshine your boss!.
Mwenezi ni No. 7 kwenye hierarchy ya chama, ana mabosi 6 juu yake M/Kiti, M/Kiti Bara, M/Kiti ZnZ, KM, NKM Bara, NKM ZnZ ndipo anakuja Mwenezi!.
P
Nyota ya mtu ikiwaka yule mtu anakuwa unstoppable !!

Tusisahau hata Hitler alianzia kwenye kuuza magazeti barabarani akapanda haraka haraka mpaka kuwa boss kubwa kabisa !

Ngoja tusubiri tuone !!
 
Na waliomuweka hapo wanajua ni mropakaji, ila wamemuamugiza afanye siasa kama za awamu ya Tano, wakiamini siasa zile zilipata uungwaji mkono, lakini hawakuwa tayari siasa nyingine kufanyika, na wakahakikisha vyombo vya habari vinahubiri watakacho. Ni kama vile unatengeneza uongo kisha inafikia mahali unauamini mwenyewe, kisa tu hutoi ruhusa ya wanaokwambia unasema uongo kuweka uongo wako hadharani!
Karma ina mambo mengi,
Ngoja tuone !
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Uko vizuri comrade. Ishu ni mapenzi ya wananchi kutaka kuona na kusikia amri na maelekezo waliyokuwa wameyazoea awamu ya tano yakitolewa. Makonda akitumia lugha laini za kubembeleza na kuwaomba mawaziri basi( japo kikweli anawaheshimu sana tu) wananchi hawatamuelewa. Hivi majuzi wamewaona wabunge wao wakiikosoa serikali juu ya ubadhirifu wa mali ya umma. Lugha za kimamlaka za wabunge kama mpina, msukumo na wengine ndizo zilizokubaliwa na kueleweka vizuri.
Ngoma hii inachezwa vizuri sana japo tahadhari yako Pia ni muhimu lakini sio Kwa kubadilisha mfumo wa utoaji wa maelekezo ya chama.
 
Back
Top Bottom