Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Pongezi Paul Makonda kuifufua CCM kwa amsha amsha. Twende mdogomdogo ngoma ikivuma sana inakaribia kupasuka!

Sio asionye mawaziri, aishie kwenye kusisitiza utekelezaji wa ilani, hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya nidhamu. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.
P
Pascal Mimi nqona makonda yuko sawa na huu utaratibu wakudeal na mawaziri Balozi Polepole alikua ameuanza kwenye kituo kimoja cha matangazo.
 
Labda Boss wake ndio kamuagiza Afanye hayo ayafanyayo.
I don't think!, haiwezekani Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia akae CC na PM, asimpe maelekezo ya chama, watoke kwenye kikao, halafu Samia ampe maelekezo Mwenezi amkoromee PM na kumpa ultimatum?!. No!.
Huyo ni Konda Boy mwenyewe!, hajatumwa na Mama!. Konda Boy is not Samia's protege!.
P
 
Wasi wasi wangu ni Kama ataupata ujumbe halisi uliokusudia kumfikishia.


Ajitahidi kuchanganya na zake hapa, azibe masikio, afunge macho InshaAllah ‘picha’ itakuja.





Kingine ajitahidi kuoga na kujiswafi kila muda, Chawa ni wadudu wachafu na dhalili.
 
Hapo juu ni watu waliohudhuria kutano wa mwenyekiti wa Chadema taifa mh Mbowe.

Na chini ni watu waliohudhuria mkutano wa katibu mwenezi wa CCM mh Makonda.

Picha zinajieleza zenyewe, alaf 2025 kuna watu wadai eti wameibiwa kura na wakati mwenyekiti wao mwenyewe ameuona moto akaamua kusanda na mikutano yake aliokuwa amepanga kaivunjilia mbali [emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Wingi wa watu katika tukio lolote lile unaweza kuwa na tafsiri zaidi ya moja. Msiba, Ajali ….n.k

Ila pia hapa tunaweza kusema asilimia zaidi ya 20 wako katika kutimiza majukumu yao ya ki Chama.





Na kwenye kula wenzetu wanajulikana kwa kuwa na umoja wa hali ya juu.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
Ccm ni chama Cha wahalifu, hivyo haishangazi muhalifu kusemekana amekifufua.
 
Ndugu ya MAYALA ww na makonda ni kabila moja na huna namna lazima ,uma na kupuliza.
Hoja yangu ni hii

Ndugu yako ni mchafukoge yaani anajua sana kuchafua maji yaliyo tuama kisimani,tena kwa kuchukua vumbi LA nje kumwagia ndani akidhani akifanya hivo tope LA ndani litatoka kwani vumbi likumwagiwa ndani tope kitapanda juu kuchujika ,kumbe Mara vumbi likugusa maji huwa tope na hutuama chini natope kuzidi yaani Mara zote maji ni less denser than tope

Ufafanuzi: huyu makonda anataka kumwagia vumbi kwenye kisima akidhani tope litapanda juu ili achuje apate maji safi kumbe ,ulongo

Wafipa wana msemo " akantasundwa kayile na manvi kuwukoyi "means,undisplined man went with mavi (toilet waste) to the father in laws. Makonda hajui kuamini wenzie yy daima wengine wamekosea yy
atanapatia ,Huyu ni kivuruge CCm iliyo waka moto wakati wa, Lowasa inakuja ,natabiri nguri kujitoa ndani ya Ccm na ndio mwisho wenye mwisho wa CCM ,mi siichukii Ccm bila uongozi wake wa kijamaa Mimi ,ningekuwa msukuma mkokoteni asiye jua A,B,C,D etc

Tuna,kupenda Ccm ila unajitengenezea moto wa kifuu unaitwa Makonda.

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
 
Wingi wa watu katika tukio lolote lile unaweza kuwa na tafsiri zaidi ya moja. Msiba, Ajali ….n.k

Ila pia hapa tunaweza kusema asilimia zaidi ya 20 wako katika kutimiza majukumu yao ya ki Chama.





Na kwenye kula wenzetu wanajulikana kwa kuwa na umoja wa hali ya juu.
Kweli kbs mkuu
 
Katibu wa itikadi na uenezi wa chadema (chama cha watoa taarifa) ndugu yangu Erythrocyte asione hii 😂
Ndoto zake za kuwa mbunge wa Kyela zimeyayuka kama chumvi majini.

Hata Mbowe akimpitisha kugombea ubunge wa Kyela bado ataangukia pua tu.

Kachagua upande mmbovu sana wa chama.

Kwa kiswahili cha mtaani tunasema kaachuuzwa na wenzake
🤣🤣🤣
 
japo nao wanampuuza ingawa adharani wanaonekana kutii maagizo yake lakini kiuhalisia hakuna hata mmoja anayetekeleza maagizo yake.
Tusubiri baada ya miezi 3 tutaondoa mawaziri wanapanga mstari kwenye ofisi ya Makonda na mafaili ya ripoti ya utekelezaji.

Halafu baada ya miezi 6 tutamuona Kasimu Majaliwa akiwa amebeba faili kubwa lililosheheni viwanja vya nchi nzima na ripoti ya usuluhish wa migogoro yote ya viwanja hivyo.
 
Ndoto zake za kuwa mbunge wa Kyela zimeyayuka kama chumvi majini.

Hata Mbowe akimpitisha kugombea ubunge wa Kyela bado ataangukia pua tu.

Kachagua upande mmbovu sana wa chama.

Kwa kiswahili cha mtaani tunasema kaachuuzwa na wenzake
🤣🤣🤣
Tusubiri 2025 kwenye kilio cha tulishinda ila tumeibiwa kura 😂 mimi cjawah kupiga kura na wala sina mpango wa kuja kupiga kura hvy ht cjui anayeshinda na anayeshindwa hua kura zao zipoje
 
Nilitegemea Mr.Makonda atajibia tuhuma nyingi zinazomzunguka ,elimu yake, kuhusishwa jina lake na mauaji, attempted murders, kumpiga au kumfanyia fujo former PM,Mr.Warioba, lakini middle class wa kitanzania kama nyumbu wamesahau yote haya,je Mr.Makonda ni mtu clean?


Karata ya usafi na uchafu wa mienendo binafsi na matumizi mabovu ya ofisi zikiwekwa mezani, unaweza kukuta Makonda yupo namba za elfu moja na huko na hao wahojaji wakishika namba moja mpaka mia.
 
Wanabodi

Huu ni wito kwa Katibu Mwenezi mpya wa CCM, Comred Paul Makonda, kwanza kwa kumpongeza kwa kuifufua hamasa ya CCM kupendwa upya na kukubalika sana kupitia amsha amsha zake za Magufuli type (populist na populism) kila anapopita, tatizo lake ni moja tuu, anaipiga hii ngoma kwa nguvu mno, hivyo kuirindimisha kwa mlio mkubwa sana. Tatizo la ngoma inayovuma, ni ukiisikia ngoma inavuma sana, ujue inakaribia kupasuka!. Ili twende salama na kufika salama 2025, sisi watu wenye jicho la tatu, tunampa ushauri wa bure Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo ili tufike salama, kwa speed aliyoanza nayo, kama ataendelea kwa kasi hii, asije kushangaa hii ngoma ikampasukia njiani kabla hatujafika safari yetu!.

Rule No. 1. Never Outshine Your Boss
Mwenezi hawezi kumuagiza Waziri Mkuu na kuonya mawaziri, kwa kuwapa ultimatums!. Makonda aishie kwenye kusisitiza utekelezaji tuu wa ilani, na sio kutoa amri kuwaamuru na kuwaamrisha mawaziri!. Makonda hawezi kum summon Waziri Mkuu au mawaziri kwasababu yeye sio mamlaka yao ya uteuzi wala ya nidhamu. Mawaziri hawawajibiki kwa chama, wanawajibika kwa rais. iwapo kuna Waziri yoyote hajatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM kikamilifu, chama kinamshitaki kwa rais ndie mamlaka pekee inayoweza kuwa summon na sio Mwenezi!. Waziri Mkuu wa JMT hawezi kupewa maelekezo ya chama na mwenezi kwasababu PM ni mjumbe wa CC ya CCM. Huwezi kuwapigia simu mawaziri na kuwapa maelekezo kwasababu wewe sio rais wa JMT. Magufuli alikuwa anafanya hivyo kwasababu yeye ndio bosi wao!, Makonda asijifanye Magufuli!, huku ni kumu outshine his boss!.

Konda Boy ana overdo bila kujua!. Asioverdo ngoma ikipigwa sana, huwaga haichelewi kupasuka!.

Wito huu ni kwa wanaomtakia mema Paul Makonda na ili kulithibitisha kuwa tunamtakia mema, angalia tumeanza nae wapi.

Mimi nilianza nae hapa Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam
Nikaja hapa Mafanikio ya Makonda ni Uthibitisho Wa Jiwe walilolikataa Waashi litafanywa kuwa Jiwe Kuu la Pembeni
Alipopitia misukosuko tukasimama nae kwanza kwa kutoa wito Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia... kisha tukamshauri Kumbe ni Uongo, Uzushi, Fitna, Majungu, Wivu na Kijicho Dhidi ya Mafanikio Yake!. Makonda Wapuuze! .
Kuna watu wenye roho za kwanini tukawaambia Wale mnaosubiri kwa hamu Makonda atumbuliwe, mtasubiri sana!. Ukiwa ni mpakwa mafuta, ni mpakwa mafuta!
Na mwisho nikapendekeza Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana uthubutu kuliko hata JPM!. Apunguze...

Hivyo mheshimiwa sana Mwenezi Makonda, twende taratibu mdogo mdogo, hii duniani ni tambara bovu, tembea nayo taratibu!.

Wish you all the best

Kakayo

Paskali
huyu kaletwa kwa mkakati maalum kufuta uvumi wote wa bandari kiukweli CCM imefanikiwa maana siku hizi zile kelele za bandari zimepotea kabisa
 
Kweli Paskali...Ngoma ikilia sana hupasuka. Na mbwembwe ziwe na kiasi na staha.
Rule number one of POWER “ Never outshine your boss “!
Bashite is committing suicide by not only outshining his boss but all his bosses?🙆🏿‍♀️🙆🏿‍♀️
Sio hivyo tu kwa kutumia proxies wake anawakashifu wakina Chongolo, Kinana na Kikwete na Mama Abdul anacheka cheka tu!’ Samia aliwekwa madarakani na hawa ambao Makonda anawatukana; na nina uhakika kuwa kama walimuweka wana uwezo wa kumuondoa Samia! Time will tell.
 
Back
Top Bottom