Siro nafahamiana naye sana tangu ujana. Hakuwahi kuniambia kuwa yeye ni mzanaki. Alikuwa akisema yeye ni mwikizu, sawa na Warioba. Gentamycin, hapo imekaaje?Nimeshampa ufananuzi na narudia tena GENTAMYCINE natoka Kijiji kimoja na akina Sirro na huyu Wambura Uzanakini.
Sirro ni mzanaki, amini kwa 100%Siro nafahamiana naye sana tangu ujana. Hakuwahi kuniambia kuwa yeye ni mzanaki. Alikuwa akisema yeye ni mwikizu, sawa na Warioba. Gentamycin, hapo imekaaje?
Hao wote ni wakuryaSiro nafahamiana naye sana tangu ujana. Hakuwahi kuniambia kuwa yeye ni mzanaki. Alikuwa akisema yeye ni mwikizu, sawa na Warioba. Gentamycin, hapo imekaaje?
Huna lolote kwa kifupi wewe, ramli chonganishi tu pyuuUmetutia Aibu sana Wazanaki wote kwa Utendaji wenye Mashaka hapo Polisi na kulifanya Taifa liwe Mashakani sasa.
JW waliwafurusha TISS waliopenyezwa JeshiniHilo ni suala la kimuundo zaidi. Sheria na katiba zinawafunga, zinatoa upenyo wao kutumika. Until haya mambo yatakapo badilika IGO wengi wataonekana vilaza
Lakin pia hiyo taasis imekuwa invaded na viongozi ambao ni wa usalama. Hili lipo wazi
GENTAMYCINE wazo lako linafikirisha ingawa lina ukweli ndani yake kwa sababu kila anayekamatwa wakamataji wanijiita polisi (sina uhakika). Kinachotokea kwa mawazo yangu mgando, kuna kikundi chinja chinja sijui idara gani kinakamata kwa jina la Jamhuri wa Polisi, then kinaenda kinaua au kinapeleka watuhumiwa vituo vya polisi hasa wale ambao labda wametoa kihera na hiyo inaonesha polisi wanahusika. Ila ukweli ni kuwa polisi hawana mamlaka ya kuhoji hao wa ndani ndani kabisa chinjachinja, hivyo inabidi wanyamaze hata kama wakijua kwa sababu ya viapo vya kutunza siri wanaugulia ndani kwa ndani. Ila all in all nadhani tunahitaji katiba mpya inayotoa uhuru na haki zaidi kwa watanzania kuliko sasa eti unakamatwa tu na polisi halafu unaenda ka kondooUmetutia Aibu sana Wazanaki wote kwa Utendaji wenye Mashaka hapo Polisi na kulifanya Taifa liwe Mashakani sasa.
Kwa mtu mwenye nia safi, mtu mwenye busara anapaswa kujiuzuru, ingawa tukio la Mbeya la mwezi uliopita walipaswa kujiuzuru tangu hapo lkn mtu huyu sidhani Km atafanya hivyo bila ya kufurushwaUmetutia Aibu sana Wazanaki wote kwa Utendaji wenye Mashaka hapo Polisi na kulifanya Taifa liwe Mashakani sasa.
bora Jeshi wanasiasa wanaliogopa sio polisiIfike muda nafasi kama IGP au CDF zisiwe za uteuzi, ni ngumu sana mtumwa kutenda kinyume na bwana wake.
yeye kila mwenye cheo wa huko anasema mzanaki 😂Ndugu yangu, umeyatoa wapi ya Uzanaki? Sirro ndiyo alikuwa Mzanaki. Huyu mimi ni ndugu wa damu, hatuna Uzanaki kuna Kijiji kinaitwa Bwerege, waerege na upande Nyamongo. Hizo kabila zote Wakurya, hatuna Uzanaki hata chembe Genta. Aliyekwambia hamjui...
na mtu huyo mmoja ni samiaWatanzania mlivyo matahira sasa,mnavyosingizia watendaji-sasa mnataka huyo Wambura aende against order za mabosi wake??
Wewe hapo kwenye majukumu yako unaweza kwenda against bosi au wateja wako???
Acheni tabia za unafiki mnajua kabisa tatizo sio Wambura wala Masauni lakini mnatoa mishipa as if wao ndio wasababishi.
Wote hao ni wapokea maagizo kutoka kwa mtu moja,kama mnataka badilisha mambo tokeni majumbani mkabadilishe sio kuanza kusingizia watu.
Aseeee halikumbe iko seriously namna hiiUmetutia Aibu sana Wazanaki wote kwa Utendaji wenye Mashaka hapo Polisi na kulifanya Taifa liwe Mashakani sasa.
...na Wajita wana Magesa... Ni kweli, haya hapo kila sehemu.Hii dunia hee🤣🤣🤣🤣🤣🤣 nani kakataa hayo majina. Wakurya tuna Magesa na Wasukuma wana Magesa, majina yapo kila sehemu. Sasa unaona mtu anawapa kabila na si lenu, ukubali tu ndiyo? Hatuna Uzanaki why mnatulazimisha. Wewe kabila lako unalijua si ndiyo? Nikupe hapa kabila lingine, utakubali tu. Ukweli lazima usemwe.
Undugu katika suala hili ukae pembeni kabisa. Hapa tunazungumzia uhai wa binadamuWambura ana ndugu wengi jf
Kwaiyo tumtumbue au tumwache
Haa Hatoki Mpaka AtolewaUmetutia Aibu sana Wazanaki wote kwa Utendaji wenye Mashaka hapo Polisi na kulifanya Taifa liwe Mashakani sasa.
Wakati fulani wakijibu lawama kuhusu mauaji haya, walisema kwamba wao hawauwi watu. Waliishia hapo na hivyo kuwaacha raia hewani wasijue nani hasa anahusika na matendo haya maovu.GENTAMYCINE wazo lako linafikirisha ingawa lina ukweli ndani yake kwa sababu kila anayekamatwa wakamataji wanijiita polisi (sina uhakika). Kinachotokea kwa mawazo yangu mgando, kuna kikundi chinja chinja sijui idara gani kinakamata kwa jina la Jamhuri wa Polisi, then kinaenda kinaua au kinapeleka watuhumiwa vituo vya polisi hasa wale ambao labda wametoa kihera na hiyo inaonesha polisi wanahusika. Ila ukweli ni kuwa polisi hawana mamlaka ya kuhoji hao wa ndani ndani kabisa chinjachinja, hivyo inabidi wanyamaze hata kama wakijua kwa sababu ya viapo vya kutunza siri wanaugulia ndani kwa ndani. Ila all in all nadhani tunahitaji katiba mpya inayotoa uhuru na haki zaidi kwa watanzania kuliko sasa eti unakamatwa tu na polisi halafu unaenda ka kondoo
Unauliza Condoms Guest House / Lodge?
Huyu jamaa hakustaili kuwa kiongozi.Wambura ni askari mzuri sana kabla hajapewa ultimate power,akiwa ZCO aliperform sana nadhani cheo cha UCEO wa taasisi ni too complex and demanding.Wambura ni mtendaji zaidi.Sababu kwa tabia za huyu jamaa nilitegemea katika kipindi chake uhalifu hautakuwepo kabisa.Lakini cha ajabu imekuwa kinyume.