Povu la Maaskofu kuhusu mkataba wa bandari ni kuondolewa kwa uchochoro wa kupiga pesa

Povu la Maaskofu kuhusu mkataba wa bandari ni kuondolewa kwa uchochoro wa kupiga pesa

Hujui misamaha ya kodi inavyozungukwa. Katika misamaha ya kodi (mashirika, taasisi) zaidi ya nusu ya mizigo iko nje ya misamaha. Kwa maneno mengine sreikali inapoteza zaidi ya 50% ya pato kupitia misamaha ya kodi.
DPW wanateknolojia yan kisasa itayogundua udanganyifu huo. Hapa ndio walaji wanapolialia.
Sio kweli. Ninauzoefu na shughuli za serikali.
 
Sio kweli. Ninauzoefu na shughuli za serikali.
Haya! wewe una uzoefu lakini hujui mimi nafanya kazi wapi. Nimekudokezea tu kwa faida yako. Kaangalie klip ya Magu akiwa bandarini, na uone teknolojia duni inavyorahisisha ukwepaji wa kodi.
Hapa kubwa , serikali imeligundua hilo na inahitaji kufuta tatizo hilo. Na ninakuhakikishia safari hii tatizo litatatuliwa.
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Umeandika upuuzi.
 
Uchochoro gani unaondolewa?!

Kwani sheria ya Kodi mmeibadilisha.

Rais halipi Kodi, na makanisa na misikiti si wanapewa msamaha.

Ukiwa hujui kitu chutama!

DP world ndio anakuja kuondoa sheria za Kodi?!

Omba uelimishwe
Simu amepewa, bando anajaziwa na buku 7 kila wiki. Atakosaje kuimba mapambio na keyboard?
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Hiyo misamaha ya kodi ipo kisheria? Na kama ni ya kisheria je DP World wanakuja kubadili sheria?

Je viwango vya kodi vinawekwa na serikali kupitia sheria au DP World watajipangia namna ya kukata kodi?

Je DP World ndio watakusanya kodi au ni TRA watakao kusanya kodi kwa mujibu wa sheria zetu?

Bila shaka haya maswali yatakusaidia upate ufahamu kuhusu DP WORLD ni nani na anakuja kufanya nini maana unaonekana huelewi chochote kuhusu haya mambo. Yaani kwa maneno mengine wewe ni chawa mfyonza damu asiye na ubongo wa kutunza 1kb ya taarifa. Hauna chochote just a chawa
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Wote unaowasikia wanapiga makelele ni kwamba mirija inaenda kukoma,ni wajinga tuu ndio wata side nao
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Mbona wakezaji mnawasamehe Kodi wanapowekeza.Je ni uchocholo wa viongozi kupewa rushwa???Toka lini serikali ikawafundisha watu wasiwe wezi, wasiwe waongo,wawe na upendo, wawe waminifu nk kama sio Hawa watumishi wa Mungu.Kubalini tu kwa limebuma
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR

Halafu unaweza kukuta mtu aliyeandika huu utoto kiumri ni mzee.
 
Yaani ushindwe kuwadhibiti watanzania wenzio kwenye bandari ili upate ufanisi, ila uwamudu wawekezaji? Akili nyingine bana.
Mwekezaji anapewa malengo tuu ya pesa Wala haihitaji Nguvu,akishindwa anafukuzwa fasta.

Ila huwezi dhibiti upigaji kwenye sekta ya Umma maana mwizi ni kuanzia Polisi, Takukuru Hadi hao mnaowaita Tiss.

Harafu ofisini ukijifanya umenyooka utakufa au majungu yatakuondoa bwashee
 
Mwekezaji anapewa malengo tuu ya pesa Wala haihitaji Nguvu,akishindwa anafukuzwa fasta.

Ila huwezi dhibiti upigaji kwenye sekta ya Umma maana mwizi ni kuanzia Polisi, Takukuru Hadi hao mnaowaita Tiss.

Harafu ofisini ukijifanya umenyooka utakufa au majungu yatakuondoa bwashee

Kwamba unaweza kumfukuza Mwarabu Fasta, unaota ndoto mbaya sana dogo.
 
Uchochoro gani unaondolewa?!

Kwani sheria ya Kodi mmeibadilisha.

Rais halipi Kodi, na makanisa na misikiti si wanapewa msamaha.

Ukiwa hujui kitu chutama!

DP world ndio anakuja kuondoa sheria za Kodi?!

Omba uelimishwe
👆👆👆@USSR na The Boss ombeni mueleweshe. Acheni chuki zenu za kidini.
 
Ukweli ni upi?
Tatizo kuu la TPA ni ufanisi mdogo, inachukua muda mrefu kupakia na kupakua mizigo. Mambo ya kodi yanashughulikiwa na TRA, misamaha na ukwepaji kodi wote unafanyika huko.

Na serikali wanazijua mbinu zote zinazotumika, wakwepa kodi sio watu wadogo na makapuku, ni vigogo ambao hata umweke nani pale as long as wana support kutoka juu watakwepa tu.

Wakati wa JPM aliziba mianya na tulisikia vilio vya wakwepa kodi, kwani DPW walikuwepo bandari??
 
Mashirika ya dini au makanisa hayakukataa kulipa kodi ,walikaa na serikali,wakaieleza serikali ikawaelewa ,Kwa huduma wanazitoa Kwa jamii, mfano: hosp, mashule hata vyuo vya kati na vya juu, ndiyo wanaopata huduma huko wanachangia na gharama zao siyo kubwa kama sector zingine za binafsi.

Kwa Mimi wanaweza tu kulipa kodi, ili misamaha isiwe kufuri la kuwafunga watumishi hao wa Mungu kuksema au kutoa maoni yao. Yesu alilipa Kodi kwa nini hao wasilipe ? Walipe tu kama serikali itaona yafaa walipe.
Shule zinazomilikiwa na kanisa ni gharama sana hazina msaada wowote kwenye jamii
 
Maaskofu wengi hutumia punguzo au misamaha ya Kodi kupitisha madili yao kwa kisingizio cha makanisa au taasisi zilizoanzishwa kupiga dili kupitia misamaha hiyo wakiagiza huangiza na zao binfsi na watu wao au biashara zao nje ya kanisa.

Ukiona kina Munga, Slaa, Kikaini na wengine wanapiga kelele usifikirie eti wanakupigania wewe wanapigania kanisa na matumbo yao, hakuna mwenye machungu na wewe hapa Rais Samia kawapiga KO.

Ingekuwa ni ishu za umma hasa kanisa wasinge kuja hivi maana michango ya makanisa ya Sasa pesa ipo tu

Rais Samia kwa TCCL, ATCL na kote tunakoibiwa tumalize wezi maana kama ni kufunga Watanzania ni wezi wataishia magereza.

USSR
Wewe ni zwazwa!
 
Back
Top Bottom