#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

Acha lugha zinazoashiria kufilisika kimawazo na busara, hao ni wadau wa maendeleo, unatakiwa kuwa active ili uendane nao, kwenye demokrasia na haki za binadamu!
Lugha ya beberu imeingizwa nchini humu na nani? Read btwn the lines. Badala ya kulaumu ulipojikwaa unalaumu ulipodondokea!
 
B

British Standards (BS). No country has ever been built by outsiders; the myopic Msoga view of nation building is just British Standards.
Ina maana hata wewe hufahamu kwamba Tony Blair Institute for Global Change is a non-profit NGO, au?! Au unajitoa ufahamu kwa sababu ujaji wake ni wa kujaribu kurekebisha maforofyongo ya mtu uliyekuwa unamtetea?! Ni lini Tanzania imeacha kubebwa na NGOs za duniani?
 
Ok, naona sasa kumbe uwepo wa hizi PR firms lengo lake kubwa ni kuwasafisha wachafu, kumbe ukiwa msafi huna sababu ya kuwa nazo, nasi sasa naona tumeingia rasmi kundi la wachafu.
 
Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.
Kazi ipo!!!
 
1st How Credible is Blair's Credibility ?

2nd; How Much ?
 

Ni kawaida ya wanawake kuwa na external advisors. Unfortunately, mara nyingi, washauri wa wanawake ni destructive. Hata Eva alipata ushauri kutoka kwa Ibilisi na kilichojiri baadaye kila mtu anakijua!
 
Umeongea sahihi kabisa...

Lakini kwa nyongeza tu, Tony Blair Institute for Global Change is a non-profit organization, kwahiyo sidhani kama malipo yoyote tunayofanya!!

Nakumbuka back 2017 hii taasisi iliwekwa kitimoto kwa madai ya kupokea STG 9K from Saudi Arabia kama "malipo" ya kumsaidia Prince Mohammed bin Salman kufanya Saudi's Modernization Program. Hata hivyo, wenyewe wakasema hayo hayakuwa malipo bali donation, kwa sababu TBI huwa wanajiendesha kwa donations!

Sasa sioni ni namna gani wanaweza kuchukua malipo kutoka Tanzania kwa tafsiri yoyote ile, hata kwa kuita donation ikiwa pesa kutoka taifa kama Saudi Arabia tu ilionekana ni BIG ISSUE kwamba kwanini wapokee malipo wakati ni non-profit!
 
I guess our experts in medicines, diseases, vaccinations etc are supposed to be thinking twice on the matter of support, which they offer to our Her Excellence Madam President.

I would like to know , which image was vandalised, how that vandalism took place and at what time. I am interested to this special vandalism, which has forced us to act to the extent of hiring a guru of refurbishing the vandalised image.

Thank you in advance.
 
Na hizo nchi wafadhili wanakuwa hawajui kuwa kuna hizo firms na kuwa kazi yao ni kusema kinyume na uhalisia? Na hizo firm zinakuwa ni taasisi za nchi watuhumiwa kwamba wanaweka makubaliano ya mabadiliko?

Russia, China, Korea, n.k nao wanawalipa ngapi kusafishiwa image?

Kuna fundi mmoja wa viatu aliniambia, wasomi wa TZ ndio wajinga wakubwa, sikumuelewa ila kwa hiyo move, sitaki kuamini kuwa waliofanya na wanaotetea ujinga huo kuwa ni wajinga ila wanatumia MSOGA principle.
 
Wasomi wa kiTz bwana, eti ni donation, sio malipo. Huyu huyu alichukua hela za radar? Daaaah, sishangai kuwa hata Chenge na Obama wamesoma chuo kimoja, Chenge kasaini mikataba feki, Obama?
 
Umeongea sahihi kabisa...
Hivi kweli Tanzania hatuna watu very professional and creative kufanya kazi hii!? Kweli!? Yaani hata wewe hapo , mkuu Chige na ubobezi wako kwenye masuala ya namna hii huwezi kusaidia kumuwezesha Mama atimize malengo yake kwa haraka na ufanisi kuwaletea maendeleo halisi Watanzania!? Kweli huwezi!? Aah ebu apia kama kweli huwezi!
 
Unajua maana ya consultancy services
 

Rais SSH atwambie anamlipa kiasi gani kwa kazi anayofanya. Je, tenda hiyo ilitolewa kwa Tony Blair pekee? Kama ni hivyo vigezo gani vilitumika? Je, hasara ambayo Tony Blair alisababisha kwenye manunuzi ya Rada nani alilipa/analipa?
 
Not all about professional
It's about global exposure, connection, lobbying
Huwezi ku attract FDI, FCI na FEB bila ya kuwa na trusted and powerful lobbying agency so pay some respect to the strategy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…