#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

Acha lugha zinazoashiria kufilisika kimawazo na busara, hao ni wadau wa maendeleo, unatakiwa kuwa active ili uendane nao, kwenye demokrasia na haki za binadamu!
Lugha ya beberu imeingizwa nchini humu na nani? Read btwn the lines. Badala ya kulaumu ulipojikwaa unalaumu ulipodondokea!
 
B

British Standards (BS). No country has ever been built by outsiders; the myopic Msoga view of nation building is just British Standards.
Ina maana hata wewe hufahamu kwamba Tony Blair Institute for Global Change is a non-profit NGO, au?! Au unajitoa ufahamu kwa sababu ujaji wake ni wa kujaribu kurekebisha maforofyongo ya mtu uliyekuwa unamtetea?! Ni lini Tanzania imeacha kubebwa na NGOs za duniani?
 
..pr firms zinasaidia "kuzitakasa" serikali dhalimu ktk viunga vya wafanya maamuzi wa nchi wafadhili.

..kwa wanaounga mkono udhalimu jambo hili ni zuri kwao. Kwa wanaopinga udhalimu jambo hili ni baya.

NB:

..hizo pr firms hufanya kazi kwa mashirikiano na serikali au wizara ya mambo ya nje iliyowakodi.

..kuna taarifa kwamba kagame alikuwa analipa pr firm usd 50k per month. Gaddafi alikuwa analipa 167k per month.
Ok, naona sasa kumbe uwepo wa hizi PR firms lengo lake kubwa ni kuwasafisha wachafu, kumbe ukiwa msafi huna sababu ya kuwa nazo, nasi sasa naona tumeingia rasmi kundi la wachafu.
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
1st How Credible is Blair's Credibility ?

2nd; How Much ?
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report

Ni kawaida ya wanawake kuwa na external advisors. Unfortunately, mara nyingi, washauri wa wanawake ni destructive. Hata Eva alipata ushauri kutoka kwa Ibilisi na kilichojiri baadaye kila mtu anakijua!
 
..Kagame ana pr firm inayomsafishia mambo yake.

..serikali ya angola iliwahi kuwa na pr firm ulaya na marekani.

..mataifa mengi ya kiafrika na kiarabu yanatumia pr firms na lobbyists kufanya kazi ya kung'arisha image za mataifa hayo, na kufungua milango ya mawasiliano na mashirikiano.

..kwa maoni yangu kuna mahali tulikosea ndio maana Tz imelazimika kumkodisha Tony Blair na taasisi yake kusaidia kuweka mambo yetu sawa.

..Wachangiaji wengi wanalaumu tulipoangukia badala ya kuangalia wapi tulijikwaa.
Umeongea sahihi kabisa...

Lakini kwa nyongeza tu, Tony Blair Institute for Global Change is a non-profit organization, kwahiyo sidhani kama malipo yoyote tunayofanya!!

Nakumbuka back 2017 hii taasisi iliwekwa kitimoto kwa madai ya kupokea STG 9K from Saudi Arabia kama "malipo" ya kumsaidia Prince Mohammed bin Salman kufanya Saudi's Modernization Program. Hata hivyo, wenyewe wakasema hayo hayakuwa malipo bali donation, kwa sababu TBI huwa wanajiendesha kwa donations!

Sasa sioni ni namna gani wanaweza kuchukua malipo kutoka Tanzania kwa tafsiri yoyote ile, hata kwa kuita donation ikiwa pesa kutoka taifa kama Saudi Arabia tu ilionekana ni BIG ISSUE kwamba kwanini wapokee malipo wakati ni non-profit!
 
I guess our experts in medicines, diseases, vaccinations etc are supposed to be thinking twice on the matter of support, which they offer to our Her Excellence Madam President.

I would like to know , which image was vandalised, how that vandalism took place and at what time. I am interested to this special vandalism, which has forced us to act to the extent of hiring a guru of refurbishing the vandalised image.

Thank you in advance.
 
..pr firms zinasaidia "kuzitakasa" serikali dhalimu ktk viunga vya wafanya maamuzi wa nchi wafadhili.

..kwa wanaounga mkono udhalimu jambo hili ni zuri kwao. Kwa wanaopinga udhalimu jambo hili ni baya.

NB:

..hizo pr firms hufanya kazi kwa mashirikiano na serikali au wizara ya mambo ya nje iliyowakodi.

..kuna taarifa kwamba kagame alikuwa analipa pr firm usd 50k per month. Gaddafi alikuwa analipa 167k per month.
Na hizo nchi wafadhili wanakuwa hawajui kuwa kuna hizo firms na kuwa kazi yao ni kusema kinyume na uhalisia? Na hizo firm zinakuwa ni taasisi za nchi watuhumiwa kwamba wanaweka makubaliano ya mabadiliko?

Russia, China, Korea, n.k nao wanawalipa ngapi kusafishiwa image?

Kuna fundi mmoja wa viatu aliniambia, wasomi wa TZ ndio wajinga wakubwa, sikumuelewa ila kwa hiyo move, sitaki kuamini kuwa waliofanya na wanaotetea ujinga huo kuwa ni wajinga ila wanatumia MSOGA principle.
 
Umeongea sahihi kabisa...

Lakini kwa nyongeza tu, Tony Blair Institute for Global Change is a non-profit organization, kwahiyo sidhani kama malipo yoyote tunayofanya!!

Nakumbuka back 2017 hii taasisi iliwekwa kitimoto kwa madai ya kupokea STG 9K from Saudi Arabia kama "malipo" ya kumsaidia Prince Mohammed bin Salman kufanya Saudi's Modernization Program. Hata hivyo, wenyewe wakasema hayo hayakuwa malipo bali donation, kwa sababu TBI huwa wanajiendesha kwa donations!

Sasa sioni ni namna gani wanaweza kuchukua malipo kutoka Tanzania kwa tafsiri yoyote ile, hata kwa kuita donation ikiwa pesa kutoka taifa kama Saudi Arabia tu ilionekana ni BIG ISSUE kwamba kwanini wapokee malipo wakati ni non-profit!
Wasomi wa kiTz bwana, eti ni donation, sio malipo. Huyu huyu alichukua hela za radar? Daaaah, sishangai kuwa hata Chenge na Obama wamesoma chuo kimoja, Chenge kasaini mikataba feki, Obama?
 
Umeongea sahihi kabisa...
Hivi kweli Tanzania hatuna watu very professional and creative kufanya kazi hii!? Kweli!? Yaani hata wewe hapo , mkuu Chige na ubobezi wako kwenye masuala ya namna hii huwezi kusaidia kumuwezesha Mama atimize malengo yake kwa haraka na ufanisi kuwaletea maendeleo halisi Watanzania!? Kweli huwezi!? Aah ebu apia kama kweli huwezi!
 
Sioni jipya kwa hili la Tony Blair na Samia ni Sawa tu na kampuni ya Net Group Solution ya south Africa na awamu ya tatu ya Benjamin Mkapa. Net Group Solution ililetwa kwa gharama kubwa kwa ajili ya kuboresha shirika la Tanesco lakini badala ya ndio mambo yakaenda hovyo zaidi. Ni ujinga kuajiri watu wa nje wawafanyie kazi ambazo hata nyie mkijipanga vizuri mnaweza kufanya tena vizuri zaidi kuliko hao watu wa nje. Hiki ni kiwango cha hali ya juu ya kutojiamini kwa viongozi wetu wa juu na kutafuta short cuts ambazo hazina mashiko na hazitupeleki popote. NAONA TU HII NI NJIA NYINGINE YA UPIGAJI WA KODI ZA WANANCHI AU MIKOPO NA MISAADA TOKA NJE.
Unajua maana ya consultancy services
 

Rais SSH atwambie anamlipa kiasi gani kwa kazi anayofanya. Je, tenda hiyo ilitolewa kwa Tony Blair pekee? Kama ni hivyo vigezo gani vilitumika? Je, hasara ambayo Tony Blair alisababisha kwenye manunuzi ya Rada nani alilipa/analipa?
 
Hivi kweli Tanzania hatuna watu very professional and creative kufanya kazi hii!? Kweli!? Yaani hata wewe hapo , mkuu Chige na ubobezi wako kwenye masuala ya namna hii huwezi kusaidia kumuwezesha Mama atimize malengo yake kwa haraka na ufanisi kuwaletea maendeleo halisi Watanzania!? Kweli huwezi!? Aah ebu apia kama kweli huwezi!
Not all about professional
It's about global exposure, connection, lobbying
Huwezi ku attract FDI, FCI na FEB bila ya kuwa na trusted and powerful lobbying agency so pay some respect to the strategy
 
Back
Top Bottom