uonavyoMnahangaika sana tu Samia ni mpaka 2030...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uonavyoMnahangaika sana tu Samia ni mpaka 2030...
Mkikosa hoja mnaanza kuingiza imani zenu za kichawi.Mimi ni Kuhani Mkuu
Wapi nimeongelea uchawi wewe bichura kiziwi?Mkikosa hoja mnaanza kuingiza imani zenu za kichawi.
Alikufa kwa madhambi yake yule MagufuliSi unaona alivyokufa kibudu
Huu uzi wa kujifariji ila Mama Samia ni rais hadi 2030.
Tumuombee uzima tu. Hakuna namna ambayo Mama Samia kama mgombea urais kupitia CCM akashindwa na Lissu au mgombea mwingine yeyote. Na CCM kumkataa mwenyekiti wao na rais ambaye bado yuko madarakani HAIWEZEKANI ndo maana CCM iliamua Rais ndo awe mwenyekiti pia. Kumletea figisu mwenyekiti ni jambo hatari zaidi kwa mwanaCCM endapo atagundulika.
Utafiti wako ni fake na wa uongo..CCM haikubaliki mijini tu lakini hana vijijini siyo kama inakubalika ila huwa hakuna vyama Mbadala. Nimetembea vijiji vingi sana Tanzania. Ukiondoa kilimanjaro, Arusha na mbeya mikoamingine yote mijini CDM wanawanachama na wafuasi wengi lakini vijijini hakuna watu kabisa.Na sababu kubwa ya vijijini kutokubalika ni sababu ya hofu kwasabu vijijini watu wote huwa wanajuana kwahiyo ukiwa mpinzani ni rahisi kushughurikiwa. Kwa misingi hiyo Bado si rahisi sana CDM kufanya vizuri chaguzi hizi zinazokuja, mijini watapata kura nyingi na viongozi wengi ila vijijini wasahau
Ndiyo demokrasia. Kila mmoja ashinde mechi zakeWatetezi mna kazi sana.
Ki vipi wanajifarijiWatu wanajifariji tu
Huu ndio ukweliNa uraisi sio yeye anautaka ila watu wake mambo yao ili yaende wanaona ni lazima aendelee kuwa raisi
Hapo kuna loopholes nyingi nyingi lakini kwa suala la sifa za mgombea urais ziko wazi na zimetajwa na katiba wala msajili hauhusiki kwa namna yoyote ile.Kwa sheria Gani kuwatoa ngeu wapinzani.... Same attitude 😂
Labda huyo msajili awe na cheti cha mirembe na lutindiBado ana chance
Mfano,
Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...
Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.
vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.
Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Kuna mtu kasema s2025 sio Rahisi Raisi Rahisi weka sentensi iliyokosejanasamia hawezi kuongoza watu, kuanzia 2025 na yeye atakua anaongozwa
Tutaweza kuungana kama Kenya walivyofanya na kuondoa KANU madarakani?Hili swala hapa lilipofika wala siyo la Chadema bali nimla kila Mtanganyika mwenye akili timamu. Tukisubiri Chadema tutachelewa sana saa ya ukombozi ni sasa, Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika.
upupu unao ongea ndio maana Mtume wenu aliwaita mna akili Nusu Afghanstan na Iran funzo kwenuKwa kukujuza tu, Uislam haujawahi kubaguwa kati yamwanamme na mwanamke kwa lolote lile zaidi ya baiolijia yaoya kiasili tu.
Uislam ndiyo uliokuja kufunguwa macho watu duniani ndipo mwanamke akaanza kupewa heshima kwa utu wake siyo kwa jinsi yake.
Wanawake katika Uislam wana historia kubwa sana kuliko ujuwavyo. Ukiona kuna mafundisho ya kumdunisha mwanamke elewa kuwa hayo siyo ya Kiislam.
Umewahi kumsikia Fatma Al Fikhri?
Chadema ni nani ana sida za kuwa rais pale? Hilo ndo tatizo wakuu