kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
Ngoja nitafakari, naona kama kuna ukweli! Ila ni vile Chadema wamesambaratika!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swala sio upinzani ila ni Rais kuwa mwanamke kwa misingi ya dini yake, unadhilifu unaofanyika Tanganyika na sintofahamu ndani ya Chama chakeUpinzani kuchukua nchi Bado sana tuache kujifariji
Mabinti wa Ufalme wa Saudia (Princess') huwa wanalalamika kuishi kama wafungwa, sidhani kama uko sahihiSio kweli wakati wa Mtume Muhammad(SAW),walikuwako wanawake viongozi kam Bi Khadija,Bi Aisha,Fatma Zahrah.Wanaume wengi walikwenda kujifunza uidlamu kupitia wanawake hawa.Na vile vile Mtume Muhammad alifanyakazi,chini ya Bi Khadija,kabla ya kuwa mkeww na baada ya kuwa mkewe.Vile vile katika uislsmu mamake Yesu,,Maryam(Mariya),nimwanamke bora kuliko wanawake wote.
Hili swala hapa lilipofika wala siyo la Chadema bali nimla kila Mtanganyika mwenye akili timamu. Tukisubiri Chadema tutachelewa sana saa ya ukombozi ni sasa, Naipenda nchi yangu Jamhuri ya Tanganyika.Ngoja nitafakari, naona kama kuna ukweli! Ila ni vile Chadema wamesambaratika!
mbona bangladesh ni muslim country lakini iliongozwa na akina mama kwa muda mrefu?Kwani Tanzania si unaongozwa katika mfumo wa kikiristo (Dini na siasa tofauti) ,katika mfumo wa uislam mwanamke hakubaliwi kuongoza wanaume yaani kuwa kiongozi mkuu
Lusinde yupi huyo? Tumjuaye keshatangulia mbele za haki.Kura tutapiga
Kama uchaguzi utakuwa huru na haki hapenyi.hata ukijanini Hana ubavu wa kupenya hata akiwekwa na lusinde.
Shida ni kwamba atapenya Kwa nguvu ga Dola and rigging. Hilo Wana uhakika nalo.
UHalisia upo mbali sana, kwenye nchi zinzofauta sharia, mf afganistan, SA n.k mwanmke kule ni practically slave, hawana uhuru.Kwa kukujuza tu, Uislam haujawahi kubaguwa kati yamwanamme na mwanamke kwa lolote lile zaidi ya baiolijia yaoya kiasili tu.
Uislam ndiyo uliokuja kufunguwa macho watu duniani ndipo mwanamke akaanza kupewa heshima kwa utu wake siyo kwa jinsi yake.
Wanawake katika Uislam wana historia kubwa sana kuliko ujuwavyo. Ukiona kuna mafundisho ya kumdunisha mwanamke elewa kuwa hayo siyo ya Kiislam.
Umewahi kumsikia Fatma Al Fikhri?
Eeh! Sidhani kama ni sahihi kuwa na huruma na mtu asiyekuwa muislam mwenzako.Samia anahuruma na anaimani. nadhani kutokana na uislam wake
Hakuna kitu kinaniboa kama kukithiri kwa wizi na kupotea kwa watu awamu hii ya mama yenu.Angeilinda heshima yake kama angekubali kuwa yeye alikuwa ni Rais wa mpito kuelekea Rais atakayechaguliwa na umma. Sasa amejawa na tamaa, na kuamini anaweza kuchaguliwa, wakati kwa muda mfupi amefanya madudu mengi ikiwemo kupora rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi, wanafamilia na marafiki zake waliowezesha uharamia wa kuporwa kwa rasilimali za Tanganyika.
Kweli pesa chafu wanazo hasa za kuuza bandari na Loliondo lkn amani kushinda hawana..Samia na CCM wana FEDHA nyingi mno za kampeni.
..hata kama mgombea wao ni mbovu, lakini fedha, rasilimali, msaada wa vyombo vya dola, ni advantage kubwa sana kwa CCM wakati wa uchaguzi.
.
Kwa sheria gani atatoa amri hiyo?Bado ana chance
Mfano,
Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...
Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.
vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.
Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Hilo haliwezekaniBado ana chance
Mfano,
Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...
Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.
vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.
Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Dhambi kubwa katika maisha ya mtu mmoja mmoja au kampuni au taasisi ni kukata tamaa kusema wewe huwezi kufikia level ya mpinzani wako. Vita ni vita mura never give up...Mama Samia anataka kugombea peke yake.
..yaani hata wapinzani wasiweke mgombea ktk nafasi ya Rais wa muungano.
..Freeman Mbowe na Tundu Lissu watapigwa vita kali sana kuanzia sasa hivi mpaka uchaguzi Mkuu. Lengo ni kuwakatisha tamaa ili Samia agombee Uraisi peke yake.
Soma vizuri mada kuna mtu kasema Samia atashindwa.Inabidi uwe mpumbavu sana kuamini kwamba Samia atapata tabu kushinda uchaguzi wa 2025.
Huku system inaoarangayika, kule ccm chali, huku wapinzani wamechachamaa, kule wananchi wanasema hatukutaki.Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.
Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).
Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.
Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.
Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.
Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.
Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.
Quinine, an independent thinker.
Fungua uzi wako bro. Hii haihusiani.Inabidi uwe mpumbavu sana kuamini kwamba Samia atapata tabu kushinda uchaguzi wa 2025.
Watetezi mna kazi sana.Kuanzia mwaka 1995 wakati wa mfumo wa vyama vingi ulipoanza hakuna kiongozi yeyote ambaye amewahi kukubalika by 60%. Na hivyo ndivyo dunia ilivyo.
Hata Mkapa alikuwa hakubaliki kabisa dhidi ya Lyatonga Mrema, lakini mjadala (political discussion) iliyofanywa pale Kilimanjaro Hotel chini ya Business Times ya Bernard Palela (RIP), Mkapa aliibuka kidedea na watu walamuelewa.
Haijalishi Rais Samia ni mwanamke Muislamu kutoka Zanzibar, lakini ana makubwa yake mengi amefanya. Na hayo yanaweza kuwa na nguvu kuliko Uwanamke wake, Uzanzibari wake na Uislamu wake.
Tundu Baada ya kutangaza atagombea watu hofu imewajaa.....Yule jamaa sio Simba hafi kwa Risasi...ndio sehemu ya mkakati wao.
..Wamuongezee ulemavu mkubwa zaidi ili asishiriki siasa.