President Samia on a panic mode

President Samia on a panic mode

Hivi huyu mama kwanini ameshika tadi kugombea mwakani??

Aache amalize muda wake Urais wa URITHI akapunzike KIZIMKAZI.
hana kibali hakubaliki ,hatashinda urais wake utakuwa wa DAMU.
samia imetosha.
Inapoteza nguvu zako hata kuwaza namna hii, anafanya kampeni ya kivitendo yenye kugusa wananchi moja kwa moja wa huko mikoani.

Sisi tunaoshinda nyuma ya keyboard humu mijini tutaendelea kulia pengine mpaka siku yetu ya mwisho juu ya uso wa dunia.
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Mwandishi wa uchambuzi huu bila shaka hamjui Lissu. Kuamini kuwa, kuna mtu amepanga kumtisha Lissu kugombea Urais kwa purukushani za polisi, ni kumtomjua Lissu.

Kila aliye kwenye siasa za Tanzania anajua kama hakuna cha kumtisha Lissu anapotaka lake. Kwa wakati ambao kila mtu alikuwa akimwogopa Magufuli, Lissu alikuwa akimtaja kama Dikteta Uchwara.

Hata baada ya jaribio la kutaka kumuua, ila bado aligombea Urais huku akiwa katikati ya mwendelezo wa matibabu yake. Hivyo, kuamini atatishwa na Polisi ili asogombee Urais ni kutomjua Lissu na siasa za Tanzania.

Pia, kuamini kuwa, Nape na January ni wajuzi sana kwenye Uchaguzi Mkuu, nadhani ni kujidanganya, hasa kwa mazingira ya sasa yenye dhamira ya kuleta angalau uchaguzi unaoweza kuleta imani kuwa ni wa haki.

January na Nape wameshawahi kukimbia uwanja wa zoezi la kupigiwa kura kwenye viti vya Ubunge kwa kutumia hila mbalimbali, ambazo walio kwenye siasa za nchi yetu wanazijua. Hawa wawili, naona wanajazwa tu sifa kubwa.

Ova
 
CCM na wenyewe hawatumii akili, hivi sasa wananadi kuwa itatolewa fomu moja ya urais,

SWALI, ni lini Samia aliomba kupigiwa kura na na mkutano mkuu, na kupitishwa kugombea urais kupitia CCM? Alipitishwa JPM ndie akamteua kuwa mgombea mwenza, hakupigiwa kura,

Hivyo ilitakiwa akimaliza kipindi hiki achukue fomu, aombe ridhaa ya chama, ili ashindanishwa na wanachama wengine,

Hata hii ya kuita awamu ya sita ni njia ya kuaaminisha watu kuwa alichaguliwa awamu ya kwanza hivyo amalizie ya pili,

Lakini kiuhalisia hii bado ni awamu ya Tano kipindi cha pili,
Na wameshaichangia hiyo form moja zaidi ya Tsh. 200 na michango inaendelea.
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Hilo joka lina wategemea
1)Raia feki wenzake kina ROSTAM AZIZI
2)Polisi
3)pesa
Hizi ndiyo silaha tatu za hilo JOKA LENYE LAANA
 

Attachments

  • 1723627343859.jpg
    1723627343859.jpg
    119.2 KB · Views: 3
Hawezi kuwa na Utulivu hata kidogo.
Mpaka leo wanazozana nani awe Makamu mwenyekiti wa Chama maana amewaacha bila kitarajia.

Waliobaki hawana ushawishi labda Mzee Lukuvi, lakini anamuhofia mzee Lukuvi kwakumuweka pale anamsafishia njia .
 
Bado ana chance
Mfano,

Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...

Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.

vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.

Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Katiba ya Jamhuri uliwahi hata kuipitia kidogo? au ni kitu kigeni
 
Mjadala Wa hovyo sana huu. Hivi Samia ashindwe kwa tume ipi ya uchaguzi? Kura za nani zitakazohesabiwa za kumuondoa Samia madarakani. Polisi gani atakayesimamia vituo vya uchaguzi kuwazuia CCM kufanya wanavyotaka?. Samia labda akataliwe na CCM wenzie lakini siyo kwenye sanduku la kura. Tena, kwa taarifa yenu, kutokana na hizo kasoro mlizosema anazo, cjui, mwanamke, mzanzibar, ameuza Loliondo na Bandari, mnampa hasira tu za kushinda kwa kishindo kikuu km Kagame. Mana ni kuamua tu ngapi zitangazwe. Atangatazwa ameshinda kwa 99.9% ili kuwafunga midomo watu waliofikiria hatachaguliwa na CCM itatamba vibaya kwa ujambazi huo ktk uchaguzi. Mnaishi humu humu na hamuoni hali iliyopo, tena ni ya muda mrefu tu?
Kushinda kwa kuiba ndiyo hofu yenyewe, kwa nini aibe kama anajiamini, kwanini atumie polisi kushinda?

Kama wewe ni mwanaume na unategemea kulisha familia kwa kuiba lazima utaishi kwa hofu tu.
 
SAMIA hata usimame na mimi,nitachaguliwa Mimi-but Tanzania ukisha kuwa kwwnye power kushinda umuhitaji Kikwete au Makamba just Mtangaza matokeo tu.
Na uzuri ni kuwa Watanzania wapo kama makondoo,hakuna cha ajabu-SAMIA atashonda kwa kishindo.
 
Mimi nadhani ndani ya chama cha lisu ndio kuna waliweka panic mode .. lisu anajinasibu kwamba atagombea wakati hakuna kikao kilichompitisha huo uhakika anaoupata unatoka kwa nani ?! Mwenyeketi wake je ana uhakika hana nia ?!
Lissu katia nia tu alisema iwapo watampendekeza atagombea

 
Tumuulize FaizaFoxy na Malaria 2 kama kwenye utawala wa sharia mwanamke anaweza kuwa kiongozi au amiri jeshi??
Kwa kukujuza tu, Uislam haujawahi kubaguwa kati yamwanamme na mwanamke kwa lolote lile zaidi ya baiolijia yaoya kiasili tu.

Uislam ndiyo uliokuja kufunguwa macho watu duniani ndipo mwanamke akaanza kupewa heshima kwa utu wake siyo kwa jinsi yake.

Wanawake katika Uislam wana historia kubwa sana kuliko ujuwavyo. Ukiona kuna mafundisho ya kumdunisha mwanamke elewa kuwa hayo siyo ya Kiislam.

Umewahi kumsikia Fatma Al Fikhri?
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Atashinda Kwa kutimiza matarajio ya walio wengi au atashindwa Kwa kutotimiza kiu walio nayo wananchi juu ya uongozi wake
 
Mjadala Wa hovyo sana huu. Hivi Samia ashindwe kwa tume ipi ya uchaguzi? Kura za nani zitakazohesabiwa za kumuondoa Samia madarakani. Polisi gani atakayesimamia vituo vya uchaguzi kuwazuia CCM kufanya wanavyotaka?. Samia labda akataliwe na CCM wenzie lakini siyo kwenye sanduku la kura. Tena, kwa taarifa yenu, kutokana na hizo kasoro mlizosema anazo, cjui, mwanamke, mzanzibar, ameuza Loliondo na Bandari, mnampa hasira tu za kushinda kwa kishindo kikuu km Kagame. Mana ni kuamua tu ngapi zitangazwe. Atangatazwa ameshinda kwa 99.9% ili kuwafunga midomo watu waliofikiria hatachaguliwa na CCM itatamba vibaya kwa ujambazi huo ktk uchaguzi. Mnaishi humu humu na hamuoni hali iliyopo, tena ni ya muda mrefu tu?
Umeupiga mwingi sana Mr. Ni kama walimwengu hawa wamehama taifa hili na kuandika tabia za mataifa ya ulaya huko. Ukweli ni labda atatikiswa nafsini na kuongezewa dhambi za kuiba na kufanya machafu mengi kushinda uchaguzi.

Ila kwa nguvu hii ya mitandaoni tena ya watu wachache tu hakuna namna tutatoboa kuukata mbuyu.
 
Huu uzi wa kujifariji ila Mama Samia ni rais hadi 2030. Tumuombee uzima tu. Hakuna namna ambayo Mama Samia kama mgombea urais kupitia CCM akashindwa na Lissu au mgombea mwingine yeyote. Na CCM kumkataa mwenyekiti wao na rais ambaye bado yuko madarakani HAIWEZEKANI ndo maana CCM iliamua Rais ndo awe mwenyekiti pia. Kumletea figisu mwenyekiti ni jambo hatari zaidi kwa mwanaCCM endapo atagundulika.
Na huu ndio ukweli japo mchungu kwa baadhi ya watu.
 
Back
Top Bottom