President Samia on a panic mode

President Samia on a panic mode

Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Ni kweli tupu
 
Nyie wapinzani nao mmejawa na tamaa na unafiki tu, kwanini msiungane muache tofauti zenu ili kuing'oa CCM? Mna tamaa sana kila mmoja anataka kuwa rais, ni suala dogo sana endapo mpo serious kweli.
 
Labda sisiemu wenzie wamkatae ila watanzania hatuna nongwa kabisaa...! hii nchi ya kufikirika na watu wake ni kuwaburuzaa tuu ndo maisha tuliyozoea..!
 
Mwanamke huwa ni Imama, siyo imamu.

Hivi Nyerere, Mkapa, Magufuli walikuwa maimamu au wachungaji wa kanisa lipi? Wao ni wanawake?
Ni msikiti gani hapa Tanzania unaongozwa na imamu mwanamke oh sorry una ongozwa na imama.
 
Na uraisi sio yeye anautaka ila watu wake mambo yao ili yaende wanaona ni lazima aendelee kuwa raisi
yani system ya sisiemu ndo inaamua nani akae pale
 
  • Thanks
Reactions: Cpp
Bado ana chance
Mfano,

Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...

Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.

vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.

Hilo ni tobo tu nawasanua[emoji23]
Mmeanza nyie kina marope na Mzee wa goli la mkono
 
Na uraisi sio yeye anautaka ila watu wake mambo yao ili yaende wanaona ni lazima aendelee kuwa raisi
Mara zote ndivyo inavyokuwaga !
Popote pale Duniani !
Wapambe hawakosekani !
Sometimes wanaitwa Wapambe Nuksi !
 
  • Thanks
Reactions: Cpp
Bado ana chance
Mfano,

Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...

Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.

vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.

Hilo ni tobo tu nawasanua😂
🤣

Huyo msajiri anatokea zanzibar pia?

Mbona atahama bara!
 
Nyie wapinzani nao mmejawa na tamaa na unafiki tu, kwanini msiungane muache tofauti zenu ili kuing'oa CCM? Mna tamaa sana kila mmoja anataka kuwa rais, ni suala dogo sana endapo mpo serious kweli.
Wapinzani wepi unawasema kina Zitto kina Lipumba?
 
Kairudie kusoma tena, usisome Sheria yaa vyama. Soma katiba. Msajili kaanzishwa kwenye katiba kaenda kumalizikia kwenye Sheria. Ikifika kuputisha wagombea wala hahusiki kabisa. Yeye sio time huru. Japo uhuru wake una mashaka lakini sio tume.
Mkuu unajua sehem ulipo lakini...
Kipi kimewah shindikana....

Hilo likija kwa minajili ya kulinda tunu za taifa utaleta technicality za Katiba?

Si watatudunda watuue kama alivyodundwa Sugu😂
 
Kama 2015 lowasa hakushinda uchaguzi basi miaka 15 ijayo ni ngumu mara million 100 upinzani kushinda
 
Back
Top Bottom