President Samia on a panic mode

President Samia on a panic mode

Mimi nadhani ndani ya chama cha lisu ndio kuna waliweka panic mode .. lisu anajinasibu kwamba atagombea wakati hakuna kikao kilichompitisha huo uhakika anaoupata unatoka kwa nani ?! Mwenyeketi wake je ana uhakika hana nia ?!
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao walikua msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Sasa anamugopaje lisu wakati hakubaliki?
 
1. Hapa wa dini yake watamkataa katu milele
2. Ile kuuza mali za tanganyika akaacha za zanzibar, katu watanganyika hawatampa kura

Lastly yote uliyoandika ni madini matupu, ningelitamani story kama hii iingie tweeter isomwe dunia nzima ya watanganyika na ndugu waislamu....................Mwanamke Mh! hawezi kuwa kichwa cha wanaume! kwenye dini ile yetu
Hata system haimtaki, rejea msigano wake na Simon Sirro. Pamoja na katiba kumtaka yeye ndiye achukue hiyo nafasi kipimdi kile, lakini ni kama wazee wa mfumo hawakumtaka na walikuwa tayari kuvunja katiba. Kumbuka, ni military Seniority ndiyo ilipelekea yeye kuchukua ofisi, if not that the rest walikiwa tayari kuvunja katiba
 
Tujiulize yule mwanamme aliefariki na huyu mwanammke aliopo hivi sasa nani bora? Swali hili hasa kwa viongozi wa chadema. maana hali ya mbeya ya juzi ingalikuwa enzi zile hadithi ingalikuwa nyengine, tungalikuwa na mambolezi ya kitaifa. au UONGO NASEMA JAMANI?
 
Huu uzi wa kujifariji ila Mama Samia ni rais hadi 2030. Tumuombee uzima tu. Hakuna namna ambayo Mama Samia kama mgombea urais kupitia CCM akashindwa na Lissu au mgombea mwingine yeyote. Na CCM kumkataa mwenyekiti wao na rais ambaye bado yuko madarakani HAIWEZEKANI ndo maana CCM iliamua Rais ndo awe mwenyekiti pia. Kumletea figisu mwenyekiti ni jambo hatari zaidi kwa mwanaCCM endapo atagundulika.
Nafikiri nilishawahi kutoa maoni yangu juu ya utawala wa Magufuli hapa hapa JF.
 
Mjadala Wa hovyo sana huu. Hivi Samia ashindwe kwa tume ipi ya uchaguzi? Kura za nani zitakazohesabiwa za kumuondoa Samia madarakani. Polisi gani atakayesimamia vituo vya uchaguzi kuwazuia CCM kufanya wanavyotaka?. Samia labda akataliwe na CCM wenzie lakini siyo kwenye sanduku la kura. Tena, kwa taarifa yenu, kutokana na hizo kasoro mlizosema anazo, cjui, mwanamke, mzanzibar, ameuza Loliondo na Bandari, mnampa hasira tu za kushinda kwa kishindo kikuu km Kagame. Mana ni kuamua tu ngapi zitangazwe. Atangatazwa ameshinda kwa 99.9% ili kuwafunga midomo watu waliofikiria hatachaguliwa na CCM itatamba vibaya kwa ujambazi huo ktk uchaguzi. Mnaishi humu humu na hamuoni hali iliyopo, tena ni ya muda mrefu tu?
Kwa maelezo haya hakuna haja ya kupoteza mda kwenda kupanga foleni kupiga kura ni dhahiri kuwa hakuna uchaguzi bali viini macho na mshindi anajulikana 🙌
 
Hivi huyu mama kwanini ameshika tadi kugombea mwakani??

Aache amalize muda wake Urais wa URITHI akapunzike KIZIMKAZI.
hana kibali hakubaliki ,hatashinda urais wake utakuwa wa DAMU.
samia imetosha.
Hao walopita wangapi walishinda?
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

Quinine, an independent thinker.
Samia hata hawafikirii hao kina Lissu labda kianzishwe chama kingine chenye mgombea ambaye bado hajajulikana.
 
Mimi nadhani ndani ya chama cha lisu ndio kuna waliweka panic mode .. lisu anajinasibu kwamba atagombea wakati hakuna kikao kilichompitisha huo uhakika anaoupata unatoka kwa nani ?! Mwenyeketi wake je ana uhakika hana ni
Usimlishe Lissu maneno. Aliulizwa na waandishi kuwa jee atagombea Urais 2025 naye akawajibu kuwa kama chama chake kikimpitisha atagombea,
 
Angeilinda heshima yake kama angekubali kuwa yeye alikuwa ni Rais wa mpito kuelekea Rais atakayechaguliwa na umma. Sasa amejawa na tamaa, na kuamini anaweza kuchaguliwa, wakati kwa muda mfupi amefanya madudu mengi ikiwemo kupora rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi, wanafamilia na marafiki zake waliowezesha uharamia wa kuporwa kwa rasilimali za Tanganyika.
CCM na wenyewe hawatumii akili, hivi sasa wananadi kuwa itatolewa fomu moja ya urais,

SWALI, ni lini Samia aliomba kupigiwa kura na na mkutano mkuu, na kupitishwa kugombea urais kupitia CCM? Alipitishwa JPM ndie akamteua kuwa mgombea mwenza, hakupigiwa kura,

Hivyo ilitakiwa akimaliza kipindi hiki achukue fomu, aombe ridhaa ya chama, ili ashindanishwa na wanachama wengine,

Hata hii ya kuita awamu ya sita ni njia ya kuaaminisha watu kuwa alichaguliwa awamu ya kwanza hivyo amalizie ya pili,

Lakini kiuhalisia hii bado ni awamu ya Tano kipindi cha pili,
 
Kwani Tanzania si unaongozwa katika mfumo wa kikiristo (Dini na siasa tofauti) ,katika mfumo wa uislam mwanamke hakubaliwi kuongoza wanaume yaani kuwa kiongozi mkuu
Huo mfumo siyo kwa waislamu tu hata kwenye ukristo wa kweli usio wa mungu mwenye nafsi 3 ni hivyo hivyo...kamwe mwanamke hatakiwi kumwongoza mwanaume.
 
Huu uzi wa kujifariji ila Mama Samia ni rais hadi 2030. Tumuombee uzima tu. Hakuna namna ambayo Mama Samia kama mgombea urais kupitia CCM akashindwa na Lissu au mgombea mwingine yeyote. Na CCM kumkataa mwenyekiti wao na rais ambaye bado yuko madarakani HAIWEZEKANI ndo maana CCM iliamua Rais ndo awe mwenyekiti pia. Kumletea figisu mwenyekiti ni jambo hatari zaidi kwa mwanaCCM endapo atagundulika.
Anafukuzwa uanachama moja kwa moja.
 
Bado ana chance
Mfano,

Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...

Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.

vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.

Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Kwa sheria hipi ....waza tena
 
Mkuu nimeandika,

“Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo”.
Mwenye akili timamu hawezi kuuliza swali la aina hiyo.

Pale uwanja wa ndege kuna Swissport yupo tangu 1995 tangu enzi za Mkapa, kwa hiyo kauziwa uwanja wa ndege?.
 
Angeilinda heshima yake kama angekubali kuwa yeye alikuwa ni Rais wa mpito kuelekea Rais atakayechaguliwa na umma. Sasa amejawa na tamaa, na kuamini anaweza kuchaguliwa, wakati kwa muda mfupi amefanya madudu mengi ikiwemo kupora rasilimali za nchi kwa maslahi yake binafsi, wanafamilia na marafiki zake waliowezesha uharamia wa kuporwa kwa rasilimali za Tanganyika.
Ngoja tusubiri maana kwa muda mfupi tu raslimali alizouza ni zaidi ya marais waliodumu kwa vipindi viwili vya miaka 10.
 
Back
Top Bottom