President Samia on a panic mode

President Samia on a panic mode

Lissu kabisa!!! Hakuna mtu hapo, bora Samia aisee

..kwenye nchi za wenzetu wanachagua mtu smart kuwa Raisi.

..Tundu Lissu ana akili kuliko Samia Suluhu.

..Lissu alikuwa mwanafunzi bora kitivo cha Sheria.

..Samia alipata division 0 mtihani wa form 4
 
Mjadala Wa hovyo sana huu. Hivi Samia ashindwe kwa tume ipi ya uchaguzi? Kura za nani zitakazohesabiwa za kumuondoa Samia madarakani. Polisi gani atakayesimamia vituo vya uchaguzi kuwazuia CCM kufanya wanavyotaka?. Samia labda akataliwe na CCM wenzie lakini siyo kwenye sanduku la kura. Tena, kwa taarifa yenu, kutokana na hizo kasoro mlizosema anazo, cjui, mwanamke, mzanzibar, ameuza Loliondo na Bandari, mnampa hasira tu za kushinda kwa kishindo kikuu km Kagame. Mana ni kuamua tu ngapi zitangazwe. Atangatazwa ameshinda kwa 99.9% ili kuwafunga midomo watu waliofikiria hatachaguliwa na CCM itatamba vibaya kwa ujambazi huo ktk uchaguzi. Mnaishi humu humu na hamuoni hali iliyopo, tena ni ya muda mrefu tu?
watanazania wamesahau kuwa kwamba hatuna democrasia
 
Hofu

1723670847319.png
 
Mbona unaenda nje ya mada, masuala ya kutembea uchi yanatoka wapi kwani hakuna waislam wanawake wanaojiuza na kutembea uchi?

Woman life in Afghanistan “Women aren't just banned from schools; they're also banned from public baths, parks, and gyms. When they dare to step outside their homes, they can't go anywhere without a male chaperone”.
Sijawaona mimi, hao watakuwa Waislam jina, siyo Waislam wa kuufata Uislam. Mwenye kuufata Uislam wavchakujiuza hata kuuona mwili wqake hutouona maisha yake.

Wewe naona upo ndani ya mada, au siyo?
 
Huo mfumo siyo kwa waislamu tu hata kwenye ukristo wa kweli usio wa mungu mwenye nafsi 3 ni hivyo hivyo...kamwe mwanamke hatakiwi kumwongoza mwanaume.
Kwakuwa mwanamke hana ubongo au ?
 
Baada ya kumalizana na kina January, Nape, Makamba, Kikwete na kufuatiwa na kujiuzulu kwa M/Mwenyekiti CCM Kinana ambao wangekuwa msaada wake wakati wa uchaguzi, msaada mkuu uliobaki kwake ni kulitumia jeshi la polisi kuwatisha wanaoonekana kuwa wapinzani wake waliobaki.

Kuna hofu kuu 3 zilizo mbele yake kwa sasa ambazo ni, 1. Tetesi ya Tundu Antipas Lissu kugombea, 2. Womanism(Gender) na 3. Nationalism (Origin).

Uhalisia; wanawake wengi huwa hawapendani watakuchekea usoni, wataambatana nawewe kwenye kampeni lkn ukifika wakati wa kuchagua watamchagua Mwanamme. Kwa mila na desturi za Mwafrika ni nadra sana kuongozwa na mwanamke, hili hata vitabu vya dini vimetamka wazi. Hiki kitakuwa kigezo muhimu hasa mpinzani wake akiwa Mwanamme.

Kitu kingine ambacho nakiona ni hofu kwake ni Origin yake (Mzanzibari), ukubali ukatae wakaazi wa Tanzania Bara (Tanganyika) ni wengi kuliko wa Zanzibar, hivyo wakati wa uchaguzi hiki kitakuwa kigezo kingine hasa mpinzani wake akitoka upande wa Bara.

Lissu kwa vyovyote vile atagombea ni threat nyingine. Drama zote zilizofanywa na polisi lengo sio kuwatisha wananchi bali ni kumtisha Lissu asigombee. Samia na CCM wanajua Lissu huwa hakopeshi watawajibu nini wananchi Lissu atakapowauliza kwanini kauza Bandari, kwa nini kauza Loliondo.

Tetesi tunazozipata mtandaoni kuwa kukubalika kwake ni chini ya 32% sio za kubeza ukizingatia hali halisi ya maisha waliyonayo wananchi walio wengi.

Sababu hizi ndizo zinamfanya Samia na CCM wawe na hofu ya uchaguzi.

View attachment 3070306

Quinine, an independent thinker.
Power is power let her use it .
 
Bado ana chance
Mfano,

Msajili kulazimisha vyama vyote vya siasa kuweka mgombea urais kutoka Zenj na lazima awe mwanamke...

Hii unaweza kutumika kama njia ya kudumisha umoja wa kitaifa, na kuzingatia jinsia katika demokrasia.

vyama vyote vinaweza vikaelekezwa hivyo kwa amri au vifutwe.

Hilo ni tobo tu nawasanua😂
Problem is, jambo kama hilo haliwezi kutokea, katiba itamfunga with other rules. Labda msajili aje na jambo lingine
 
Mimi nadhani ndani ya chama cha lisu ndio kuna waliweka panic mode .. lisu anajinasibu kwamba atagombea wakati hakuna kikao kilichompitisha huo uhakika anaoupata unatoka kwa nani ?! Mwenyeketi wake je ana uhakika hana nia ?!
Alisema atagombea but akipata ridhaa ndani ya chama, hakusema atagombea wihout chama kumruhusu
 
Back
Top Bottom