Press ya Wazee wa Simba Imeniumiza sana kama Taifa tuna safari ndefu

Press ya Wazee wa Simba Imeniumiza sana kama Taifa tuna safari ndefu

Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹

Njoo nikusaidie upate passport Halafu tuone Kama passport ndo njia ya kuondoka Tanzania
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Yaani ni shida ni kwikwi.
 
Basi tu akili za viongozi wa upinzani hazifanyi kazi, Kama wamegundua watanzania akili ao zimejaa usimba na uyanga na yeye angepita mulemule.
Wameshindwa na wazee wa zamani ambao walitumia michezo kufanya harakati za uhuru
 
Hao wazee wamedhihilisha timu ya simba imejaa watu mbumbumbu tu. Na ndiyo maana hata Mangungu aliweza kushinda kirahisi, baada tu ya kumleta Caesar Manzoki siku ya uchaguzi wa klabu.
Umesahau Wazee wa Yanga walitishia kuandamana mpaka kwa Raisi Samia, jezi ya Mayele isipo rudishwa 😀 😀
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Hawa ndio wale Rage aliwaita mbumbumbu.
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
Fahamu kuwa wakiandamana kwa ajili ya mpira, wanaweza wasifanywe kitu au wakarushiwa vibomu viwili vitatu vya machozi, mambo yakaisha.

Wakiandamana kwa mambo ya kisiasa, watapigwa risasi, mabomu kama ya Beirut, na wengine watawekwa ndani.

We unachagua kipi hapo?
 
Habari kiukweli tuna safari ndefu kama Taifa.

Juzijuzi yameitishwa Maandamano hakuna alietokeo Maandamano ambayo Lengo kubwa lilikua ustawi wa watu ambao ni Watanzania.

Leo hii Team imefungwa imeitisha press na inatoa Tamko😂😂

wakaongeza Kuna watu walikua wamekasirika wanataka kuandamana kisa hujuma sema wakazuia daaah!!!

Sa kweli ndio maana nimeamini Hii Nchi tumelaaniwa tumelaaniwa tumelaaniwa na Ndio Maana Samia yupo tayar kununua goli Kwa Millions ila Kuna shule hazina walimu na hospitali hazina wauguzi.

Pole Tanzania..

Serious watu wanataka kuandamana because of Matokeo ya Mpira ila kwao Maisha magumu hawataki kuandamana?
watu kutekwa hawataki kuandamana!!

Leo wapotayar kuwataja viongozi wanaotoa Rushwa Yanga ishinde ila kuwanyooshea vidole wanapokosea kwenye Mambo ya Msingi hawapo tayar!!!


#NikipataPassportNaondokaBongo

#Good night 🇵🇹
bora umesema wewe, nchi hii bado sana.
 
Njoo nikusaidie upate passport Halafu tuone Kama passport ndo njia ya kuondoka Tanzania
Asante. Kwa msaada wako nipo napanga safari mda huu Kuna msamaria mwema Jana alijitokeza kanisaidia.

Kama una Neno kingine labda la kunihusia kabla sijaondoka Nchini.
 
Fahamu kuwa wakiandamana kwa ajili ya mpira, wanaweza wasifanywe kitu au wakarushiwa vibomu viwili vitatu vya machozi, mambo yakaisha.

Wakiandamana kwa mambo ya kisiasa, watapigwa risasi, mabomu kama ya Beirut, na wengine watawekwa ndani.

We unachagua kipi hapo?
Nimeona mawazo Yako.
 
Asante. Kwa msaada wako nipo napanga safari mda huu Kuna msamaria mwema Jana alijitokeza kanisaidia.

Kama una Neno kingine labda la kunihusia kabla sijaondoka Nchini.

Nenda tu. Hauna matumizi ndugu yangu zaidi ya lawama
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
UKISHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA AUTOMATICALY AKILI ZA KICHWANI ZINAANZA KUYEYUKA.

CAPO.
 
Back
Top Bottom