Prince wa Saudi Arabia Salman: Mambo ya Palestine hayanihusu. Najihusisha zaidi ya Nchi yangu

Misri iliachana na upuuzi huo zamani sana ikifuatiwa na Jordan; baadaye ikawa hivyo kwa UAE, na sasa Saudi Arabia.
Kuwasaidia palestina siyo lazima kukaribisha na kusaidia ughaidi. Jordan inawasidia sana wapalestina kisiasa na kibinadamu lakini hairuhusu ughaidi wa Hamas uingie nchi mwao. Vile vile Misri nayo inawasidia sana wapalestina lakini haikaribisha ughaidi wa hamas kwenye ardhi yake.
 
Sasa kuna na Wana Wa Mfalme wa Bongo akona
Malaria
Kulwa jilala
The bigshow
Faiza Foxy
The Boss
😂😂😂
 
Kwenda kuhiji ni upuuzi na kupoteza mda tuu
Mtoto wa Al-Kaaba kazaliwa ndani ya msikiti lakini anawakana Waislam wenzake.

Hizi Dini tunadanganywa sana.

Ndio maana Wasiojulikana utakuta ni Waislam na Wakristo. Ukijiuliza kwanini wanafanya haya wakati wanajua kuna Hukumu na Jehanamu? Jibu ni kwamba hizo jehanam na huku za siki ya mwisho ni Bosheni tu na wao wanajua ndio maana wanateka, wanatesa na wanaua. Wala hawana wasi wasi.

Sisi tu ndio wanatutia hofu ili tusiwabughudhi.
 
Hizo ni story ety moto pepo ujinga tuuu na upuuziii
 
Mtoto wa mtume anaogopa kufa? Sasa mbinguni atafikaje bila kufa kwanza?
 
Jileusi tii linaloshindia mihogo na maandazi hata kinywa halikisafishi. Kanzu inanusha shombo la jasho lkn liko bize kuwatetea Hamas
Hahahaha na ndevuu nyingiii qumqmqke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…