cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sasa aunt mie sipati chochote kitu? [emoji23][emoji23]Siyo maisha na msoto mkaliiiiiiii tumepitia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa aunt mie sipati chochote kitu? [emoji23][emoji23]Siyo maisha na msoto mkaliiiiiiii tumepitia.
Amini nakuambia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimewaza hivyo pia mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Mengi had maua sama katoboa kupitia yeye.Amini nakuambia.
Wanaume wenye pesa na majina huwa wanategwa na kuwindwa sana ila hawajui kuwa wanawindwa.
Mwanaume anaingia king mwenyewe, anaanza mchakato kumbe mtu ametegwa akategeka.
Mkuu raha ya kuwa na pesa nying ni kuzitumia ipasavyo, haswa kuchakata hizi mbususu![emoji23][emoji23][emoji23]Hawa ndio wale wanaokuwa mabilionea alafu wanajaza magari ya kifahara kumi. Wewe honga ule mbususu....sii u aona jamaa kabadilisha maisha ya hao warembo...mabilionea wanatakiwa kuwa na wake wengi ili kunufaisha jamiii
Aunt njoo tugawane tu msoto na jua hili linavyowaka...Sasa aunt mie sipati chochote kitu? [emoji23][emoji23]
Sasa maua katoboa wapi??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Mengi had maua sama katoboa kupitia yeye.
Uwiiiiih.
Matumizi mazuri ya mbususu hayo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ritha ashukuru kapata mtaji wa BSS.
Ndio matumizi ya pesa kaka...kula mbususu haya mambo ya kuwa na magari mengi garage sijui private jet uteenager tuu huoMkuu raha ya kuwa na pesa nying ni kuzitumia ipasavyo, haswa kuchakata hizi mbususu![emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuja aunt,Aunt njoo tugawane tu msoto na jua hili linavyowaka...
Hapa naangalia harusi ya Tajiri Enna, mtu ametunzwa million 138.....
Hivi wenzetu hela wanatoa wapi jamani....
Hili ni group la "wajomba mareshi", rose d, shuu saloon, kitasa, morankiss husna bona...
Mawazo ninayo hapa.
Si naskia alimpa rav 4 mpyaa 0kms, na nyumba hapo makumbusho n yake. Sema kwa nyumba hata mie siamini had leo.Sasa maua katoboa wapi??
Au alimpeleka studio?
Haswaaaaah yaaan.Matumizi mazuri ya mbususu hayo.
Nyie shauri yenu zibanieni tuu wakati mamilionea wa jf wanatafuta mbususu zakuchakataHaswaaaaah yaaan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kweli.Nyie shauri yenu zibanieni tuu wakati mamilionea wa jf wanatafuta mbususu zakuchakata
Ajabu sana aisee [emoji1][emoji1] anataman angeongwa yeyeKwani inakuuma sana mkuu[emoji4]
Aaaaa kumbe wewe hufai.Nyie shauri yenu zibanieni tuu wakati mamilionea wa jf wanatafuta mbususu zakuchakata
Weee kama kweli ameukata.Si naskia alimpa rav 4 mpyaa 0kms, na nyumba hapo makumbusho n yake. Sema kwa nyumba hata mie siamini had leo.
Wee nilikuomba mbususu ukasema oh unajua mzabzab wee unapenda sana kugegeda...sasa nikukupigia pande kwa hao mabilionea wakati wewe mbususu hutaki toa sii majangaAaaaa kumbe wewe hufai.
Asa mbona siku zote hujanishtua mamilionea wa jf?
Uchoyo unategemea hizo elfu 10 anazo ngapi katika hifadhi yake na mzunguko wake!Halafuuu kuna limtu elf 10 tu linakua lichoyo
Ni kweli ubishi sina juu ya hiliWanaume wote wanahonga tunazidiana viwango tu