Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jambazi amekufa lakini vijizi bado vipo, hata huko digital wataiba tu braza, hawa wezi ili kuwaondoa tunahitaji katiba mpya na tume huru na shirikishiAliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Mimi nilishachukua uamuzi huu mgumu tangu mwaka 2019 wakati wa lile sekeseke la wabunge na madiwani wa upinzani kuunga mkono juhudi, na pia wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa.Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Nadhani ana msimamo na hatetereki, mbona wabongo na bongo nzuri tu, tatizo ni waoga na hawana msimamo.Huyu Prof Assad ana akili mno. Hakustahili kuzaliwa nchi ya wajinga kama Tanzania.
Labda kama hukumuelewa vizuri. Lakini kama ndio mawazo yake hayo Prof, ima anajitoa ufahamu makusudi ili tuje kuambiwa uko mradi mbeleni wa tume ya uchaguzi wa kura kupigwa kidigitali. Prof hajui ya Bush na Al-goore!!!?
Kuiba kura kidigitali itakuwa rahisi sana maana kuchezea mfumo wa kidigitali hahitaji gharama wala manpower kubwa. Kutumia mfumo wa kizamani kama mataifa mengine inaweza kuwa na gharama kubwa sana. Zingatia suma na nduguze kudaiwa kushindwa kulinda tanzanite hawana imani nao tena, iko hofu ya kulipiza kuchafuliwa.
Acha ujinga weweHuyu mwamba hakika ni mtu sahihi!! Pia kwanini dini ya kislam upo makini hivi?
Tutegemee reforms Kwenye muundo wa tume! Hii awamu ipo powa sana
Point kubwa hapo ni uchaguzi huru na haki, hapigi kura kwasababu kura yake haina thamani....yaani pia usipige matokeo lazima fulani ashinde ndio maana yake...
Marekani wanapiga kura kidigitali na bado wanatuhumiana wizi.Trump na Biden wanatuhumiana kuhusu hilo
Yawezekana Profesa anachomekea kupima upepo kuna watu wanajianda kuchota pesa kupitia mradi wa kigitali wa kupiga kura.Hii mitadi hewa hewa hii isiyoguda maisha ya wananchi walio wengi kuns wakwapuaji wansjipanga hapo
Ana bahati jiwe kafa angethubutu kusema kipind mzee upo mda si mrefu angeambiwa ajisalimishe centralAliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Watu hawaelewi! Wanakwambia bora mabox na mabegi tu..Yes ni kweli kabisa lakini pia ni rahisi zaidi ku monitor kuliko haya maboksi.
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Achana kabosa na kitu kinaitwa digital yaan computet ndio inahesabu kura apo km huna ma computer engineer utaiba wapi labda utumie ujinga kuiba wazwazSema labda aseme kuwe na uwazi na Uhuru hata zikija digitali Kama hamna uwazi wataiba Tena kirahisi zaidi
Malalamiko ya binadam hawajawahi kuisha nilishaanga tu hata Kule walikoendelea marekani Wanadai nao wanaibiwa kura mbona kitukoUchaguzi wa digitali ndio huru na haki? Eti huyu naye ni Prof
Aah kweli watu walikuwa wamebeba mengi vifuani mwaoAliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.
Amesema hayo kwa hoja ya kwamba watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.
Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Ambayo na wewe upo na umezaliwa nchi ya wajinga, ukiwa mjinga citizenHuyu Prof Assad ana akili mno. Hakustahili kuzaliwa nchi ya wajinga kama Tanzania.