Prof. Assad: Sitapiga tena kura labda mfumo uwe wa kidigitali
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.

Amesema hayo kwa hoja ya kwamba watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.

Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Aiseeee !
 
Huko kwenye digital ndo CCM itashinda asubuhi na mapema,hata kura hazijamaliza kupigwa CCM washaweka ngoma kati.
Prof.kasahau tume huru na katiba.
 
Huko kwenye digital ndo CCM itashinda asubuhi na mapema,hata kura hazijamaliza kupigwa CCM washaweka ngoma kati.
Prof.kasahau tume huru na katiba.
Yule professor unadhani anaweza ongea kitu bila kufanya research?

Uchagauzi wa kidigitali utakua wa haraka na kuaminika kama hautoingiliwa kwa namna yoyote ile
 
Yule professor unadhani anaweza ongea kitu bila kufanya research?

Uchagauzi wa kidigitali utakua wa haraka na kuaminika kama hautoingiliwa kwa namna yoyote ile
Kauli yako ya"kama hautoingiliwa kwa namna yeyote ile"tayari hata wewe umeshatia mashaka ambayo kimsingi huko kuingiliwa ndo mlango wenyewe wa CCM kutoboa mapema.
 
Labda kama hukumuelewa vizuri. Lakini kama ndio mawazo yake hayo Prof, ima anajitoa ufahamu makusudi ili tuje kuambiwa uko mradi mbeleni wa tume ya uchaguzi wa kura kupigwa kidigitali. Prof hajui ya Bush na Al-goore?

Kuiba kura kidigitali itakuwa rahisi sana maana kuchezea mfumo wa kidigitali hahitaji gharama wala manpower kubwa. Kutumia mfumo wa kizamani kama mataifa mengine inaweza kuwa na gharama kubwa sana. Zingatia suma na nduguze kudaiwa kushindwa kulinda tanzanite hawana imani nao tena, iko hofu ya kulipiza kuchafuliwa.
Nenda bank kachezee mfumo uibe hela
 
Labda kama hukumuelewa vizuri. Lakini kama ndio mawazo yake hayo Prof, ima anajitoa ufahamu makusudi ili tuje kuambiwa uko mradi mbeleni wa tume ya uchaguzi wa kura kupigwa kidigitali. Prof hajui ya Bush na Al-goore?

Kuiba kura kidigitali itakuwa rahisi sana maana kuchezea mfumo wa kidigitali hahitaji gharama wala manpower kubwa. Kutumia mfumo wa kizamani kama mataifa mengine inaweza kuwa na gharama kubwa sana. Zingatia suma na nduguze kudaiwa kushindwa kulinda tanzanite hawana imani nao tena, iko hofu ya kulipiza kuchafuliwa.
Marekani hawajawahi kuchezea kura we mataga
Hujui siasa za kimataifa
 
Muache kumlisha maneno mzee wa watu. Kama mna hoja muitoe nyie kama nyie sio mnatumia watu kama reference.
 
Kama namba za simu zinaenda kusajiliwa kwa dole
Vitambulisho vya uraia kwa dole

Hivyo upigaji kura wote tuwe tumesajiliwa kwa dole gumba mchezo utakuwa rahisi sana
 
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.

Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.

Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Prof anasema kweli kabisa
 
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.

Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.

Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Magufuli aliua demokrasia yetu, lakini aidhuru na yeye kafa...tuna nafasi ya kurejesha demokrasia na uhuru wetu.
 
Sema labda aseme kuwe na uwazi na Uhuru hata zikija digitali Kama hamna uwazi wataiba Tena kirahisi zaidi.
Na ni rahisi sana kujulikana ukiiba kidigitali
Imagine vituo vyote vipo connected , kila kituo kinajulikana matokeo yake !
Hata mwananchi anaweza kujumlisha na kupata matukio
 
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.

Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.

Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.

Kule marekani wanatumia digitali, Lkn wanaandamana kupinga matokeo, mpaka wengine wanakufa.
 
Huyu Prof Assad ana akili mno. Hakustahili kuzaliwa nchi ya wajinga kama Tanzania.
Hapana, vinginevyo uthibitishe kwamba watanzania wote ni wajinga. Kwa kuwa wewe mwenyewe umekubali ni mjinga basi peke yako ndiyo mjinga.
 
Maisha yanaenda speed sana,,, huyu anaweza rudishwa nafasi aliyopoteza au ndio sasa kapata nafasi ya kusema yaliyo moyoni mwake..

Nchi ngumu sana hii
 
Labda kama hukumuelewa vizuri. Lakini kama ndio mawazo yake hayo Prof, ima anajitoa ufahamu makusudi ili tuje kuambiwa uko mradi mbeleni wa tume ya uchaguzi wa kura kupigwa kidigitali. Prof hajui ya Bush na Al-goore?

Kuiba kura kidigitali itakuwa rahisi sana maana kuchezea mfumo wa kidigitali hahitaji gharama wala manpower kubwa. Kutumia mfumo wa kizamani kama mataifa mengine inaweza kuwa na gharama kubwa sana. Zingatia suma na nduguze kudaiwa kushindwa kulinda tanzanite hawana imani nao tena, iko hofu ya kulipiza kuchafuliwa.
Bush na al gore , digital tech ilikuwa haija advance kama sasa , wala hukukuwa na social media ,ambayo ni mwiba mkali sana kwa serikali dhalimu,
Digital is the way forward sio haya maboksi ambayo watu Wanayachezea
 
Atas
Aliyekuwa Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Prof. Mussa Assad amesema hatojisumbua tena kushiriki zoezi la kupiga kura.

Amesema hayo kwa hoja ya kwamba Watanzania huwa wanashiriki kupiga kura lakini hawashiriki uchaguzi. Kwa maana ya kwamba kura haina maana katika uchaguzi.

Aidha amesema ataweza kushiriki pindi mfumo mzima wa upigaji kura ukiwa wa kidigitali. Kwa kuwa ilivyo hivi sasa kuna udanganyifu mkubwa hivyo upigaji kura hauna thamani.
Atasubili mpaka atakufa bila kuuona huo mfumo.
Na yeye akae atulie vinginevyo achague chama ajiunge ili.tumchague tuone kabla hajafa atafanikisha nini hapa tz?
 
Back
Top Bottom