Una undugu na Corona? unamtetea sanaCorona isisingiziwe! maana sasa hivi wengi wana tabia ya kusingizia Corona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una undugu na Corona? unamtetea sanaCorona isisingiziwe! maana sasa hivi wengi wana tabia ya kusingizia Corona
Rudisha brain yako mkuu, unajipa tabu sana kupingana na ukweli.Watu wana maradhi yao msisingizie clinic epukeni ukimwi
Mbona wao wanadunda tu, ARVs za kumwaga ni kufuata masharti tuHata wenye ukimwi wamewasahau siku hizi
Maisha tangu lini yakaliwa? Enjoy the journey, not the destination; because death is your destinationNawaza tu, nikifa Leo nitakua boonge la looser maana nimejinyima sana ktk maisha yangu ili kutengeneza the so called "FUTURE" kumbe muda wowote mtu unakufa na unakua hujala maisha effectively!
Dah huyu jamaa alinifundisha plant physiology,Anatomy of angiosperms na Soil science RIP Prof
Mie ni class mate wangu tumehitimu form 4 Uwemba sec ipo Njombe.Very sad kumpoteza mate wangu.Imenishtua Sana.Nina imani hiyo miaka ya 90 hata profesa alikuwa bado ni mwanafunzi.
Haiwiki kama enzi zile...wee...enzi zile tukiwaona madent wa tosa mnafunga midomo kimya..Kwani sasa hivi ikoje?.
Kwani umeambiwa Marehemu kafa kwa changamoto ya upumuwaaji!?Hiyo clinic ina record ya kutibu watu wenye changamoto ya upumuaji!?
Ki vp hali inatisha sana!? Au hutaki Malika Israel afanye kazi yake aliyopewa na Mungu!?Its hectic. Asee hali inatisha sana
Na Ma professor vijana wanakuwaga Moto chini kweli,kila intake lazima wajimilikishe new comers!!Watu wana maradhi yao msisingizie clinic epukeni ukimwi
Wanawapa supu ya Kwato za Mbuzi yenye Malimao na pilpili nyingi,baada hapo Mgonjwa unaanza kupiga chafya kwa rahaa zako!!ukienda mbavu zimebana unapona ndani ya masaa mawili ! nenda hapo utaona palivo na migari ya V8 watu wanaponea
Lipia Tangazo kwanza!!mie sio dalali ila nenda kashuhudie! hatav viongozi wapo hapo wanatibiwa! jali uhai wako
Kuna muda mwingine ARVs nazo zinadunda!!Mbona wao wanadunda tu, ARVs za kumwaga ni kufuata masharti tu
Fuata masharti, kula mlo kamili, pata muda wa mazoezi. Kuna watu wana zaidi ya miaka 20 na na wako poa tuKuna muda mwingine ARVs nazo zinadunda!!
Waombe radhi kwani si woteNa Ma professor vijana wanakuwaga Moto chini kweli,kila intake lazima wajimilikishe new comers!!
Hi Ni crisis Sasa idadi ya Hawa wasomi wanaopika wasomi wetu,waliofariki itatengeza pengo kubwa. HII changamoto inatakiwa itazamwe kwa jicho la tatu.
acha ujinga! unafkiri ni kwa Dr gwajima hapo?Wanawapa supu ya Kwato za Mbuzi yenye Malimao na pilpili nyingi,baada hapo Mgonjwa unaanza kupiga chafya kwa rahaa zako!!
Sijawahi kupata Sap tangu naanza chuo Udsm paleIlitosha tu kutuambia kuwa alikusimamia kwenye sp yako,hayo Mambo ya kupata A hakukuwa na ulazima huo kwa Kweli.