Prof. Issa Shivji: Nilihudhuria birthday ya Mwalimu, sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha

Prof. Issa Shivji: Nilihudhuria birthday ya Mwalimu, sikumbuki alipewa zawadi yoyote. Hata kukata keki alifanya kwa mzaha

Mujue kwanza SHS Ni nani.
Ni mtoto wa mwinyi kwa yule mama mwalimu ila hawakuishi pamoja

Daaa, Mkuu hebu funguka kidogo maana hapa umekatisha mapema.
 
Hakuna
Ninachokiona hapo ni kuwa tumeruhusiwa kijadiliana tuu , lkn Hakuna Ubaya kwa Kiongozi kama hawa Kupewa Zawadi wamefanya Mengi na Wamekumbana na Mengi wakati wakitimiza majukumu yao ktk Uwongozi.
Hakuna kitu kama hicho,hawajalazimishwa kuwa viongozi,na wakishindwaga uchaguzi huiba HADI kura.
Wana Mali nyingi Sana hawa,wanalipwa na serikali maisha yao yote.
Wanalipwa HADI walinzi,
Magufuli kawajengea Wastaafu Marais wote Mahekalu.
Huku Wastaafu wengine wanasota.
 
Uko bongo si mushazowea ata wachumba zenu munawapa magari ya kifahari kwenye birthday zao kwanini imekubwa nongwa kwa mama samia kumpa mzee wa Mkuranga?

Wanawapa hayo magari kwa fedha za umma?
 
Hii nchi inaumiza sana. Viongozi hawapo Serious kabisa na maisha ya watanzania hawa maskini. Unampa mtu ambaye hajawahi kuwa na shida maisha yake yoye Zawadi ya Benzi lenye thamani ya Tsh Mil 450.

Mwinyi ambaye ana majumba,magari,na kila kitu na watoto wake wenyewe walikuwa hawashindwi kumpa zawadi kama hiyo. Mtoto wake ni Rais wa Zanzibar.

Ameona pesa za Wazanzibar zitumike kwenye mambo ya msingi ila kodi za Wabara mama Samia anaona zinafaa kumnunulia Ali H. Mwinyi Benz. Msomeni Prof. Shivji

View attachment 1778664
Naanza kuamini kuwa sehemu sahihi ya mwanamke ni jikoni na chumbani tu
 
Kibaya zaidi kuliko hilo tukio la kupewa gari ni narrative iliyofuata, hakuna ushahidi wowote ilo Benz linathamani ya tsh 450 million.

Mtu tu kaanzisha uzi wake, kalipa gari thamani yake. Watu waliopitia thread wanaamini bei iliyowekwa without supporting evidence zozote ndio sahihi.

Ili ni tatizo kubwa sana Tanzania, uwezi kuwa gullible society kiasi hiki; watu kama hawa ni rahisi sana kumeza propaganda ambazo ni anti government and a serious national security concern nchi za wenzetu.
 
Hii nchi inaumiza sana. Viongozi hawapo Serious kabisa na maisha ya watanzania hawa maskini. Unampa mtu ambaye hajawahi kuwa na shida maisha yake yoye Zawadi ya Benzi lenye thamani ya Tsh Mil 450.

Mwinyi ambaye ana majumba,magari,na kila kitu na watoto wake wenyewe walikuwa hawashindwi kumpa zawadi kama hiyo. Mtoto wake ni Rais wa Zanzibar.

Ameona pesa za Wazanzibar zitumike kwenye mambo ya msingi ila kodi za Wabara mama Samia anaona zinafaa kumnunulia Ali H. Mwinyi Benz. Msomeni Prof. Shivji

View attachment 1778664
Alicho kifanya Rais ni kumbadilishia mzee Mwinyi gari linaloendana na hali yake kwa sasa, kwa maelezo ya kwamba amemuona akipata tabu wakati wakupanda na kushuka kwenye gari la mwanzo ambalo pia alipewa na serikali kwa maana ya jukumu la kuwatunza viongozi wastaafu. Kwa jinsi tulivyo zoea kulalamika ingetokea siku mzee Mwinyi angeanguka wakati wa kupanda/kushuka kwenye gari la zamani ambalo lipo juu, tungekuja kumlaumu Rais kwamba serikali haijali wazee wastaafu. Hata mwl Nyerere kama angekuwa hai naamini serikali ingempatia mahitaji yanayoendana na umri na nguvu alizo nazo kwa wakati husika.
 
Hii nchi inaumiza sana. Viongozi hawapo Serious kabisa na maisha ya watanzania hawa maskini. Unampa mtu ambaye hajawahi kuwa na shida maisha yake yoye Zawadi ya Benzi lenye thamani ya Tsh Mil 450.

Mwinyi ambaye ana majumba,magari,na kila kitu na watoto wake wenyewe walikuwa hawashindwi kumpa zawadi kama hiyo. Mtoto wake ni Rais wa Zanzibar.

Ameona pesa za Wazanzibar zitumike kwenye mambo ya msingi ila kodi za Wabara mama Samia anaona zinafaa kumnunulia Ali H. Mwinyi Benz. Msomeni Prof. Shivji

View attachment 1778664
Tulisema, Uzanzibar na ubara unatamalaki. Mkabishia. Wameanza na mapato ya muungano kwa asilimia na leo benzi, keshokutwa utasikia arume kapewa ndege.
 
Kibaya zaidi kuliko hilo tukio la kupewa gari ni narrative iliyofuata, hakuna ushahidi wowote ilo Benz linathamani ya tsh 450 million.

Mtu tu kaanzisha uzi wake, kalipa gari thamani yake; kila mtu anaamini bei iliyowekwa without supporting evidence zozote.
Hata lingekuwa na thamani ya milioni 5, si haki kumpa huyo anayepokea posho 80% ya mshahara wa rais wakati wafanyakazi wakinyimwa nyongeza kwa visingizio vya ukosefu wa fedha.

Vi wapi vipaumbele vya nchi?!
 
Wanawapa hayo magari kwa fedha za umma?
Kama kodi zenu zinakuumizeni mbona hajawahi kuwahurumia Wazanzibar, TRA miaka yote wanakusanya kodi Zanzibar zinatumika kwa maendeleo ya bara tu? Mwacheni mama ndio kwanza anatimiza mwezi - mali ya babu jinga huliwa ni wajinga
 
Kaanza kuongea Hehe
Alikuwa wapi Prof mbona
Alikuwa kimya

Ova
 
Nahisi hapa Viongozi wa Kiislam ndio wanashida.

Rais Mwinyi
1.Mtoto-Rais wa Zanzibar
2.Mtoto wa mwingine-Mbunge
3.Mkamwana wake-Mbunge

Kikwete
1.Mke wake -Mbunge
2.Mwanae Ridhiwan-Mbunge

Samia.
1.Mwanae -Mbunge
Na hapo bado alikuwa Makamu tu,sasa hivi yeye ndio ameshukila mpini.

Ma Rais wetu Wakristo ambao wote ni marehemu Mkapa,Magufuli na Nyerere Familia zao! zitajijua.
Nyerere watoto zake walipewa nyadhifa ila wao tu ndiyo hawaeleweki

Ova
 
Back
Top Bottom