Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkuu huyo hakuna anachokula anashinda na njaa tuu chakula pia ni kinga ya magonjwa mtu dhaifu kuugua ni rahisi sana aseme watu wafanye mazoezi na wapunguze kula hovyo hovyo bila mpangilio hapo sawa ila sio kusema tunywe chai kavu ma maji asiee...Ni kweli chakula kinategemeana na kazi na umri wa muhusika. Kwa kazi yake ya kukaa ambayo hata jasho halitoki aendelee kula hivyo. Na wenye shughuli zinazohitaji nguvu wataendelea kupata Milo sawia
Sasa anatusumbulia nini sisi tuishi kwa maji?Anaye..tena mdada wa mujini..Sophy byanaku
Kupanda pale lion hili ni karibu nusu saa huku umekunywa maji na chai kavu ya Prof Janabi daah.Yani upo unapiga gear 113 kuanzia chinsali kwenda mpika halafu useme utakuja jioni tu.
Kumbe daaNimekwambia kuna jamaa nchi moja kusini mwa afrika anapiga mashine kisawasawa
janabi huwa hazungumzii mazoezi hahahaHuyu jamaa Serikali iingilie kati. Hayupo sawa. Its either anataka sana attention au ana tatizo kubwa la kisaikolojia. Hayupo sawa. Hakuna Taifa au Jamii inaweza ishi kwa huu Ujinga anao usema. Hii siyo diet ni ujinga. Na amedhoofu sana.
View attachment 3074304
Sisi sasa!Wale wa chapati 3 na maharage kibakuli au supu ya mbuzi hawawezi muelewa Janabi...
Msikilize huyo Dr. Chidi Ngwaba alafu ujue huyo Prof Janabi ni mjuaji tu.Naachia wajanja butu wa elimu. Pambaneni na Prof janabi kama mtaweza!
Huna akili kabisa wewe!What? Kaa kimya. Huyu ni mtaalamu niliyeishi naye Marekani! Amefanya makubwa Marekani. Hili ndilo ttz letu wabongo huna akili yoyote unamkosoa Pro. Jababi! Acha. Ndio maana wasomi wanaondoka. Wanabaki mazombie kama wewe. Just stop it!
Ni cardiologist. Lishe na malishe utakayo hayana nafasi kwa huyu professor. Anaunganisha hayo malishe yenu na makuku yenu kuonyesha yanaathiri vipi mfumo mzima w mwili wetu. Kwako kuelew it's just too much. Tusiwe personal lkn natamani uniambie una shule gani kumkosoa Janabi. Wala hata hakusikilizi labda kama ni mwanasiasa maana ndio nyie wenye kila kituIssue sio kupambana naye, unachoshindwa kujua ni kuwa nchi hii kuna wataalamu wabobevu wa lishe, wanaojua mara 1000 ya huyo Janabi. Yeye ni mbobevu kwenye magonjwa ya moyo, apunguze ujuaji sasa. Hata mwonekano wake unaonyesha kuwa afya yake si nzuri sana.
Ana mke mzuri sana alishakuwa miss something huko.Hivi hana mke?
Ni cardiologist. Lishe na malishe utakayo hayana nafasi kwa huyu professor. Anaunganisha hayo malishe yenu na makuku yenu kuonyesha yanaathiri vipi mfumo mzima w mwili wetu. Kwako kuelew it's just too much. Tusiwe personal lkn natamani uniambie una shule gani kumkosoa Janabi. Wala hata hakusikilizi labda kama ni mwanasiasa maana ndio nyie wenye kila kitu
MtafutieAna mke mzuri sana alishakuwa miss something huko.
Anataka kutengeneza Taifa la watu wadhoofu mno.
We hujitambui vizuri kwa hayo uliyoandika. Prof Janabi amebaki kutoa vitisho kwenye milo bila ya kusema madhara yake na mbadala. Amebaki kusema kula chapati moja asubuhi huku akijua kuwa watanzania wengi wanaishi kwa kazi za suluba kwa zaidi ya masaa 10 kwa siku.What? Kaa kimya. Huyu ni mtaalamu niliyeishi naye Marekani! Amefanya makubwa Marekani. Hili ndilo ttz letu wabongo huna akili yoyote unamkosoa Pro. Jababi! Acha. Ndio maana wasomi wanaondoka. Wanabaki mazombie kama wewe. Just stop it!
Mkuu unafananisha na Japan kwenye mambo ya lishe tu wakati kushusha na kupakia kontena tu mmewapa DP huko Japan nao wamewapa DP World.Mkuu nadhani wewe ndo unamatatizo ya kisaikolojia. Professor Janabi ni hazina. Na siyo professor Janabi kila mtu ana jukumu la kuelimisha na kuhamasisha wengine kuhusu afya ya ulaji. Nenda Japan huko ujionee. Professor alazimishi taifa lazima kuishi maisha ya afya. Ndo maana IQ zetu dhoofu zina mushkel
Wewe ni mmoja wao. Basi kula chapati 20.We hujitambui vizuri kwa hayo uliyoandika. Prof Janabi amebaki kutoa vitisho kwenye milo bila ya kusema madhara yake na mbadala. Amebaki kusema kula chapati moja asubuhi huku akijua kuwa watanzania wengi wanaishi kwa kazi za suluba kwa zaidi ya masaa 10 kwa siku.
Ni DP world sio word.Mkuu unafananisha na Japan kwenye mambo ya lishe tu wakati kushusha na kupakia kontena tu mmewapa DP huko Japan nao wamewapa DP word.
Prof hayupo sawa bhana kushauri watu wanye maji na chai kavu badala ya kusisitiza wafanye mazoezi na kutokula chakula hovyo hovyo..