Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

Huyo mgonjwa wa figo anawekewa bure?baada ya mimi kutoa figo?kama anatoa hela kwanini kiasi kadhaa kisiende kwa ndugu zangu?ikiwa huyo mgonjwa anawekewa figo na hela.
Ngoja nikupe mfano rahisi ndugu,

Mfano gari yako ikipata ajali ikawa right off. Yaani imepondekapondeka haifai kunyoosha. Ila ENGINE ni nzima kabisa. Ukaamua kumpa rafiki yako hiyo engine bure ili afunge kwenye gari yake.

Hivi unaweza kwenda gereji uwaambie "kwavile hii engine mimi nimetoa bure, basi na nyie mafundi msidai hela yoyote ya kufunga hii engine."!!?
 
Figo Wachukue wakati huohuo wang'ang'anie maiti kisa unadaiwa billi, lazima waweke utaratibu Kwa ndugu wa marehemu wawe wanaondoka na chenji ya kuendeshea ghalama za msiba.

Kwa nchi ya kula Kwa urefu wa kamba yako, watu watamalizwa fasta ili wenye neema wapate used spare parts za viungo kuwa geraji kuongeza muda wa kunyonya.

Nawashauri wawekeze kwenye uzalishaji wa artificial organs, au Hata za kitimoto nimesikia huko majuu zimeonesha compatibility Kubwa sana na za homo sapiens.
 
Duniani kote huduma zinalipiwa. Sijui wapi pagumu kuelewa.

Mtu amepewa matibabu amepona au kufariki nani analipa bill yake?

Watoa huduma, vifaa tiba havilipiwi kwa maombi.
Kwahiyo madaktari hawalipwi mishahara kutokana na kodi zingine zinazolipwa na wananchi hadi wategemee pesa zinazotokana na kupandikiza figo ama huduma yoyote itolewayo hospitali?

Kazi ya daktari ni kutibu/ kumhudumia mgonjwa na mshahra wake unalipwa na serikali kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato.

Vipi huduma za matibabu zikowa bure maana yake hawatalipwa kwasababu wanafanya bure?
 
Hapa nimekuelewa....kwa hiyo ni jino kwa jino?
Ndo maana yake.pale muhimbili ndugu yako akifa huna hela maiti inaweza kuzuiwa.alafu leo uje umwambie mtu ndgu yako achangie figo bure bure hyyu mtu atakuelewa?
Haya wao wanakwambia unchanging mgonjwa lakini hapo hapo wao wanachukua hela kwa mgonjwa.kwanini hicho mnachochukua kwa mgonjwa msigawqne na ndugu zake mtoa figo?hata kama sio kikubwa.lakini itatoa Moyo kwa ndugu zake.
 
Kwahiyo madaktari hawalipwi mishahara kutokana na kodi zingine zinazolipwa na wananchi hadi wategemee pesa zinazotokana na kupandikiza figo ama huduma yoyote itolewayo hospitali?

Kazi ya daktari ni kutibu/ kumhudumia mgonjwa na mshahra wake unalipwa na serikali kupitia vyanzo mbalimbali vya mapato.

Vipi huduma za matibabu zikowa bure maana yake hawatalipwa kwasababu wanafanya bure?

Malaria unatibiwa kwa Kodi au unataka figo transplant tu ndo ilipiwe kwa Kodi na maombi?
 
Figo y figo tukubali tu lazima tufe hata ukiwekewa figo new model lazima ufe tatizo unataka figo mpya bado ukirud mtaani maisha magumu.........

New figo,new blood, new penis, new heart, new k alafu bado unataka kuitwa jina lako la zamani hapo unakuwa kiumbe mpya kabisa.......
 
Organs haziuzwi kama ambavyo damu haiuzwi. Google is free you know.

Shida yenu mnataka huduma itolewe bure, madr walipwe kwa maombi na vifaa tiba vitolewe bure.
Upande wa damu usiongelee hilo.
Mimi ni mmoja ambaye nilikuwa moyo wa kuchangia damu. Nina kadi yangu kama mchangiaji.
Lakini ilikuja kunikatisha taama pale daktari alipotaka pesa ya damu kwa binti wa shemeji yangu.
Pamoja na kwamba tulikuwepo wachangiaji ambao tulikuwa tayari kuchangia, hakukubali.
Kwa kuokoa maisha ya binti ilibidi pesa zotoke.
Hapo nilivunjwa moyo kuendelea na uchangiaji wa damu.
Wabongo shida.
 
Back
Top Bottom