Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Prof. Janabi: Mbinu za kuepuka kuzeeka mapema

Kwahiyo Janabi hapo alipo anajiona kijana? Eti wote ndio tunaelekea huko kwenye uzee 😀😀

BTW Janabi nilikuwa namuona mjanja kumbe nae anavaa hayo mapete ya Kiswahili? He is cancelled.
Dada,
Unakuta mtu ameyavaa kama sita hivi, kuna za bahati, mara kufukuza majini, mara za kuita majini mazuri n.k 🤣

Ushamba tu
 
Kwa hizo mbinu ningetegemea Janabi awe na babe face lakini yeye ndio amekongoroka na ngozi kupauka kama ya marehemu ama kama vile ana miaka 90.

Janabi aache watu waishi. Kuchukua tahadhari za kawaida kwenye maisha ni jambo jema ila Janabi anataka tuwe extreme, ngozi zetu zikose nuru kama marehemu haiwezekani.
Na hapa ndipo tunapokosea,
Msomi mshauri anayetoa elimu kwa uzoefu wake tena bila gharama.
Vyema kuchukua hatua sasa kuliko kusubiri udhaifu ukuvae
 
Mkurugenzi mtendaji wa hospitali kuu ya taifa ya Muhimbili, Profesa Janabi ameelezea mbinu za kuepuka kuzeeka mapema ambapo ameelezea kama ifuatavyo;

1. Tembea hatua 10,000 kwa siku
2. Kula kwa wastani
3. Punguza wanga
4. Epuka vitu vyenye sukari
5. Epuka sigara, pombe
7. Pata muda kidogo wa kupumzika

Akaongezea, vitu hivyo haviitaji hata senti 5 ya gharama. Akasema tena watu hawafi kwa sababu ni wazee, watu wanakufa kwa sababu ni wagonjwa, ukisoma vitabu vya dini watu walikuwa wanaishi miaka zaidi ya 100.

Leo hii unaweza kukutana na mtu anamiaka 40 na mwingine 30 ukafikiri yule mwenye miaka 30 ndio ana miaka 45.

Sikiliza zaidi.

View attachment 2955861
Mbona yeye kazeeka sasa
 
Janabi anaeleweka vizuri kwa watu wa high class life, watu choka mbaya life hawatamuelewa kwa sababu vitu hivyo/vyakula hivyo huvipata kwa bahati/nadra sana, na wakivipata huvifakamia kwa kuvila wakidhani hawatavipata tena kwa muda wote
 
Kudadeki nime google hatua efu 10 kwa kukadiria ni sawa na kilomita 8...

Hapo bora utafute dakika 20 uzunguke uwanja wa mpira angalau mara tatu kwa wiki
Mimi nina wastani wa kukimbia km 4-5 kwa wiki mara 3. Kwa maana hiyo inabidi niongeze km 4 halafu kwa wastani iwe mara 4. Hebu mgoja nione kesho asubuhi J3 nitaamkaje
 
Kwa hizo mbinu ningetegemea Janabi awe na babe face lakini yeye ndio amekongoroka na ngozi kupauka kama ya marehemu ama kama vile ana miaka 90.

Janabi aache watu waishi. Kuchukua tahadhari za kawaida kwenye maisha ni jambo jema ila Janabi anataka tuwe extreme, ngozi zetu zikose nuru kama marehemu haiwezekani.
Ushauri ni bure, ni kuamua kuufuata ama kuuacha... Yeye hajakulazimisha uishi namna yeye anataka
 
Sema mtu asipokunywa pombe anakuwa na karoho kabaya kamejikunja muda wote korosho ikasome
Sasa hawe na roho mbaya kwenye afya yako... Yeye ukute hata hakujui, yeye katoa ushauri kitaalamu... Wewe unaleta porojo za ulevi
 
Back
Top Bottom