yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Mbona una jaziba wewe?!, kwani yeye kuwa na familia au kuwa kiongozi ina umhimu gn kwenye hizo hoja zake? , tuache kujadili hoja zake kws sababu ni kiongozi na anafamilia!?,huo ujinga wako peleka huko kwa wajinga wenzio.Acheni kebehi za kitoto. Huyu Daktari anatoa ushauri mzuri kwa umma, leo mnamgeuza kituko. Kuwa serious kidogo.Kama ushauri wake sio mzuri kwako acha, lakini huyo ni mtu mzima na ni kiongozi na ana familia pia, jifunzeni kuheshimu watu.
Unaweza kukuta mtu kama mzee Warioba anakula kuliko John Komba (RIP), lkn vinasaba vya mzee Warioba vinataka awe mwembamba.Mtu ni kile anachokula.
Ukila hovyo unanenepa hovyo.
Kuna watu wanakula mithili ya *nguruwe; na hawa ndiyo Janabi anawananga.
Picha ndo hizo kwenye madaNiliposoma neno PICHA nikaja mbiombio nikafikiri ni ile picha nyingine ya chini. Mtoa mada weka picha.
Janabi tokea kifo cha jiwe na ona kama akili haipo vzr kbs,juzi nimefika ofsini kwake mpk nikashangaa,huo ulinzi woote ni kwa sababu ya nn?!. Ana hofu na nini?!, mie ninamwona kama vile hayupo vzr kbs kichwani.Umesahau kuwa hata hapa JamiiForums Wendawazimu pia wapo na wamejazana tele tu? Hao wote Wanaomkebehi Profesa Janabi ni mfano Wao.
Usituseme wote Jibu wengine sisi sio Mapimbi bhana tunaheshimu taaluma za watu bhana...Tatizo letu ngozi nyeusi kitu akisema Ngozi nyeupe hakuna kuhoji tunakubali haraka sana, ila akisema mweusi mwenzetu ni tatizo.
Ingia youtube angalia hizi mambo za intermittent fasting zimejadiliwa na kuwa recommended na madaktari wakubwa tu duniani.
Anachokisema Dr Janabi sio kipya mazwazwa mjielimishe kabla ya kupinga kitu.
kwani gari unaliweka mafuta full tank kila yakipungua? Kula mlo mmoja upunguze huo unene, umeambiwa ukila mlo mmoja hutakufa.View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.
Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.
Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea
Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.
Mwisho, prof. Janabi ni bingwa wa magonjwa ya moyo, huku kwenye nutrition anatafuta nn?
Bora sahv ajikalie kimya tuProf janabi ukitaka kumuelewa unabidi uwe na ufahamu mzuri
Ukienda YouTube kwenye channel ya muhimbili anafundisha kwa kufata mtiririko mzuri Sana .
So the guy is smart and brilliant
Afya za watu zimeyumba kwa mtindo wa maisha
Eti baba level nayo huko anampingaTatizo letu ngozi nyeusi kitu akisema Ngozi nyeupe hakuna kuhoji tunakubali haraka sana, ila akisema mweusi mwenzetu ni tatizo.
Ingia youtube angalia hizi mambo za intermittent fasting zimejadiliwa na kuwa recommended na madaktari wakubwa tu duniani.
Anachokisema Dr Janabi sio kipya mazwazwa mjielimishe kabla ya kupinga kitu.
Kwa uchache tu.View attachment 2916580
Picha ya juu.
Muonekano wa prof. Janabi wakati anakula milo zaidi ya 3 kwa siku.
Picha ya chini.
Muonekano wa prof. Janabi akiwa anakula mlo mmoja tu kwa siku.
Maoni yangu.
Kabla ya kuufuata ushauri wa prof. Janabi tuanze kufuatilia mwenendo wa afya ya mwili wake kwanza. Binafsi namuona kama anafhoofu kila uchwao.
Chakula ni kama mafuta kwenye gari, huwezi kuendelea kuliendesha kama huliongezei mafuta kulingana na km linazotembea
Sasa hii habari kwamba tule mara moja kwa siku, ndugu zangu mtaanguka maofisini mwenu. Shauri zenu.
Mwisho, prof. Janabi ni bingwa wa magonjwa ya moyo, huku kwenye nutrition anatafuta nn?
Kuna visababishi vingi sana vya atherosclerosis, kwann yeye kakomalia msosi tu? After all yeye siyo nutritionist.Kwa uchache tu.
Google neno "Atherosclerosis" ndio utajua Prof Janabi ni nani
Kwa hiyo hivyo vinasaba ndivyo alivyonavyo Janabi?Unaweza kukuta mtu kama mzee Warioba anakula kuliko John Komba (RIP), lkn vinasaba vya mzee Warioba vinataka awe mwembamba.
UnazinguaDuh aiseee
Hajui kulima,wewe piga msosi mkuu!Professor Amekosa Afya Hana Nuru Kabisa, Sasa Ulaji Gani Huo
Utaweza Kwenda Shamba Kulima
mkuu uko sahihi yeye angesema watu wa maofisini tungemuelewa kirahisi mtu uko machimboni unapiga nyundo mwanzo mwisho, uko bandarini unapakia cement ,uko shamba unavuja shasho mwanzo mwisho, ule mara moja kwa cku haiingii akilini afafanue vizuri mie ningemuelewa kama angekuja na ushauri wa kuhamasisha watu wawe na utamaduni wa kufanya mazoezi nchi nzima angeutendea haki huo usoni wake atuache tupambane na hari yetu