Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,327
- 8,142
Huyu amewahi dakwa na kamera akikandamiza pilau sawasawa na machapati ila akieda kwa media anahamasisha kutokula
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
๐ช๐ช๐ชNishindie matango na yai halafu ninamiliki mshangazi.......bwana we
Ulaji huo mkeo unawakabidhi wahuni wamzagamue watakavyoAsubuhi anakula tango moja na mayai mawili ya kuchemsha .na maji glass 4.jioni saa 11 anakula kipande cha boga na sangara aliechemshwa na limao na kitunguu .anashushia na juisi ya anapiga na glas4 za maji
Una fikra za kijima sana, unawaza jembe la mkono la kumaskini. Kilimo siyo mabavu ule ujima.Professor Amekosa Afya Hana Nuru Kabisa, Sasa Ulaji Gani Huo
Utaweza Kwenda Shamba Kulima
Ona mwili wake ulivojikunja.
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Na tutawapigia wake zao sana, na wakileta ugomvi ni kuwazamba ngumi tu sababu hawana hata energy ya kukwepaUlaji huo mkeo unawakabidhi wahuni wamzagamue watakavyo
Kakwambia ana njaa hadi apate vidonda vya tumbo?Anavijua vidonda vya tumbo huyo?
Mkuu sukari ina umuhimu wake tusidanganyane ila tuambie tuwe na kiasi sukari is more than tea tuna matumizi nayo mengiSukari sio muhimu jielimishe kwanza.
Ana kitu kinamsumbua shauri yenu...Professor Amekosa Afya Hana Nuru Kabisa, Sasa Ulaji Gani Huo
Utaweza Kwenda Shamba Kulima
Huwa siwaamini watu kama hawa , kuna jamaa anaitwa Dr Mkumbo na yeye ana mwili kama kagame yaani mwili umemkataa ,wao kwakuwa miili imewakataa hata wale vipi basi wanatumia loophole ya mwili kuwakataa kutoa mafunzo ya lishe.
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
๐ก๐ถ ๐ธ๐๐ฒ๐น๐ถ ๐บ๐ธ๐๐ ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐ต๐ฎ๐ถ๐ป๐ฎ ๐๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ ๐๐ฎ๐ป๐ฎ,, ๐ท๐ฎ๐ฟ๐ถ๐ฏ๐ ๐ต๐ฎ๐๐ฎ ๐ธ๐ ๐ด๐ผ๐ผ๐ด๐น๐ฒ ๐๐ ๐ณ๐๐ป๐ฐ๐๐ถ๐ผ๐ป๐ ๐๐ฎ ๐๐๐ธ๐ฎ๐ฟ๐ถ ๐บ๐๐ถ๐น๐ถ๐ป๐ถ, ๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐ป๐ถ ๐๐๐ฎ๐ผ๐ป๐ฎ ๐ธ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ฎ ๐ต๐ฎ๐ธ๐๐ป๐ฎ ๐๐บ๐๐ต๐ถ๐บ๐ ๐๐ผ๐๐ผ๐๐ฒ.Huyu mzee kuna vitu anatupotosha sana binafsi simtilii maanani tangu alipotoa kauli sukari si muhimu
Kuna mambo mengine hutokea kwa sababu ya umaskini. Umaskini ni mbaya sana. Ukiwa maskini huwezi kupangilia mlo wako kwa sababu kwanza kazi unazofanya zinahitaji ule sana na vyakula unavyopata siyo vya kuchagua bali ni vile unavyobahatika kuvipata. Tatizo kubwa ni kuwa mtu anatoa ushauri kwa ku-base maisha anayoishi yeye na siyo hali halisi ya nchi.Yupo sahihi
Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..
Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa
Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..