Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku


MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Mbona bado upara na makunyanzi yapo?
 
Mkuu sukari ina umuhimu wake tusidanganyane ila tuambie tuwe na kiasi sukari is more than tea tuna matumizi nayo mengi
Sukari siyo chai tu, hili ni kweli. Halafu tatizo la kula sukari nyingi kwa Tanzanaia siyo kubwa sana na vijijini pengine hawapati sukari ya kutosha. Sikatai mafundisho ya kuwaambia watu watumie sukari kwa kiasi, lakini amefanya bad timing kwa kuhalalisha uzembe wa serikali kuwa uzuri.
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Huyu naye aache kueleza maisha ya kitabuni ambayo watanzania wengi hawayajui.Watu wanatafuta kazi na malipo ni mlo huohuo.Au inapita siku hajala kitu.Anapopata chochote wakati wowote ndipo hula.Aache kuchota upepo kwa kijiko.
 
Huwa siwaamini watu kama hawa , kuna jamaa anaitwa Dr Mkumbo na yeye ana mwili kama kagame yaani mwili umemkataa ,wao kwakuwa miili imewakataa hata wale vipi basi wanatumia loophole ya mwili kuwakataa kutoa mafunzo ya lishe.

Usiamini sana vitu vya kwenye mitandao........Hata Bagdhad Godfrey Kweka(Kamba to kamba-Mexicana Lacavela) alikuwa Bonge alikuja kukonda kwasababu Sugar ilimpiga na si diet ,ona Msechu pamoja na kuweka Puto lakini bado mwili upo....Hawa wanaotangaza sijui nilifanya hivi nikapungua ni waongo kuna vitu zaidi ya hivyo wanavyotangaza walifanya wakapungua ,wanatumia hiyo loophole kuwapiga mazwazwa.
Rapper Baghdad kumbe alipungua kwasababu ya diabetes?

Mustafa Hassanali miaka mingi iliyopita kuna wakati alipungua lakini baadaye akarejea kwenye unene.

Marehemu Lemutuz pia alipungua lakini kwasababu ya maradhi.
 
Rapper Baghdad kumbe alipungua kwasababu ya diabetes?

Mustafa Hassanali miaka mingi iliyopita kuna wakati alipungua lakini baadaye akarejea kwenye unene.

Marehemu Lemutuz pia alipungua lakini kwasababu ya maradhi.

Yes Baghdad Sugar ilimpitia ,alisema alikuwa kwa siku anapiga hadi soda 15.

Hasanali alipungua kwasababu aifanya section alipigwa kisu South Africa.

Yes Boma Ye alipungua coz ya kuumwa.
 
Back
Top Bottom