The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Hawa sio wa lusikiliza kaka mimi nachojua wanga kula kulingana na shughuli zakoUlaji huo mkeo unawakabidhi wahuni wamzagamue watakavyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa sio wa lusikiliza kaka mimi nachojua wanga kula kulingana na shughuli zakoUlaji huo mkeo unawakabidhi wahuni wamzagamue watakavyo
Fikra za kijima au ndiyo hali halisi ya ma-laki ya watanzania? Watanzania wengi huko vijijini kazi zao ndizo hizo.Una fikra za kijima sana, unawaza jembe la mkono la kumaskini. Kilimo siyo mabavu ule ujima.
Nadhani kichwa sahii cha uzi huu ilitakiwa kisomeke " Dr Janabi anajitesa mara mbili kwa siku"mtu asinipangie habari ya kula tutagombana wallah
Mbona bado upara na makunyanzi yapo?
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Atakua kakulia mjini huyo, hata kijijini hakujui.Fikra za kijima au ndiyo hali halisi ya ma-laki ya watanzania? Watanzania wengi huko vijijini kazi zao ndizo hizo.
ukimsikiliza utasaidiwa mke na bodaboda wallahNadhani kichwa sahii cha uzi huu ilitakiwa kisomeke " Dr Janabi anajitesa mara mbili kwa siku"
Maana kushindia matango na yai moja ni mchakato wa kujitesa ili ufe.
Angekuwa China angefungwa kwa kosa la kula njama ya kujiua
Ana ujinga flani hivi ila anaufichia kwenye cheo chake.Huyu mzee kuna vitu anatupotosha sana binafsi simtilii maanani tangu alipotoa kauli sukari si muhimu
Sukari siyo chai tu, hili ni kweli. Halafu tatizo la kula sukari nyingi kwa Tanzanaia siyo kubwa sana na vijijini pengine hawapati sukari ya kutosha. Sikatai mafundisho ya kuwaambia watu watumie sukari kwa kiasi, lakini amefanya bad timing kwa kuhalalisha uzembe wa serikali kuwa uzuri.Mkuu sukari ina umuhimu wake tusidanganyane ila tuambie tuwe na kiasi sukari is more than tea tuna matumizi nayo mengi
Huyu naye aache kueleza maisha ya kitabuni ambayo watanzania wengi hawayajui.Watu wanatafuta kazi na malipo ni mlo huohuo.Au inapita siku hajala kitu.Anapopata chochote wakati wowote ndipo hula.Aache kuchota upepo kwa kijiko.
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
NAKAZIASukari siyo chai tu, hili ni kweli. Halafu tatizo la kula sukari nyingi kwa Tanzanaia siyo kubwa sana na vijijini pengine hawapati sukari ya kutosha. Sikatai mafundisho ya kuwaambia watu watumie sukari kwa kiasi, lakini amefanya bad timing kwa kuhalalisha uzembe wa serikali kuwa uzuri.
Ni kweli kabisa. Hajui wengine kina sisi hayo majembe ya kijima ndiyo yametusomesha mpaka tukahitimu chuo kikuu, na Tanzania yote inalishwa na hilo hilo jembe la kijima.Atakua kakulia mjini huyo, hata kijijini hakujui.
Rapper Baghdad kumbe alipungua kwasababu ya diabetes?Huwa siwaamini watu kama hawa , kuna jamaa anaitwa Dr Mkumbo na yeye ana mwili kama kagame yaani mwili umemkataa ,wao kwakuwa miili imewakataa hata wale vipi basi wanatumia loophole ya mwili kuwakataa kutoa mafunzo ya lishe.
Usiamini sana vitu vya kwenye mitandao........Hata Bagdhad Godfrey Kweka(Kamba to kamba-Mexicana Lacavela) alikuwa Bonge alikuja kukonda kwasababu Sugar ilimpiga na si diet ,ona Msechu pamoja na kuweka Puto lakini bado mwili upo....Hawa wanaotangaza sijui nilifanya hivi nikapungua ni waongo kuna vitu zaidi ya hivyo wanavyotangaza walifanya wakapungua ,wanatumia hiyo loophole kuwapiga mazwazwa.
hahahah 😂 😂 😂Kwa hiyo ataishi milele au atakufa na figo nzima au siyo?
Unajinyima weee halafu unakufa kwa ajali ya bodaboda.
Unaposema hunywi kabisa inamaana hata glass moja kwa siku mzee.?Wanalazimisha kunywa maji
Mimi sinywi kabisa ila nadunda
Kila mwili una mpangilio wake
Sukari kwa sana chumvi lazima 😄
Rapper Baghdad kumbe alipungua kwasababu ya diabetes?
Mustafa Hassanali miaka mingi iliyopita kuna wakati alipungua lakini baadaye akarejea kwenye unene.
Marehemu Lemutuz pia alipungua lakini kwasababu ya maradhi.
subiri ufike above 60 utajua hujuiWanalazimisha kunywa maji
Mimi sinywi kabisa ila nadunda
Kila mwili una mpangilio wake
Sukari kwa sana chumvi lazima 😄