Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Madhara ya sukari mwilini hayapo kwenye chai tu. Mwili hausemi kuwa hii ni sukari ya kwenye keki pita kulia, hii ni ya kwenye chai pita kushoto. Hata sukari ya kwenye matunda pia sio nzuri especially kwa haya matunda yatokanayo na GMO.
Hiki ni kizazi chenye access to information kwa kiasi kikubwa sana chukua muda wako Google kuhusu fructose na madhara yake halafu uone pia kama unapenda kujisomea vitabu tafuta kitabu kinaitwa the diabetes code, author ni Dr. Jason Fung kimeeleza kwa undani sana kuhusu type 2 diabetes.
Mkuu una hoja nzuri Ila avatar yako inanuogopesha
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Ndio Futuhi
 
Madhara ya sukari mwilini hayapo kwenye chai tu. Mwili hausemi kuwa hii ni sukari ya kwenye keki pita kulia, hii ni ya kwenye chai pita kushoto. Hata sukari ya kwenye matunda pia sio nzuri especially kwa haya matunda yatokanayo na GMO.
Hiki ni kizazi chenye access to information kwa kiasi kikubwa sana chukua muda wako Google kuhusu fructose na madhara yake halafu uone pia kama unapenda kujisomea vitabu tafuta kitabu kinaitwa the diabetes code, author ni Dr. Jason Fung kimeeleza kwa undani sana kuhusu type 2 diabetes.
Mkuu wewe ni expert wa magonjwa ya Kisukari?
 
Ana nidhamu ya kula. Ishu ya kulakula inategemeana na uwezo wa mtu kupata chakula. Huwezi kupanga masaa ya kula kama huna uhakika wa kula utakulakula chochote kinacholiwa ukikutana nacho. Wengine hufakamia vyakula kwa kuwa wamevipata kama bahati na hawana uhakika wa kuvipata tena kwa hiyo wanavibugia. Unakuta mtu hana utaratibu wa kula kwa kuwa bajeti murua ya chakula hana. Wengine wana uwezo wa kupata chakula aina zote ila nidhamu ya kula hawana
Umenikumbusha, kuna siku niliona ma Ostadh wananyang'anyana ubwabawa kwenye sherehe ya Maulid...haha
 
Hivi ukizingatia kula kama anavyoshauri Dokta Janabi ndiyo utaishi milele hapa Duniani?

Yaani Duniani tuteseka na Mbinguni pia tukateseke

Nashauri kama ukipata Kula sana, ukikosa kunywa Maji ulale
 
Wanalazimisha kunywa maji
Mimi sinywi kabisa ila nadunda
Kila mwili una mpangilio wake
Sukari kwa sana chumvi lazima 😄
Ukienda Muhimbili ukipimwa,ukute unakimbizwa ICU.
Ulishasikia mtu kaanguka kafa ghafla?
Tufuate ushauri wa madaktari,fusil ate tamaa.
Baadhi yetu tunaenda hospitalini tukiwa hatua za mwisho kabisa,mtu anajiona yupo njema,kumbe ndani alishaisha.
 
Nakula ninaposikia njaa. Pia ulaji unategemeana na shughuli yako.


Naweza amka siku nzima nikala mlo mmoja tu. Sijisikii siku hiyo. Naweza siku nikala miwili pia siku nikala mitatu hadi minne.

Ila mara nyingi usiku navusha.

Nakula hasubuhi na jioni.
 
Back
Top Bottom