Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
picha hiyo ni ya Mzungu siyo mmatumbi.Siku ukipata type 2 diabetes utajua hujui. View attachment 2910581
Mkuu una hoja nzuri Ila avatar yako inanuogopeshaMadhara ya sukari mwilini hayapo kwenye chai tu. Mwili hausemi kuwa hii ni sukari ya kwenye keki pita kulia, hii ni ya kwenye chai pita kushoto. Hata sukari ya kwenye matunda pia sio nzuri especially kwa haya matunda yatokanayo na GMO.
Hiki ni kizazi chenye access to information kwa kiasi kikubwa sana chukua muda wako Google kuhusu fructose na madhara yake halafu uone pia kama unapenda kujisomea vitabu tafuta kitabu kinaitwa the diabetes code, author ni Dr. Jason Fung kimeeleza kwa undani sana kuhusu type 2 diabetes.
Ndio Futuhi
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Oya nini hiki? Huu Mguu umekumbwa na nini huko Palestina?Siku ukipata type 2 diabetes utajua hujui. View attachment 2910581
Mkuu wewe ni expert wa magonjwa ya Kisukari?Madhara ya sukari mwilini hayapo kwenye chai tu. Mwili hausemi kuwa hii ni sukari ya kwenye keki pita kulia, hii ni ya kwenye chai pita kushoto. Hata sukari ya kwenye matunda pia sio nzuri especially kwa haya matunda yatokanayo na GMO.
Hiki ni kizazi chenye access to information kwa kiasi kikubwa sana chukua muda wako Google kuhusu fructose na madhara yake halafu uone pia kama unapenda kujisomea vitabu tafuta kitabu kinaitwa the diabetes code, author ni Dr. Jason Fung kimeeleza kwa undani sana kuhusu type 2 diabetes.
Umenikumbusha, kuna siku niliona ma Ostadh wananyang'anyana ubwabawa kwenye sherehe ya Maulid...hahaAna nidhamu ya kula. Ishu ya kulakula inategemeana na uwezo wa mtu kupata chakula. Huwezi kupanga masaa ya kula kama huna uhakika wa kula utakulakula chochote kinacholiwa ukikutana nacho. Wengine hufakamia vyakula kwa kuwa wamevipata kama bahati na hawana uhakika wa kuvipata tena kwa hiyo wanavibugia. Unakuta mtu hana utaratibu wa kula kwa kuwa bajeti murua ya chakula hana. Wengine wana uwezo wa kupata chakula aina zote ila nidhamu ya kula hawana
Kuna Siku nilikua naumwa vibaya huwezi kuamini Soda ndio iliyonitibu, usiulize ilinitibu vipi wewe jua Soda ilinitibuSoda huwa sio nzuri, zina viwango vikubwa vya sukari.
Chini ya 70Inasaidia kuishi miaka mingi
Mambo mengine ukifikiria sana, ni hofu ya kifo tuChini ya 70
Ukivuka 70 hapo wewe ni mteja wa hospitalMambo mengine ukifikiria sana, ni hofu ya kifo tu
Ukivuka 70 hapo wewe ni mteja wa hospital
Hapo ushakua gari la Mkaa trip shamba trip garageNi kawaida kwa sababu; tangu umezaliwa na kufikia umri fulani, viungo vya ndani ya mwili havijawahi kupumzika, kama vile maini, kongosho, moyo, mapafu n.k; kwa hiyo kwa umri unavyoongezeka navyo vinachoka, kwa hiyo ni muhimu kuvipunguzia mzigo.
Ukienda Muhimbili ukipimwa,ukute unakimbizwa ICU.Wanalazimisha kunywa maji
Mimi sinywi kabisa ila nadunda
Kila mwili una mpangilio wake
Sukari kwa sana chumvi lazima 😄