Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ndio hivyo, na gereji ya mwanadamu ni hospitaliHapo ushakua gari la Mkaa trip shamba trip garage
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo, na gereji ya mwanadamu ni hospitaliHapo ushakua gari la Mkaa trip shamba trip garage
Ndio hivyo yaan hapo Janab pamoja na mbwembwe zote ana ugonjwa wake unaomsumbua na yeye ana Dakitari wake anaemfanyia repairNdio hivyo, na gereji ya mwanadamu ni hospitali
🤣🤣 mkuu unazijua pasi ndefu? Goal mpaka goal mchana bila bila halafu umwambie mtu usiku ale kidogoYupo sahihi
Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..
Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa
Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..
Usiku unafidia kesho asubuhi na Mchana alafu unalala wabeba makokoto kule machimbo wanaelewa🤣🤣 mkuu unazijua pasi ndefu? Goal mpaka goal mchana bila bila halafu umwambie mtu usiku ale kidogo
Ni kweli Acha sukari na punguza Wanga.Huyu mzee kuna vitu anatupotosha sana binafsi simtilii maanani tangu alipotoa kauli sukari si muhimu
Mchana muda wa Lunch anapiga Karoti 2 na glass 3 za juice ya mwarobaini.Asubuhi anakula tango moja na mayai mawili ya kuchemsha .na maji glass 4.jioni saa 11 anakula kipande cha boga na sangara aliechemshwa na limao na kitunguu .anashushia na juisi ya anapiga na glas4 za maji
Mimi kuna siku nilisema nifuate huo ushauri wa kula matunda usiku nikanunua matunda mengi ya wiki nzima. Cha kushangaza niliyamaliza siku hiyohiyo niliyonunua. Nikaachana na huo mpango.Yupo sahihi
Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..
Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa
Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..
Swali: HATOKUFA?
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
na ndiyo target yake, hao wengine wa dona bamia tena mara moja siku nzima, siku wakikutana na misosi lukuki kama ile ya bufee wafakamie tu wale tani yao kila hot pot wapakuliwe hata sahani mbili zilizojaaHapa anaongelea wenye vipato vya uhakika wewe enndelea kula tu kila kinapopatikana
Maandiko pia yanasema starehe ya mwanadamu Ni Kula Na kunywa vingine ni ubatiliHivi ukizingatia kula kama anavyoshauri Dokta Janabi ndiyo utaishi milele hapa Duniani?
Yaani Duniani tuteseka na Mbinguni pia tukateseke
Nashauri kama ukipata Kula sana, ukikosa kunywa Maji ulale
Njaa haiumi ukilala bila Kula usikuNakula ninaposikia njaa. Pia ulaji unategemeana na shughuli yako.
Naweza amka siku nzima nikala mlo mmoja tu. Sijisikii siku hiyo. Naweza siku nikala miwili pia siku nikala mitatu hadi minne.
Ila mara nyingi usiku navusha.
Nakula hasubuhi na jioni.
sasa yeye ameshazeeka, sisi wenzake usipokula na jioni una mzigo wa kumtwanga waifu hadi aridhike, si utaaibika sasa, kweli nile mara mbili na nimlale mke wangu nimridhishe kabisa kabisa? yeye kazeeka ale mara mbili mimi nakula mara tatu kwasababu ipo sehemu naenda kutumia icho chakula. chakula pia ni muhimu mwilini, usipokula ukakosa virutubisho siku ukiugua kinga inakuwa ndogo sana, unaweza kuondoka. huyu prof kama ametumwa aisee. tangu tuzaliwe madaktari wenzake duniani kote mbona hawanaga vimbwanga kama vya kwake?
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.