Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Yupo sahihi

Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..

Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa

Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..
🤣🤣 mkuu unazijua pasi ndefu? Goal mpaka goal mchana bila bila halafu umwambie mtu usiku ale kidogo
 
Yupo sahihi

Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..

Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa

Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..
Mimi kuna siku nilisema nifuate huo ushauri wa kula matunda usiku nikanunua matunda mengi ya wiki nzima. Cha kushangaza niliyamaliza siku hiyohiyo niliyonunua. Nikaachana na huo mpango.
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Swali: HATOKUFA?
 
Hapa anaongelea wenye vipato vya uhakika wewe enndelea kula tu kila kinapopatikana
na ndiyo target yake, hao wengine wa dona bamia tena mara moja siku nzima, siku wakikutana na misosi lukuki kama ile ya bufee wafakamie tu wale tani yao kila hot pot wapakuliwe hata sahani mbili zilizojaa
 
Ulaji mbaya pia unajaza choo, unakuta mtu anashusha kilo mbili chooni kisa tu alikula chakula kingi, choo kitaachaje kujaa haraka? Nidhamu ya kula haipo, kwenye sherehe pale bufee mtu anachukua kila chakula na kujaza sahani na atarudia tena. Aibu hana anafika mpaka mwisho wa bufee zenye msururu mrefu wa vyakula vingi. Ulaji wa aibu sana unaibisha mabosi wa kazini kwako wataona una njaa kali na huwa huli vyakula hivyo unafakamia tu
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
sasa yeye ameshazeeka, sisi wenzake usipokula na jioni una mzigo wa kumtwanga waifu hadi aridhike, si utaaibika sasa, kweli nile mara mbili na nimlale mke wangu nimridhishe kabisa kabisa? yeye kazeeka ale mara mbili mimi nakula mara tatu kwasababu ipo sehemu naenda kutumia icho chakula. chakula pia ni muhimu mwilini, usipokula ukakosa virutubisho siku ukiugua kinga inakuwa ndogo sana, unaweza kuondoka. huyu prof kama ametumwa aisee. tangu tuzaliwe madaktari wenzake duniani kote mbona hawanaga vimbwanga kama vya kwake?
 
Back
Top Bottom