Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku

Prof. Janabi: Nakula mara mbili kwa siku


MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Huyu amewahi dakwa na kamera akikandamiza pilau sawasawa na machapati ila akieda kwa media anahamasisha kutokula
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Ona mwili wake ulivojikunja.

Kuleni vijana, huyo ni doctor labda anatumia supplements pia ambazo hawezi zisema hapo kwa sababu kadhaa. Kuna wanajeshi wao mlo wao ni kidonge (supplement tu)

Nareport kutoka shishi food hapa nasubiri mlo wa nne uletwe
 

MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.

Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.

Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Huwa siwaamini watu kama hawa , kuna jamaa anaitwa Dr Mkumbo na yeye ana mwili kama kagame yaani mwili umemkataa ,wao kwakuwa miili imewakataa hata wale vipi basi wanatumia loophole ya mwili kuwakataa kutoa mafunzo ya lishe.

Usiamini sana vitu vya kwenye mitandao........Hata Bagdhad Godfrey Kweka(Kamba to kamba-Mexicana Lacavela) alikuwa Bonge alikuja kukonda kwasababu Sugar ilimpiga na si diet ,ona Msechu pamoja na kuweka Puto lakini bado mwili upo....Hawa wanaotangaza sijui nilifanya hivi nikapungua ni waongo kuna vitu zaidi ya hivyo wanavyotangaza walifanya wakapungua ,wanatumia hiyo loophole kuwapiga mazwazwa.
 
Huyu mzee kuna vitu anatupotosha sana binafsi simtilii maanani tangu alipotoa kauli sukari si muhimu
𝗡𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗹𝗶 𝗺𝗸𝘂𝘂 𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗵𝗮𝗶𝗻𝗮 𝘂𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝘀𝗮𝗻𝗮,, 𝗷𝗮𝗿𝗶𝗯𝘂 𝗵𝗮𝘁𝗮 𝗸𝘂 𝗴𝗼𝗼𝗴𝗹𝗲 𝘁𝘂 𝗳𝘂𝗻𝗰𝘁𝗶𝗼𝗻𝘀 𝘇𝗮 𝘀𝘂𝗸𝗮𝗿𝗶 𝗺𝘄𝗶𝗹𝗶𝗻𝗶, 𝗻𝗮𝘇𝗮𝗻𝗶 𝘂𝘁𝗮𝗼𝗻𝗮 𝗸𝗮𝗯𝗶𝘀𝗮 𝗵𝗮𝗸𝘂𝗻𝗮 𝘂𝗺𝘂𝗵𝗶𝗺𝘂 𝘄𝗼𝘄𝗼𝘁𝗲.
 
Yupo sahihi

Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..

Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa

Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..
Kuna mambo mengine hutokea kwa sababu ya umaskini. Umaskini ni mbaya sana. Ukiwa maskini huwezi kupangilia mlo wako kwa sababu kwanza kazi unazofanya zinahitaji ule sana na vyakula unavyopata siyo vya kuchagua bali ni vile unavyobahatika kuvipata. Tatizo kubwa ni kuwa mtu anatoa ushauri kwa ku-base maisha anayoishi yeye na siyo hali halisi ya nchi.
 
Back
Top Bottom