Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Haswa bossKwa hili kila mtu ale na kunywa kadiri mwili unavyohitaji!
Hahaha..Asubuhi anakula tango moja na mayai mawili ya kuchemsha .na maji glass 4.jioni saa 11 anakula kipande cha boga na sangara aliechemshwa na limao na kitunguu .anashushia na juisi ya anapiga na glas4 za maji
Mkuu, hakuna video clip ya huyo dr akiongea hayo?
MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Prof. Mohamed Janabi, amesema katika maisha yake na kile anachoishauri jamii anamaanisha na kukiishi.
Amesema kwa siku anapata mlo mara mbili, na kila mlo unapishana kwa saa kadhaa, akijieupusha kula mara kwa mara.
Prof. Janabi ameyasema hayo leo, jijini Dar es Salaam, kwenye mahojiano maalum na vyombo vya habari.
Mkuu ushawahi kuamshwa na njaa usiku?😂😂 kama watu wanafagia tumbon na panga
Naelewa mkuu unaona wenge hatari, dunia kama inazungukia kichwani 😂Mkuu ushawahi kuamshwa na njaa usiku?
Je anafanya mazoezi?Kwa ratiba zake kula amwpoteza nuru amekuwa kama mjela jela ......amepauka
Nashani kikubwa anatakiwa ashauri watu wale vyakula salama na kufanya mazoezi baaasi. Aaache mbwe mbwe zakeHuyu naye waandishi waache kuongea naye,mimi mbeba zege na magunia nile mara mbili? Anachosha sana kila siku ni yeye
Hicho chakula laini unakitoa wapi chief?vitu vingine muwe mnaongea reality hizo mambo kibongobongo sio rahisi sana kama mnavyojisemeshaYupo sahihi
Ila kiukweli katika mambo ambayo wabongo tumeshindwa ni kuacha kula sana usiku..
Usiku mtu anafukia utafikiri anakwenda kupakia mawe..mwishowe ni kuota ndoto mbaya za kukabwa na wachawi..kumbe umevimbiwa
Usiku unatakiwa ule kidogo tena chakula laini au ule tunda ulale..
Mi nikifanya hivyo mwezi mzima mnaweza kunipoteza,wacha tu niendelee na mazoezi huku nikila mara 3 kwa siku...Asubuhi anakula tango moja na mayai mawili ya kuchemsha .na maji glass 4.jioni saa 11 anakula kipande cha boga na sangara aliechemshwa na limao na kitunguu .anashushia na juisi ya anapiga na glas4 za maji
Nyie wataalamu mnatuchanganya mara ukikaa na njaa muda mrefu unaweza ukapata maradhi mara ukila mara kwa mara pia tunapata maradhi!!??!?!? niwaombe mtuache sisi tutakula tutakula tutakavyo na tupo pamoja mpaka uzeeni uko mbele mbele.....!Hapa namuunga mkono
Anajishaua tu, mwache kwanzaHalafu unakuta mtu kama huyu anakuja pata kitu kizito mpaka ashangae
Bora wewe mwezi.Mi nikifanya hivyo mwezi mzima mnaweza kunipoteza,wacha tu niendelee na mazoezi huku nikila mara 3 kwa siku...
Uko sahihi. Kwakifup kama hauna changamoto yoyote ya kiafya, kula tu huku ukizingatia utaratibuNyie wataalamu mnatuchanganya mara ukikaa na njaa muda mrefu unaweza ukapata maradhi mara ukila mara kwa mara pia tunapata maradhi!!??!?!? niwaombe mtuache sisi tutakula tutakula tutakavyo na tupo pamoja mpaka uzeeni uko mbele mbele.....!
Kabisa kabisaaa.Haswa boss
Wasitupangie
Wa hivyo huwa wanakuja kupata magonjwa ya ajabu God Forbid
Daaa jamaa anafanya sanaa mazoezi....Je anafanya mazoezi?