Prof Jay: Ferooz akiwa wa moto sana alikuwa hagusiki yaani uvimbaji kama wote

Kuna siku nimekutana na freooz na picnic arusha anachekacheka tu 😀😀malaya wanamkimbilia na wahuni wanampa offer za bia
 
Labda Billion ya Zimbabwe sio ya Tanzania tena kwa miaka ile, tupeni break sie,
Niliamini maana nimeshamsikia master Jay na p funk wanatoa ushuhuda wa pesa walizoona wasanii wakilipwa, na wasanii wenze pia mfano Soggy wamesimulia Maisha ya Nice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…