MasterGamaliel
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 923
- 1,001
Bavicha walisema yule jamaa alilipwa kimyakimya ndio maana ndege ikaachiwa kule south africa!
Mkuu
Kwann unapenda sana siasa za kijamaa ?
DuuuWaziri wa mambo ya nje prof kabudi amesema ndege ya AIR TANZANIA bombardier Q400 imekatwa (ipo grounded) nchini canada
SOURCE
mwananchi updatesView attachment 1269874
ElimuMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Jamaa naona kashikwa sehemu nyeti
[/QUOTE
Kila kukicha mabeberu wanapanga njama za kumwangusha Jiwe!
Brother, dawa ya deni kulipa, ubabe haumkimbizi mdai haki yakeMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Wewe ni m.pumbavu kwani hizo habari nani kazitoa?! Si profesa wa jalalani Kabudi?Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
Utaelewa tu mkuu tulia maana mkulima hajawahi kushindwa
“Ndege yetu ambayo ilikuwa inajiandaa kutoka Canada kuja Tanzania imekamatwa na aliyesababisha kukamatwa ni yuleyule ambaye alifanya hivyo Afrika Kusini na tukamshinda Mahakamani sasa amekimbilia Canada” - Waziri Kabudi
#JPMUapishoMabalozi East Africa TV on Twitter
Mkulima alichezewa faulu South Africa baada ya kutembeza Rushwa na gharama kubwa kuwasafisha umati kwenda kuikomboa Ndege, sasa wakisafirisha umati mwingine kwenda Canada gharama itakuwa sawa na kununua Ndege ingine mpyaHahaha ndiyo maana tuna fastresheni za kugombeza wakurugenzi bila sababu ya msingi
Canada siyo south Africa wewe kengee wa lumumba hapa ni kulipaa denii.jeuri kakutana na jeuri yake tuone sasa.na hizo ndege mzirushe humu humu ndani ikitoka nje tu zinakamatwaMabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Haki ya mtu haipotei hawataki kulipa madeni wanatumia ubabeJambo jema kuwa safari hii habari zenyewe zimetoka ndani ya serikali. Tunapiga hatua mbele.
Mkuu kuna mtu humu kawahi kukuomba ada ya January, muhusika katupasha tu habari sisi walipa kodi.Hizo Habari ndio mnazipenda badala ya kushughulika na Ada na kodi za January
Kabudi kalisemea hili live walipo kuwa wanaapishwa mabalozi Ikulu Dodoma
Hiyo habari za ada zinakuhusu wewe usiye na uhakika wa kipato
Kule South Africa ni Africa na Tabia zao ni mbovu walipokea Rushwa wakaachia Ndege lakini hapa Canada hawana ujinga huo ni haki bini hakiCanada siyo south Africa wewe kengee wa lumumba hapa ni kulipaa denii.jeuri kakutana na jeuri yake tuone sasa.na hizo ndege mzirushe humu humu ndani ikitoka nje tu zinakamatwa
Mkuu
Kwann unapenda sana siasa za kijamaa ?
Lol yaan wewe nimechekaaDigrii nne (4) nenda kaokoe jahazi View attachment 1269890