Ndege hiyooooooooo
Kamshindeni na huko Canada sasa,pelekeni yule jamaa mwenye digrii nne si mwanasheria yule au...βNdege yetu ambayo ilikuwa inajiandaa kutoka Canada kuja Tanzania imekamatwa na aliyesababisha kukamatwa ni yuleyule ambaye alifanya hivyo Afrika Kusini na tukamshinda Mahakamani sasa amekimbilia Canadaβ - Waziri Kabudi
#JPMUapishoMabalozi East Africa TV on Twitter
Cha ajabu pesa inayotumika kupambana kukwepa deni ni kubwa kuliko kulipa deniAcheni utapeli pumbavu nyie ccm .
Lipeni pesa za watu
Alie na uhakika wa kipato hawezi kuwa na ujinga wa level yako
CCM mkienda kuomba omba misaada munawaita wazungu wafadhili lakini mkivurunda wakawakemea mnaanza kuwaita mabeberu
Kwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?βNdege yetu ambayo ilikuwa inajiandaa kutoka Canada kuja Tanzania imekamatwa na aliyesababisha kukamatwa ni yuleyule ambaye alifanya hivyo Afrika Kusini na tukamshinda Mahakamani sasa amekimbilia Canadaβ - Waziri Kabudi
#JPMUapishoMabalozi East Africa TV on Twitter
Canada hawapokei Rushwa kama South AfricaKamshindeni na huko Canada sasa,pelekeni yule jamaa mwenye digrii nne si mwanasheria yule au...
Sio kutwa anashinda na kina Hamonaizi tu..
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Jambo jema, kama ni kweli, kuwa safari hii habari zenyewe zimetoka ndani ya serikali. Tunapiga hatua mbele.
Hoja ipi unataka wakati wewe huna hoja na hujui kitu zaidi ya kushabikia ubabe wa kishamba toka kolomijeNenda kajipange, maana hapo hamna hoja uliyoiongea.
Ila yule babu mbishi dah!ataua watu kwa presha..Canada hawapokei Rushwa kama South Africa
Yaani wachekelea ? Hovyo kabisa ! Eti na wewe wajiita mtanzania?ππππ
tatizo nn mkuu ?
Tatizo linakuja sasa ile pesa ya mkulima Kabudi aliichukua kaitafuna baada ya kuamini wamemdhibiti, hapo alipo kichwa kinamuumaKwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?
Kule ni taratibu zilikosewa na watu hata humu JF walionya sana kuwa tunafunika moto kwa kuufunika kwa jivu. Wanasiasa nao walionya wakaitwa mabeberu Jr, wakanyamaza. Serikali ikaanza matambo kama ya kijiweni eti ilipeleka PhD ngapi sijui, wakapongezana hadi Bungeni na magazeti yao yote.
Tunasema tena, tumejikita kupeleka mambo yetu kishamba sana na sifa za kijinga lakini yakiharibika tunataka RAIA wote eti wasikitike na hilo batch la watu wa hovyo. Hapana, ujinga huo ni wenu wenyewe na sasa sijui kama mkulima hata lipwa tena.
Mimi nashangaa...hivi huyo mkulima anadai kiasi gani ambacho serikali inashindwa kulipa tukamaliza hii ishu? Hizo ndege sasa zitashindwa kwenda nje ya nchi kwa hofu ya kumamatwaKwa nini Kabudi anapenda kumdanganya Rais kila apatapo nafasi? Hivi kesi ya Mkulima tulishinda wakati deni lilikuwa palepale?
Kule ni taratibu zilikosewa na watu hata humu JF walionya sana kuwa tunafunika moto kwa kuufunika kwa jivu. Wanasiasa nao walionya wakaitwa mabeberu Jr, wakanyamaza. Serikali ikaanza matambo kama ya kijiweni eti ilipeleka PhD ngapi sijui, wakapongezana hadi Bungeni na magazeti yao yote.
Tunasema tena, tumejikita kupeleka mambo yetu kishamba sana na sifa za kijinga lakini yakiharibika tunataka RAIA wote eti wasikitike na hilo batch la watu wa hovyo. Hapana, ujinga huo ni wenu wenyewe na sasa sijui kama mkulima hata lipwa tena.