Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Hata mimi siaminiMbona kama imekaa kizushi zushi [emoji848]
Kwa mfano hata wakikamata for 100 years, wewe unanufaikaje as individual?Hiyo habari za ada zinakuhusu wewe usiye na uhakika wa kipato
Waunganishe na upi ?unganisheni mods
MkuuMabeberu kwisha Habari yao
Tutawanyoonsha
Waziri wa mambo ya nje prof kabudi amesema ndege ya AIR TANZANIA bombardier Q400 imekatwa (ipo grounded) nchini canada
SOURCE
mwananchi updatesView attachment 1269874
Meko ana bahati mbaya
Wamekwishaje sasa na wanashikilia ndege
kikosi cha wanasheria kitumwe kama walivyo fanya kule SAWaziri wa mambo ya nje prof kabudi amesema ndege ya AIR TANZANIA bombardier Q400 imekatwa (ipo grounded) nchini canada
SOURCE
mwananchi updatesView attachment 1269874
Mabeberu na michezo yao ya kishetani
Wamemshindwa kwenye karatasi sasa wanavizia mali zetu
Rais Magufuli funga Ubalozi wa Canada Ndani ya saa 72 ili watoe Maelezo
Kwa mfano hata wakikamata for 100 years, wewe unanufaikaje as individual?
Hiyo ndiyo njia pekeelipeni madeni.
Tunasubiri taarifa kamili,ila itakua ni madenitatizo nn mkuu ?