M production
Member
- Jul 25, 2016
- 14
- 10
Hata wale wajana sio wa CUF utaona watakapo ishia.Nalikumbuka swali lako... na wakati watu tunaelezea uhalisia, wengine walitukejeli! Leo hii inashangaza kuona mtu asiye na wafuasi lakini bado ameweza kuingia HQ! Na tukiweka unafiki pembeni, hata hapa JF tunaowaona wapo sana upande wa akina Mtatiro ni watu wa CHADEMA ndio wengi kuliko CUF!
Na Mie Nahofia IloSio threat kwa ccm, ila the hpothesis so far, which is greatly turning into a fact, is that they are using this situation as a way ya kudhoofisha ukawa pia.Since CUF ni moja ya chama kikubwa kilichokuwa kinatengeneza ukawa, so wakifanikiwa kumback up Lipumba(through msajili wa vyama vya siasa na polisi as we have seen) akafanikisha agenda yake. Then cuf itakuwa imedhoofika vya kutosha which will inturn put huu muungano wa ukawa at risk.
Ile ilikuwa planned baada ya kuwa amejiuzulu na akaleta fujo kwenye kikao kisichomhusu. Wewe ujiuzulu kwa barua si kwa maneno halafu urudi use m/kiti wa kikao wapi na wapi ?Kikao kilichoketi 28,August kilitangaza kumfukuza uanachama Lipumba.
Ujio wa Li-Pumba CUF unafurahiwa na Wana-Lumumba zaidi kuliko wana CUF wenyeweHatua hii kaichukua kwa madai ya kwamba anakisuka chama upya. Professor Lipumba kachukua hatua hii mara baada ya jana kurudi katika kiti chake ikiwa ni maamuzi ya msajili wa vyama vya siasa, ambaye kisheria ndio mlezi wa vyama vyote vya siasa!...
Katika kauli yake, kasema hii ni hatua ya kawaida katika kusuka chama ili kiendane na wakati na kujipanga kwa uchaguzi wa meya Kinondoni na Ubungo, na uchaguzi mkuu wa 2020...
Pia, Prof. Lipumba kawaonya wabunge wa CUF kuacha kurukia mambo na kasema watii katiba, sheria, na kanuni za chama hicho vinginevyo watapoteza nafasi zao
Hayo yakiwa yanaendelea kwa upande mwingine viongozi wa mpito wakiongozwa na Mtatiro na Maalim Seif wameitisha baraza kuu itakayofanyika siku ya Jumanne Zanzibar ili kutoa kauli ya pamoja ya kupinga maamuzi ya Jaji Mtungi
Ha ha ha ...nimekupata mkuuWeee hawawezi kuthubutu, CHADEMA namba ingne, si tutamalizia ule mkono wake m1 uliobaki
Huu ndio ukweli na watafanikiwa...ni hatari sanaUsipate shida sana mkuu. Ni suala la ZANZIBAR na uchaguzi uliovurugwa na Jecha. Hapa lengo ni kuifuta CUF kama ni chama cha siasa ili suala la uchaguzi Zanzibar liwe halina mashiko kwa Maalim Seif as his political party will be no longer existing!
Kitakachofata kutoka hapo ni Independent Zanzibar. Mark my words!
Maneno mengi ya nini wakati nimeshaweka proposal mezani?Wakishaenda nini kitatokea? Au unataka wale wahuni na polisi wanaomlinda Lipumba wawaletee vurugu ndio ufurahi? Hivi Lipumba alivyoniuzulu CUF haikuwa na wafuasi ? Ndio maana nimekuambia kama ni wafuasi hata Diamond anao na wewe ni mmoja wa wafuasi wake!
Sawa mkuu!Hata wale wajana sio wa CUF utaona watakapo ishia.
Kile kikao kilichofanyika Ubungo Plaza mpaka Lipumba na Kundi lake wakaingilia kuvuruga kikao ilikua Zanzibar ile??Profesa anadai haki yake kwani kadhalilishwa sana na Sefu...
Hujiulizi kwanini vikao vinafanyikia Zanzibar na sio Bara?
Sefu atamjua tu Profesa maana hajui mziki wake. Mziki wa Profesa sio wa Dr Slaa ambaye aliiacha Chadema akaenda ughaibuni...Profesa ni Jino kwa Jino hasaaa yaani ni Ngangari kinomaaaa...
Safari hii mmempa bei gani?!safi sana Prof suka upya chama tunahitaji wapinzani ngangari
Kati ya Lipumba na Seif nani ana uchu zaid? Mwingine uchu umemfikisha hadi UN.Katika hili hutakaa usikie maCCM yakisema Lipumba ana uchu wa madaraka!
[HASHTAG]#WanafikiDetected[/HASHTAG]
Niliwahi kuuliza humu CUF Lipumba yuko peke yakeau ana wafuasi?
naona kumbe kina Mtatiro hawajui wanachofanya
Halafu Mtatiro nae kahamia Zanzibar?
Una akili sana ccm ila niwe mileleMimi naona hii imefanyika ili kudhoofisha chama hatimaye washindwe kudhiriki kikamilifu katika zoezi la kumtafuta Mayor wa DSM
Tunazungumzia ya sasa na sio ya kale...kwanini vikao vyote sasahivi ni Zanzibar?.Kile kikao kilichofanyika Ubungo Plaza mpaka Lipumba na Kundi lake wakaingilia kuvuruga kikao ilikua Zanzibar ile??