Tetesi: Prof. Lipumba awafukuza kazi wakurugenzi wote wa CUF

Status
Not open for further replies.
Tunazungumzia ya sasa na sio ya kale...kwanini vikao vyote sasahivi ni Zanzibar?.
CUF bara haikubaliani na jinsi Seif anavyoiacha CUF isemewe na CDM ( lowassa).

Vijana wa ngangari washaijua janja hii ya nyani [emoji1] [emoji1]
 
Mkuu The Boss, nimekuelewa kadri ya uelewa wangu, na bado ninakudai utuwekee hapa hayo 'madai' ya wafuasi wa Lipumba dhidi ya Seif na Mtatiro...
 
Watu wengi wanapenda kufanya mambo kihisia tu
hawataki kutazama reality....Lipumba hata kama kanunuliwa na CCM..
akiweza kuwa na wafuasi tu basi ni tatizo
siasa ni watu na sio sheria...
Hivi tofauti ya wafuasi na mashabiki ni nini?
 
Kama una ile video yake ya Dhamira kumsuta itupie ili tujikumbushe.
 
Kwamba maamuzi yote yanatokea Zanzibar hilo lipo wazi na Mtatiro anatumika tu na CUF Zanzibar!

Kuhusu Lowassa, naamini sio tatizo lakini naamini Maalim Seif ana hofu kurejea kwa Lipumba kutahatarisha uhusiano wao na UKAWA kv tu Lipumba hakuwa kwenye good terms na EL! Siamini kwamba kinachomvuta Maalim Seif UKAWA ni uhusiano wa kisiasa kwa ujumla wake bali kuitumia UKAWA ktk agenda ya Zanzibar! Kisiasa, CHADEMA na CUF ni vitu viwili tofauti!!
 
Mbona Maandamano ya Hawa hayajaTawanywa na FFU , Wakati Maandamano yamekatazwa Nchi Nzima? Polisi Wamelazimika Kuyaruhusu haya Kwa Amri ya Nani?
Walikuwa na barua ya kisheria kutoka kwa msajili wa vyama, ruhusa ya kuingia ofisini kisheria
 
na kesi ya UN iko shakani....njaa ni nomaaa
 
Hata kama hana, atatafutiwa wafuasi. Wasípokuwa makini CUF is gone..,na hii ni hatari sana kwa mstakabali wa Zanzibar. Anatafutwa Maalím Seif kwa kumtumia Lípumba. This is so sad, siasa si muda mlefu zinatupeleka ťusikotaka
 
Sawa tulikubali lipumba ni kikwazo lakini safari hii ni kikwazo ZAIDI maana nyoka amepita huko na huko na sasa Yuko NDANI ya nyumba tena kwa mara nyingine tena
Kumtoa huko ni shughuli haswaa!
Kweli kabisa chief nyoka yupo ndani ya nyumba.....hata sijui kaibukia wapi huyu kumbe,labda kwa vile sijui sheria maana nisingeona shida kumburuza nje bila huruma.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…