Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

Aulizwe Kabudi na kina Mwendazake walioileta 😁😁

Japo Sina uhakika Kwa anachosema Kwa sababu unaposema hatuingii kwenye Management na wakati Huwa zinaundwa kampuni tanzu Zenye uwakilishi wa Serikali kwenye Management inaleta mkanganyo..

Nimemsikia Dotto akisema tutakuwa na uwakilishi kwenye management ya kampuni tanzu Kwa level zote.
Kuwa na uwakilishi bado halijawa takwa la kisheria kwa mujibu wa sheria yetu ya madini. Sheria inabidi irekebishwe ili hilo liwe lazima,mwekezaji atake asitake!
 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote!
Haisaidii kivipi wakati ndio unaweza husika kwenye maamuzi. Na sio menejimenti Bali Bodi Ili hata investment decisions, Transfer pricing, Capital flights zote utaziona zinavyo flow so utalinda maslahi ya taifa.
Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!
I guess ulimaanisha Mwanyika? Huyo alikua muajiriwa wa Barrick wenyewe. Hapa tunaongelea Serikali kuwepo kwenye vikao vya maamuzi. Yes tutaibiwa ila at least tutakua na taarifa kuliko Sasa ambapo hata wakiunderestimate Mapato hakuna anayejua zaidi tunapewa mgao wa 16% kazi imeisha.
 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote! Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!

Kwa upande wa pili, haya makampuni huko kwao yanalazimika kutoa taarifa sahihi kuhusu shughuli zao na mapato yao kwa wenye hisa zao. Kwa hiyo siyo kazi ngumu kufuatilia kujua uhalisia wa mapato ya makampuni yenyewe.
Sema tu hatuna 'interest' tukishapewa fungu letu wanalopata watu maalum ndani ya serikali yetu; watu kama huyo huyo Mhongo mwenyewe!
Yaani wewe unadhani kwamba Kampuni za Madini zinapotupiga serikali zao hazijui au hazibariki hizo ishu kwa mlango wa nyuma?.
Hao lao moja!. Ni jukumu letu kujibeba, kujisimamia!
 
Tulipo sasa kimkataba ni pazuri sana kuliko wakati wa swahiba wake JK.
Punguza utoto, hivi unajua TPDC ilipewa 20% ya hisa kwenye kuchimba gesi ya mnazi bay. Sasa JPM anakuja na 16% mnashangilia? Mbona nchi Ina wajinga wengi. Umeambiwa Tanzanite one tuna zaidi ya hiyo asilimia 16% Sasa kivipi Tena JPM kaboresha. Yale Yale tu zaidi tumerudi chini.
pia JPM alienda mbali zaidi kwa kuweka sharti la kuwa na kampuni ya pamoja ya ubia katika mafini mfano kampuni ya Twiga.
Hata Gesi ilichimbwa kwa ubia, na ndio hapo tuna 20% nani aliyekudanganya subsidiaries au joint venture zimeanza na JPM?. Mbaya zaidi kawapa 84% zote huku hatuna hata board member ndio upuuzi gani huo?
 
Sisi watu wa kupigwa tu, na sasa zinapigwa zinamwagwa Zanzibara tusubiri tu kuendelea kupigwa mpk tukome.
 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote! Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!

Kwa upande wa pili, haya makampuni huko kwao yanalazimika kutoa taarifa sahihi kuhusu shughuli zao na mapato yao kwa wenye hisa zao. Kwa hiyo siyo kazi ngumu kufuatilia kujua uhalisia wa mapato ya makampuni yenyewe.
Sema tu hatuna 'interest' tukishapewa fungu letu wanalopata watu maalum ndani ya serikali yetu; watu kama huyo huyo Mhongo mwenyewe!
Sasa mnyika na zero yake ya form six anajua Nini. Si watamburuza tu
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252
Huyu prof ninikilimtoa marambili katika wizara hii itumuamini akisemacho nahisi katika maprof vishoka wamo nahuyu anaweza kuwa ni
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252
Huyu Prof. Muhongo alikuwa waziri na hakufanya vizuri, yawezekana hata yeye aliwahikushiriki Kwa namna Moja ama nyingine kwenye mikataba mibovu anayosema. Yaani huyu ni msomi ila sio kiongozi mzuri
 
Punguza utoto, hivi unajua TPDC ilipewa 20% ya hisa kwenye kuchimba gesi ya mnazi bay. Sasa JPM anakuja na 16% mnashangilia? Mbona nchi Ina wajinga wengi. Umeambiwa Tanzanite one tuna zaidi ya hiyo asilimia 16% Sasa kivipi Tena JPM kaboresha. Yale Yale tu zaidi tumerudi chini.

Hata Gesi ilichimbwa kwa ubia, na ndio hapo tuna 20% nani aliyekudanganya subsidiaries au joint venture zimeanza na JPM?. Mbaya zaidi kawapa 84% zote huku hatuna hata board member ndio upuuzi gani huo?
JPM hakuanzisha mikataba mipya alirekebisha mikataba hiyo hiyo upande wa madini ambayo hao uaowasifia wakina Muhongo na JK ndio waliyoiingia hakukuwa na kampuni ya ubia katika madini kati ya wawekezaji na serikali lakini JPM aliweza kuingiza hicho kipengele. Baada ya marekebisho yaliyofanywa na JPM mapato ya mafini yaliongezeka maradufu na hata sasa yako juu, Hiyo ni empirical evidence JPM aliexcel katika madini na data za mapaao zipo na zimekuwa zikisomwa kila mwaka bungeni. Hiyo 16% ni undiluted share ambayo ni ziada ambayo tunapata licha ya mapato mengine tunayopata na kufanya tunachopata kuwa kikubwa zaidi.

Mokataba ya gesi kuanzia ujenzi wa bomba la gesi hata uchimbaji wenyewe ulifanyoka kimagumashi na baadhi ya sheria za gesi zilipitishwa kwa hafi ya dharura kipindi bunge linaenda kuvunjwa na mikataba ya uchimbaji gesi ikaingiwa haraka haraka wahusika wakachukua chao. Hizo share 20% unazodai TPDC walipewa ni free share? Ni undiuted share?

JPM alitaka sana kurekebisha mikataba ya gesi lakini jinsi ilivyoingiwa alishimdwa na akaona risk ya kushtakiwa na kulipa matrilioni ikabidi aiache jinsi ilivyo.

Frankly speaking katika gesi tumepigwa mno kuliko katika madini japo mikataba illingiwa mostly na utawala wa
Jk.
Kama mikataba ya gesi ingekuwa mizuri umeme ungeuzwa bei ndogo sana na hata products toka katika viwanda vyetiu zingekuwa competetive.

Kazi za JPM zitabakia kuwa classic.
 
Hii vita ni Ngumu mno, Bila sheria na Kanuni ngumu pamoja na Technogy , tutabaki tunapiga kelele kama Mbwa Wa Agip.

Hawa wenzetu sio wajinga , wanaongea lugha moja anzia Watengeneza Mitambo wao (Australia, Canada +South Africa)
Ukijiona mjanja kwa kupewa 16% za umiliki jiandae kupigwa kwenye Operation Cost+ Construction cost. Utaletewa vitu vingi hata usivyovihitaji(Dumping area).

Mie nadhani ni wakati muafaka Sasa Serikali ijitahidi kuunda Kampuni yake itayofanya EPCM katika kila mgodi mpya utakaojengwa hapa huku ikisaidian na Local Content toka Tume ya Madini, ili kuweza kuisaidia serikali kuzuia mianya yote ya Kupigwa.
Mfano mzuri wa hiki nachokiongea ni Mgodi wa SINGIDA GOLD MINE unaomilikiwa na Shanta Mining Company ltd.
Uliojengwa na Watanzania kwa Asilimia 98%.

Timu ile ichukuliwe na serikali ikafanye EPCM zote za Migodi mipya ili kulinda maslahi ya Taifa.

Kinyume na hapo hiyo 16% itabaki kuwa maneno , maana ili kuipata hiyo lazima utoe Mtaji , Gharama za Uendeshaji , kisha salio ndio 16% ije kwetu.
Hata top management ingekuwa na Waswahili tutapigwa tu kwa kuongezewa Gharama za Manunuzi.
 
Prof. Muhongo is a good lecturer, tatizo akiingia kwenye system, huwa tunashindwa kuona impacts za yale ayasemayo, infact ni lazima Tanzania iwe na uwakilishi wa watu waaminifu kweli kweli na walokole ndani ya makampuni haya KATIKA KULINDA MASLAHI YA TAIFA LETU,NA HAKI ZAKE STAHILI. NO WAY OUT.
Hao waaminifu tunawapate? kama Ubunge tu watu wanadanganya itakuwa hao watu chief.
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252

Ukiona nchi ni Maskini jua "wavaa miwani myeusi" hawana uwezo!
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252
Muhongo anazungumza hayo kwa sababu yeye kwa sasa hayupo kwenye inner circle ya Asali !! Mwalimu alikataa madini yasichimbwe mpaka watanzania wengi wapate elimu ya juu ili wajue nini wanatakiwa wafanye kuhusu madini yao !! Lakini kinyume chake ndicho kinachofanyika eti wanajifanya hawajui nini wafanye pamoja na elimu walizopewa kwa gharama za Nchi !!

Mungu anawaona wote waliohusika katika hujuma za mali ya watu masikini wa Nchi hii !!


Hawatapata peace of mind katika maisha yao yote wao pamoja na vizazi vyao vitakavyokuwa vinatumia mali zilizopatikana kwa kuhujumu mali za Nchi hii !! Mark my words !! 🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom