Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

Yaani wewe unadhani kwamba Kampuni za Madini zinapotupiga serikali zao hazijui au hazibariki hizo ishu kwa mlango wa nyuma?.
Hao lao moja!. Ni jukumu letu kujibeba, kujisimamia!
Serikali inatakiwa kuibeba sekta binafsi kupitia wananchi ili ipambane na makampuni ya nje.
Ni ukweli ulio wazi kuwa watumishi wa serikali hawana uwezo wa kifikra kupambana na makampuni ya nje.
Kinachowabeba na matumizi ya nguvu za kisheria tu.
Maandishi na nadharia za serikali kupitia maprofesa hayamaanishi kupata faida zaidi ya sifa za kisiasa.
Utendaji halisi kwa uwepo wa watu wetu kwenye utekelezaji ndiyo utakatupatia faida na siyo makubaliano ya maandishi.
 
STAMIGOLD zamani Tulawaka. Yaweza kuwa mfano wa unachokiwaza.
Sawa kabisa![emoji122][emoji122][emoji106]
Mwenye shida ya Gold, Tanzanite, Diamond....Atakuja Atakuta tumechimba wenyewe viko dukani na bei ya kila madini Tumebandika!; au Tunatangaza mnada wa hadhara!
 

Ukiona nchi ni Maskini jua "wavaa miwani myeusi hawana uwezo
Uwezo wanao !!

Labda UTASHI ndio bado !!
 
Serikali inatakiwa kuibeba sekta binafsi kupitia wananchi ili ipambane na makampuni ya nje.
Ni ukweli ulio wazi kuwa watumishi wa serikali hawana uwezo wa kifikra kupambana na makampuni ya nje.
Kinachowabeba na matumizi ya nguvu za kisheria tu.
Maandishi na nadharia za serikali kupitia maprofesa hayamaanishi kupata faida zaidi ya sifa za kisiasa.
Utendaji halisi kwa uwepo wa watu wetu kwenye utekelezaji ndiyo utakatupatia faida na siyo makubaliano ya maandishi.
Boswana mbona wameweza kufaidika na madini yao ??!!
Tunashindwaje kujifunza kutoka kwao. ??!!

Nakumbuka Profesa kabla hajaingizwa kwenye siasa kwenye awamu ya JK , alipokuja TZ akitokea Umoja wa Mataifa alikokuwa akifanya kazi siku moja nilimsikia redioni akihojiwa alisema kama Nchi imeingia kwenye mikataba ya madini ya kinyonyaji yaani ya kupunjwa tunaweza tukawasiliana na kitengo kimoja huko Umoja wa Mataifa kinachosaidia Nchi zilizotumbukia kwenye mikataba ya kinyonyaji ili zipate haki zao zinazostahili !

🙄 cha kushangaza siku iliyofuatia nilisikia statement tofauti kabisa na ile ya jana kutoka kwake!! Kuanzia pale statements zikawa ni za kisiasa tu !!

Kwahiyo sio kweli kwamba kama Nchi bado hatujui tufanye kipi ili madini yetu yawe na tija katika uchumi wa Nchi !! Bali tumeamua tuwe hivyo sisi wenyewe.


Kupanga ni kuchagua tusidanganyane !! 🙏🙏🙏
 
Boswana mbona wameweza kufaidika na madini yao ??!!
Tunashindwaje kujifunza kutoka kwao. ??!!

Nakumbuka Profesa kabla hajaingizwa kwenye siasa kwenye awamu ya JK , alipokuja TZ akitokea Umoja wa Mataifa alikokuwa akifanya kazi siku moja nilimsikia redioni akihojiwa alisema kama Nchi imeingia kwenye mikataba ya madini ya kinyonyaji yaani ya kupunjwa tunaweza tukawasiliana na kitengo kimoja huko Umoja wa Mataifa kinachosaidia Nchi zilizotumbukia kwenye mikataba ya kinyonyaji ili zipate haki zao zinazostahili !

🙄 cha kushangaza siku iliyofuatia nilisikia statement tofauti kabisa na ile ya jana kutoka kwake!! Kuanzia pale statements zikawa ni za kisiasa tu !!

Kwahiyo sio kweli kwamba kama Nchi bado hatujui tufanye kipi ili madini yetu yawe na tija katika uchumi wa Nchi !! Bali tumeamua tuwe hivyo sisi wenyewe.


Kupanga ni kuchagua tusidanganyane !! 🙏🙏🙏
Profesa niliyemsikia akihojiwa redioni sio huyu tunayemzungumzia hapa kwenye hii thread!
 
Boswana mbona wameweza kufaidika na madini yao ??!!
Tunashindwaje kujifunza kutoka kwao. ??!!

Nakumbuka Profesa kabla hajaingizwa kwenye siasa kwenye awamu ya JK , alipokuja TZ akitokea Umoja wa Mataifa alikokuwa akifanya kazi siku moja nilimsikia redioni akihojiwa alisema kama Nchi imeingia kwenye mikataba ya madini ya kinyonyaji yaani ya kupunjwa tunaweza tukawasiliana na kitengo kimoja huko Umoja wa Mataifa kinachosaidia Nchi zilizotumbukia kwenye mikataba ya kinyonyaji ili zipate haki zao zinazostahili !

🙄 cha kushangaza siku iliyofuatia nilisikia statement tofauti kabisa na ile ya jana kutoka kwake!! Kuanzia pale statements zikawa ni za kisiasa tu !!

Kwahiyo sio kweli kwamba kama Nchi bado hatujui tufanye kipi ili madini yetu yawe na tija katika uchumi wa Nchi !! Bali tumeamua tuwe hivyo sisi wenyewe.


Kupanga ni kuchagua tusidanganyane !! 🙏🙏🙏
Naomba nikujibu kwa kutumia mfano wa jeshi;
Jeshi linaweza kugawanywa makundi mawili makuu;
1. Wapiganishaji
2. Wapiganaji

Likikosekana kundi la pili, hapo hakuna jeshi.
Wapiganishaji hawawezi kujisifu kama hawapo wapiganaji.
Sasa, viongozi wa serikali bila sekta binafsi ni sawa na wapiganishaji wanaojisifu kushinda vita bila wapiganaji (fikra potofu kabisa).
Serikali lazima iwe na mkono wake kwenye utekelezaji kupitia sekta binafsi yenye kuunganishwa na usalama wa taifa (Intelligence Agency).
Changamoto kubwa itakuja kwenye kutofautisha usalama wa taifa na usalama wa viongozi wa serikali wanaopambana na wapinzani wa kisiasa.
 
TISS mko wapi? Mbona nchi inapotea?
Umenikumbusha!; nahìsi waundaji magari wametuhujumu..[emoji56][emoji24][emoji24]
Mzinga Project ndio bado imepona
IMG-20230430-WA0007.jpg
IMG-20230430-WA0009.jpg
IMG-20230430-WA0008.jpg
1682845860229.jpg

MADE IN TANZANIA [emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]
 

Attachments

  • IMG-20230430-WA0009.jpg
    IMG-20230430-WA0009.jpg
    62.4 KB · Views: 1
Prof. Muhongo is a good lecturer, tatizo akiingia kwenye system, huwa tunashindwa kuona impacts za yale ayasemayo, infact ni lazima Tanzania iwe na uwakilishi wa watu waaminifu kweli kweli na walokole ndani ya makampuni haya KATIKA KULINDA MASLAHI YA TAIFA LETU,NA HAKI ZAKE STAHILI. NO WAY OUT.
Tatizo haendi na mambo yake kule anakuta kila kitu
 
Kuhusu "kuliwa", hilo lipo wazi; lakini hata hiyo kuwa ndani ya "management" haisaidii chochote! Akina Mnyika si walikuwa ndani ya management' ya Acacia, tukawa tunapigwa hadi Acacia' wenyewe 'guilty conscious' ikawalemea!

Kwa upande wa pili, haya makampuni huko kwao yanalazimika kutoa taarifa sahihi kuhusu shughuli zao na mapato yao kwa wenye hisa zao. Kwa hiyo siyo kazi ngumu kufuatilia kujua uhalisia wa mapato ya makampuni yenyewe.
Sema tu hatuna 'interest' tukishapewa fungu letu wanalopata watu maalum ndani ya serikali yetu; watu kama huyo huyo Mhongo mwenyewe!
Kwani tunapigwa kwa sababu hatujui au tunapigwa kwa sababu wasimamizi wetu wanapata chochote kutokana na kupigwa kwetu ?
 
Naomba nikujibu kwa kutumia mfano wa jeshi;
Jeshi linaweza kugawanywa makundi mawili makuu;
1. Wapiganishaji
2. Wapiganaji

Likikosekana kundi la pili, hapo hakuna jeshi.
Wapiganishaji hawawezi kujisifu kama hawapo wapiganaji.
Sasa, viongozi wa serikali bila sekta binafsi ni sawa na wapiganishaji wanaojisifu kushinda vita bila wapiganaji (fikra potofu kabisa).
Serikali lazima iwe na mkono wake kwenye utekelezaji kupitia sekta binafsi yenye kuunganishwa na usalama wa taifa (Intelligence Agency).
Changamoto kubwa itakuja kwenye kutofautisha usalama wa taifa na usalama wa viongozi wa serikali wanaopambana na wapinzani wa kisiasa.
Umenena !!
 
Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.
Shida yake yuko CCM ... Mnafiki tu vile yuko back benches . Alipokuwa front hakuna kitu alifanya..
 
JPM hakuanzisha mikataba mipya alirekebisha mikataba hiyo hiyo upande wa madini ambayo hao uaowasifia wakina Muhongo na JK ndio waliyoiingia hakukuwa na kampuni ya ubia katika madini kati ya wawekezaji na serikali lakini JPM aliweza kuingiza hicho kipengele. Baada ya marekebisho yaliyofanywa na JPM mapato ya mafini yaliongezeka maradufu na hata sasa yako juu, Hiyo ni empirical evidence JPM aliexcel katika madini na data za mapaao zipo na zimekuwa zikisomwa kila mwaka bungeni. Hiyo 16% ni undiluted share ambayo ni ziada ambayo tunapata licha ya mapato mengine tunayopata na kufanya tunachopata kuwa kikubwa zaidi.

Mokataba ya gesi kuanzia ujenzi wa bomba la gesi hata uchimbaji wenyewe ulifanyoka kimagumashi na baadhi ya sheria za gesi zilipitishwa kwa hafi ya dharura kipindi bunge linaenda kuvunjwa na mikataba ya uchimbaji gesi ikaingiwa haraka haraka wahusika wakachukua chao. Hizo share 20% unazodai TPDC walipewa ni free share? Ni undiuted share?

JPM alitaka sana kurekebisha mikataba ya gesi lakini jinsi ilivyoingiwa alishimdwa na akaona risk ya kushtakiwa na kulipa matrilioni ikabidi aiache jinsi ilivyo.

Frankly speaking katika gesi tumepigwa mno kuliko katika madini japo mikataba illingiwa mostly na utawala wa
Jk.
Kama mikataba ya gesi ingekuwa mizuri umeme ungeuzwa bei ndogo sana na hata products toka katika viwanda vyetiu zingekuwa competetive.

Kazi za JPM zitabakia kuwa classic.
Kwa nini Sheria inayolazimisha Wawekezaji wa Madini kuweka share kwenye soko la hisa la Dar haifanyiki?
 
Kama Taifa bado hatujatuliza vichwa ipasavyo katika ishu za madini. Hatujui vizuri biashara yake, na wala hatujui hata thamani halisi ya madini yetu ukiachilia mbali vipesa mbuzi. Kiufupi bado akili zetu ni zilezile za kugawa Almasi kwa Shanga.

Profesa Muhongo ameongea vizuri sana bungeni. kuwa bila kuwa ndani ya management ya kampuni hizi za madini zinazowekeza kwetu, hii asilimia 16 share haitotufaa kitu chochote. Maana hawa watu watu watakuwa wana under declare kiasi cha pesa wanachopata, wewe kazi yako itakuwa kusubiri mgao tu, tena watakaoamua wao!.

Tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya madini, na kuanzia sasa serikali iache kuingia mikataba mipya ya madini mpaka Watanzania tutakapojiridhisha kuwa haya mambo sasa tunayajua na kuyaelewa vizuri. So far hadi sasa , Serikali yetu haijui vizuri inafanya nini katika suala la madini.

1. Tumepigwa kiasi cha kutosha kwenye dhahabu.

2. Tumeingia mkataba mbovu ajabu wa madini ya Nickel huko Kabanga.

3 .Na juzi hapa tumeingia mkataba mbovu kwenye madini ya Rare earth metals.

Sikiliza hii clip ya Profesa Muhongo na John Heche wakizungumzia jambo hili la madini.

View attachment 2604252
Kwa bahati mbaya wote hawaielewi dhana ya free carried share wangeeelewa wangekubali kuwa waliweka kifungu hicho toka sheria ya madini ya 2010.
Free carried share (interest)means the interest derived from holding shares of which the holder enjoys all the rights of a shareholder but has no obligation to subscribe or contribute equity capital for the shares
Maana yake ni kuwa kwa migodi yote iliyoanzishwa baada ya kutumika kwa sheria ya madini ya 2010 Tanznia inapata 16% bila kuwekeza hata senti moja. Kwa vyote vile haiwezi kulingana na 50% share equity ambayo Tanzania inapaswa kutafuta pesa za kuwekeza. Kwa hiyo Mh. Heche 2018 na Prof. Muhongo 2023 hawako sahihi
 
Kwa nini Sheria inayolazimisha Wawekezaji wa Madini kuweka share kwenye soko la hisa la Dar haifanyiki?
Kwani
1. wakiweka utanunua
2. Wamweka kwenye masoko mengine kama una nia unaweza kununua popote acha porojo
 
Bwana Kalamu, Kwa watu ambao tunatofautiana na jinsi tunavyo ripoti mapato (Financial Report) ni vigumu sana sana kudadavua Ukweli wa Taarifa zao....mfano[naomba ujiridhie na Fourth Directives ya 1978 ya EU kama mfano na mwongozo] Maagizo ya EU (1978) kuhusu usawa wa sheria ya kampuni na mazoea ya uhasibu katika nchi wanachama. Ndipo utaona ugumu ulipo wa kudadavua "Taarifa sahihi" kutoka kwao. Nasisitiza, kuchukulia kama mfano huo wa EU. Huko Australia utakuwa vipi...labda idondokee kwenye Uhasibu wa "Jumuiya ya Madola" . Hatahivyo kufanya hivyo ina maana tayari umeshapigwa na unataka kufanyike uhakiki wa mapaato yao....too late. Tuanchotakiwa kuwa nacho mwanzoni ni kuhakikisha tunajua thamani ya madini hayo. Nafikiri hapo ndipo kwenye kasoro na ndipo tulipopigwa. Ingekuwa dhahabu, labda ni sawa, lakini ikiwa suala ni la Rare earth minerals hapo tungewashikia na hata kuwatingishia kiberiti.

Mkuu umegusa penyewe. Kukosa 'interest' mie naita kiherehere, Tulipata wapi hicho kiherehere? manake sidhani kama walikosa "Interest" bali walipuuza "Interest" kwa mustakhabali wa nchi na kufanya Kiherehere kwa maslagi yao binafsi. Mkuu nafikiri wote, wadau wa hayo makampuni hawakuwa wakweli na waau wetu hawakuwa makini au walijizimisha data.
Duh!

Naheshimu sana mawazo kama haya mkuu 'SYLLOGISTI'.
Umetoa ufafanuzi mzuri sana, pamoja na kwamba sina uwezo wa kudadavua taratibu za uhasibu wa huko tunakopigiwa.

Ila mchango ninaoweza kutoa hapa ni kwamba, sisi ilitakiwa tuwe tumejizatiti katika maswala kama haya ya huko wanakotupigia.
Tunao vijana wasomi wazuri tu ambao tungekuwa tunawatumia katika maswala haya haya, ya kudadavua taratibu hizo za EU..., na kuwa wajuvi kabisa. Hapa hakuna 'rocket sciences' yaoyote. Ni ujuha wetu tu wa kujiweka katika hali ya unyonge.

Na hawa washenzi wanapoona ujinga wetu huu, wanafurahi sana.
 
Back
Top Bottom