WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Acha ateme nyongo ili siku ziende.Ni kawaida. Walikufa Manabii itakuwa Magufuli. Aache kulia lia. Mi naamini ana uwezo mzuri wa kupiga pesa bado. Ai lazima awe CAG. Magufuli keshakuwa udongo.
Ana nyongo? 😳😳 Sasa nimekuelewa. Shida ya wasomi wa miaka hii they dont know how to let things go. Anakaa na nyongo kwa miaka yote hii?Acha ateme nyongo ili siku ziende.
Si umesema ni sahihi mtu kuomba dua ili mtu afe sasa wewe tena unakana ndio nimekwambia kwa nini usijiombee na wewe dua uishi mileleNitakufa ila sitaki kuua mtu ili niishi milele.
Acha ateme nyongo ili siku ziende.Ni kawaida. Walikufa Manabii itakuwa Magufuli. Aache kulia lia. Mi naamini ana uwezo mzuri wa kupiga pesa bado. Ai lazima awe CAG. Magufuli keshakuwa udongo.
Aliyekuwa anaua watu na kuengua asiowapenda ili atawale milele yuko wapi?Si umesema ni sahihi mtu kuomba dua ili mtu afe sasa wewe tena unakana ndio nimekwambia kwa nini usijiombee na wewe dua uishi milele
Kwa hiyo ndio asad aliomba dua akajibiwa🤣🤣🤣Acha ateme nyongo ili siku ziende.
Aliyekuwa anaua watu na kuengua asiowapenda ili atawale milele yuko wapi?
Ndiyo.Kwa hiyo ndio asad aliomba dua akajibiwa🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787] serikalini akafanye niniMumemchoka na nani? Sisi hatujamchoka na tunamtaka aingie Serikalini kwa namna yeyote
Sasa na yeye ajiombee sasa aishi mileleNdiyo.
Mungu ndiyo mwamuzi maombi yako yamepokelewa.Sasa na yeye ajiombee sasa aishi milele
Mimi nimesema ajiombee mwenyewe aishi mileleMungu ndiyo mwamuzi maombi yako yamepokelewa.
Cc ye34nbe naona unaumia mnoo kupita kiasi, sasa kama unaweza kunya tikitiki nakutumia Dollar 5000Heee 😳😳😳 ngoja walinda legacy waje..!!
we hata mwenyewe hujipendi huku JF wanakufahamu. Ni wazi unaumwawe unafanywa nini, unakunwa hapo ulipo? Angemfukuza kazi babako ndio akili ingekurudi. Yule alikuwa mwonevu sana, libaguzi, kwanza hakuna mtanzania, alikuwa lihutu na PhD feki
Watu waovu hujishuku na kukurupuka kila mara na popote pale uovu unapotajwa!Mbona anashambuliwa wakati hajamtaja mtu? Amemtaja Mungu amemshughulikia nani? Tuna hisia na tafsiri zetu
Hivi ni sheria ndiyo haikuwa hali au kitendo na kumuondoa CAG kazini kinyume cha Katiba? Katiba iko wazi kuhusu utumishi wa CAG mara baada ya kuingia nafasi hiyo. Katiba ndiyo msahafu wa kuzingatia kuhusu kumuondoa CAG kazini Kutokufanya hivyo ni ushahidi wa uovu, hila na njama mbaya ya uamuzi wenyewe.Profesa gani huyu anayelalama kwa ajili ya cheo cha kuteuliwa kwa miaka mitano sasa; inaonekana atalalama hadi kaburini. Ni kama vile alikatishwa mipango yake ya mbeleni kwenye cheo hicho kabla hajaanza kuitekeleza. Labda alikuwa hajaanza kula vya kutosha akanyang'anywa tonge ghafla. Angesoma sheria zote za bunge akawa anazijua. ALitolewa madarakanai kwa kufuata sheria ya Bunge. Mahakama ilisema kuwa sheria hiyo ya Bunge haikuwa halali, lakini ndiyo sheria iliyokuwepo wakati anasimamishwa. Angekuwa na busara ya kutosha angepinga sheria ile kabla haijafanya kazi dhidi yake badala ya kumlaumu mtu aliyeitumia dhidi yake.
Alikua anaiba mkuu halafu anajifanya mtu wa sala kumbe mwizi.Ila inaonekana CAG aliumia sana kuondolewa ile nafasi. KWA NINI ALIUMIA HIVI?
Hakuna mtu anayedhani ataishi maisha. Mbona unasema uongo wazi? Halafu yeye kwani kasema aliomba Magufuli afe? Unajua anamaanisha alijibiwa nini?kuna watu wanadhani wao wataishi milele na jpm ndiye aliumbiwa mauti yeye peke yake
Mungu anatazama kwa jicho tofauti kosa la mtu mmoja kutoa mimba kwa sababu zake binfsi ikiwa ni pamoja na kupata hiyo mimba bila kutarajia, kuihitaji na kujiaminisha kwamba hataweza kulea hicho kiumbe kitapozaliwa. Kwa muktadha huo tunayo sababu ya kuamini kuwa Mungu amejibu haraka na kwa wepesi kwa kuona kufuru na kwa kutazama idadi kubwa ya watu wake wakimlilia kutokana na maumivu yaliyosababishwana uongozi uliojitambulisha eti umetumwa na Mungu mwenyewe kuwakomboa watu wake!Hakuna Mungu wa namna hiyo Wangekufa wengi sana. Ulianza na watoa mimba ambapo kuna mtoa hela na mwenye Mimba mwenyewe na mtoaaji