mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,174
- 2,912
Kwa bandiko hili Ni waz mleta mada yuko sahihi kwa alichokileta na inaonekana mnafahamiana vzr.Kwanza kabisa nipende kusema "MAJI HUJITENGA NA MAFUTA"
ni vema kwanza kuijua historia ya wilaya ya chamwino, kabla ya kuandika utumbo na ujinga mkubwa hapo juu, nawaza tu hivi hii halmashauri haina mkurugenzi? kama yupo na mambo yapo hivi na yeye hajielewi na inawezekana yeye ndio tatizo kubwa hapa chamwino.
naifahamu halmashauri hii vzr tangu ikiwa Dodoma vijijini na mpk sasa nikiwa mwalimu tena wa shule ya msingi.
naomba niseme ukweli na Mungu anisaidie, kwani nipo hapa tangu mwaka 2006.
1. Kilichoandikwa hapo juu ni majungu, unafiki, ujinga, uzandiki na upumbafu na fitina uzuri mwandishi mwandishi umetumwa na anajulikana vema tu kwani amekuwa akitangaza vita dhidi ya afisa elimu huyo kwa sababu za kijinga tu (mbona yeye anawataka watumishi kinguvu na hakuna anayemfatilia?) mfano aliwahi kwenda centre ya marking akiwa na gari ya serikali saa tatu usk kumfata mwalimu x ili aache kazi ya kusahihisha aende naye lodge, kama anabisha ajitokeze hapa akane kwamba hakumpa mwalimu sh 20000 akale chipsi na mwalimu akamrushia hizo pesa.
2. Tangu huyu afisa elimu amekuja Chamwino matokeo ya ufaulu yamekuwa mazuri na mahusiano kazini yamekuwa mazuri sana, walimu wanazikilizwa na hakuna mwalimu amewahi hata kuandikishwa barua ya mashtaka yoyote yale.
3. amenunua photocopy mashine inayotumiwa na shule zote za wilaya ya chamwino.
4. kama yeye ni mwonevu TSC wako wapi? wanafanya nini? CWT je wapo? wanafanya nini kutetea walimu unaosema wanaonewa? acha majungu kijana kama umenunuliwa kwa pesa walizozulumiwa ma (ARO-KATA) SEMA TU! Mwisho wako umefika.
5. Kukuwa kwa kiwango cha ufaulu tangu afisa huyu aje, 2018 wastani 64, 2019 wastani 74, na 2020 wastani wa 76, sasa tujiulize maswali? je kama yupo hivyo ni kwa nini ufaulu unaongezeka?
jibu jepesi mtoa posti umenunuliwa na wajinga wenzako.
6. pia kama taarifa zako ni za kweli hebu taja hata jina moja la mwalimu aliyenyanyaswa na afisa huyo.
MWISHO ALIYEKUTUMA MWAMBIE AJIANDAA KWA HILI, SERIKALI HAILALI INAFAHAMU UCHAFU WOTE ANAOFANYA NA HATA HUYO MJINGA ANAYEMTETEA KISA POSHO NA NYAMA ZA CHALINZE NA WINE ZA MPUNGUZI, ACHA BIA ZA TANGO.
UKWELI UPO KARIBU SANA KUFAHAMIKA NA BALAA LIPO JIRANI SANA NA WEWE! AJIANDAE KURUDI MASJALA ALIPOZOEA KUFANYA KAZI
Mleta mada kaongea ukweli mchungu Sana .kwanza nikil tu kwakusema ww sio Mwalimu Bali Ni wewe mwenyew Afisa Elimu Kama sio ww basi Ni mtu uliyetumwa na huyo Afisa Elimu wako.
Comments kibao hapo juu zinaeleza jinsi huyo Afisa alivyo na tabia mbovu ,kwamba wote hao wanamwonea wivu?
Ushaur wa bure achen kuzifanya ofisi za serikal Kama nyumba zenu za milele ,hamjifunz kwa kina makonda na Nape saiz wanasugua benchi, hamjifunz kwa wanaotumbuliwa kila siku?
Ukiwa mtendaj mzur na ukiwa mtu wa watu sidhan Kama Kuna mtu atakuja kukuanika huku mitandaon kwa mabaya ,ukiona had mtu katika huku jua ww sio mtendaj mzur.
Kitendo tu Cha kuandikwa jf tayal Hilo Ni doa ,hujachelewa Anza kuishi vzr na walio chini yako.
Mbona watu mnapenda kujitafutia maadui kinguvu? Hao mnaowatendea unyama hamjui kesho yao watakuwa akina Nan coz maisha Ni duara.
Mfano Kuna mtu alijua Magufur atakuja kuwa Rais ? Je kama Afisa Elimu wa kipind Cha Magufur aliwah kumnyanyasa na saiz akawa hai unahis yuko na Hali gani?
Je hamkumbuk ya Jery muro kumdharirisha yule mbaba wa Tume ya uchaguz ? Saiz Nan ana cheo kikubwa kumzid mwenzie?
Plz jaman ofis vyeo vipo tu na tunapokezana ,bahat nzur huwez dumu milele hapo utatoka tu atakuja mwingine na unaowatendea ubaya hujui kesho watakuwa akina nan na mtakutana mazingira gani.
Hapa nilipo Kuna Afisa Elimu mmoja na Afisa utumishi wanapendwa balaa na watumish wao maana Ni watu wanaoheshim Sana watu walio chin yao ,wanawasaidia pale inapotakikana ,Wana customer care nzur sna. Watumish kibao wanawaombea wabak mielele ila kenge wengine wakishaachana na chak na kuanza kukalia viti vya kuzunguka wanajiona sijui akina Nan ,kumbe Ni ushamba tu unawasumbua ,alaf karne hii watu wanapiga kitabu kwa Sana tofaut na zaman ,saiz wasomi Ni kila Kona hivyo hizo nafas mzitendee haki kabla hamjapokwa na kubak na aibu