Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Prof. Ndalichako, Afisa Elimu Msingi Wilaya ya Chamwino, Zainab Kishegwe hana sifa na hastahili nafasi hiyo

Kwanza kabisa nipende kusema "MAJI HUJITENGA NA MAFUTA"
ni vema kwanza kuijua historia ya wilaya ya chamwino, kabla ya kuandika utumbo na ujinga mkubwa hapo juu, nawaza tu hivi hii halmashauri haina mkurugenzi? kama yupo na mambo yapo hivi na yeye hajielewi na inawezekana yeye ndio tatizo kubwa hapa chamwino.

naifahamu halmashauri hii vzr tangu ikiwa Dodoma vijijini na mpk sasa nikiwa mwalimu tena wa shule ya msingi.

naomba niseme ukweli na Mungu anisaidie, kwani nipo hapa tangu mwaka 2006.

1. Kilichoandikwa hapo juu ni majungu, unafiki, ujinga, uzandiki na upumbafu na fitina uzuri mwandishi mwandishi umetumwa na anajulikana vema tu kwani amekuwa akitangaza vita dhidi ya afisa elimu huyo kwa sababu za kijinga tu (mbona yeye anawataka watumishi kinguvu na hakuna anayemfatilia?) mfano aliwahi kwenda centre ya marking akiwa na gari ya serikali saa tatu usk kumfata mwalimu x ili aache kazi ya kusahihisha aende naye lodge, kama anabisha ajitokeze hapa akane kwamba hakumpa mwalimu sh 20000 akale chipsi na mwalimu akamrushia hizo pesa.
2. Tangu huyu afisa elimu amekuja Chamwino matokeo ya ufaulu yamekuwa mazuri na mahusiano kazini yamekuwa mazuri sana, walimu wanazikilizwa na hakuna mwalimu amewahi hata kuandikishwa barua ya mashtaka yoyote yale.
3. amenunua photocopy mashine inayotumiwa na shule zote za wilaya ya chamwino.
4. kama yeye ni mwonevu TSC wako wapi? wanafanya nini? CWT je wapo? wanafanya nini kutetea walimu unaosema wanaonewa? acha majungu kijana kama umenunuliwa kwa pesa walizozulumiwa ma (ARO-KATA) SEMA TU! Mwisho wako umefika.
5. Kukuwa kwa kiwango cha ufaulu tangu afisa huyu aje, 2018 wastani 64, 2019 wastani 74, na 2020 wastani wa 76, sasa tujiulize maswali? je kama yupo hivyo ni kwa nini ufaulu unaongezeka?
jibu jepesi mtoa posti umenunuliwa na wajinga wenzako.
6. pia kama taarifa zako ni za kweli hebu taja hata jina moja la mwalimu aliyenyanyaswa na afisa huyo.

MWISHO ALIYEKUTUMA MWAMBIE AJIANDAA KWA HILI, SERIKALI HAILALI INAFAHAMU UCHAFU WOTE ANAOFANYA NA HATA HUYO MJINGA ANAYEMTETEA KISA POSHO NA NYAMA ZA CHALINZE NA WINE ZA MPUNGUZI, ACHA BIA ZA TANGO.
UKWELI UPO KARIBU SANA KUFAHAMIKA NA BALAA LIPO JIRANI SANA NA WEWE! AJIANDAE KURUDI MASJALA ALIPOZOEA KUFANYA KAZI
Kwa bandiko hili Ni waz mleta mada yuko sahihi kwa alichokileta na inaonekana mnafahamiana vzr.

Mleta mada kaongea ukweli mchungu Sana .kwanza nikil tu kwakusema ww sio Mwalimu Bali Ni wewe mwenyew Afisa Elimu Kama sio ww basi Ni mtu uliyetumwa na huyo Afisa Elimu wako.

Comments kibao hapo juu zinaeleza jinsi huyo Afisa alivyo na tabia mbovu ,kwamba wote hao wanamwonea wivu?

Ushaur wa bure achen kuzifanya ofisi za serikal Kama nyumba zenu za milele ,hamjifunz kwa kina makonda na Nape saiz wanasugua benchi, hamjifunz kwa wanaotumbuliwa kila siku?

Ukiwa mtendaj mzur na ukiwa mtu wa watu sidhan Kama Kuna mtu atakuja kukuanika huku mitandaon kwa mabaya ,ukiona had mtu katika huku jua ww sio mtendaj mzur.

Kitendo tu Cha kuandikwa jf tayal Hilo Ni doa ,hujachelewa Anza kuishi vzr na walio chini yako.

Mbona watu mnapenda kujitafutia maadui kinguvu? Hao mnaowatendea unyama hamjui kesho yao watakuwa akina Nan coz maisha Ni duara.

Mfano Kuna mtu alijua Magufur atakuja kuwa Rais ? Je kama Afisa Elimu wa kipind Cha Magufur aliwah kumnyanyasa na saiz akawa hai unahis yuko na Hali gani?

Je hamkumbuk ya Jery muro kumdharirisha yule mbaba wa Tume ya uchaguz ? Saiz Nan ana cheo kikubwa kumzid mwenzie?

Plz jaman ofis vyeo vipo tu na tunapokezana ,bahat nzur huwez dumu milele hapo utatoka tu atakuja mwingine na unaowatendea ubaya hujui kesho watakuwa akina nan na mtakutana mazingira gani.

Hapa nilipo Kuna Afisa Elimu mmoja na Afisa utumishi wanapendwa balaa na watumish wao maana Ni watu wanaoheshim Sana watu walio chin yao ,wanawasaidia pale inapotakikana ,Wana customer care nzur sna. Watumish kibao wanawaombea wabak mielele ila kenge wengine wakishaachana na chak na kuanza kukalia viti vya kuzunguka wanajiona sijui akina Nan ,kumbe Ni ushamba tu unawasumbua ,alaf karne hii watu wanapiga kitabu kwa Sana tofaut na zaman ,saiz wasomi Ni kila Kona hivyo hizo nafas mzitendee haki kabla hamjapokwa na kubak na aibu
 
Narudia tena walimu wa chamwino wanaujua ukweli na sijui kwa nini watu wa maslahi yao binafsi wanaamua kumchafua mama wa watu, jiulize tu kama yupo hivyo je CWT wako wapi? TSC wako wapi? na lazima ufaulu ungeshuka ni vema kuacha chuki na kusema mambo ya kweli
 
Mnamsema huyo hivi mnafahamu afisa Elimu secondari mkoa wa Dodoma!? Mwanamama amejaa majivuno na ukali usiokuwa na sababu za msingi, ana mtreat kila mtu kama anavyowatreat walimu wake... mimi siku moja nilimjibu kuwa usiongee na mimi kama unavyoongea na walimu wako mimi sio mwalimu huwezi kunifokea utakavyo. Maafisa elimu wa Dodoma wote hovyo tu isipokuwa wa Chemba, mzee mmoja very humble na ni msikivu sana.
 
Na niombe walimu tulioko Chamwino hebu tujitokeze hapa na kusema ukweli dhidi ya kiongozi wetu huyu, hivi ni lini aliwahi kumfukuza mwalimu kwenye kikao? lini aliwahi kuwajibu walimu vibaya, narudia tena na tena naomba tumwogope Mungu na tuseme kweli.

Hofu ya Mungu itawale katika ndimi na mioyo yetu
 
Mnamsema hiyo hivi mnafahamu afisa Elimu secondari mkoa wa Dodoma!? Mwanamama amejaa majivuno na ukali usiokuwa na sababu za msingi, ana mtreat kila mtu kama anavyowatreat walimu wake... mimi siku moja nilimjibu kuwa usingee na mimi kama unavyoongea na walimu wako mimi sio mwalimu huwezi kunifokea utakavyo. Maafisa elimu wa Dodoma wote hovyo tu isipokuwa wa Chemba, mzee mmoja very humble na ni msikivu sana.
Njoo Chamwino au tuma mtu aje huku uone mama wa watu alivyo mpole na mstarabu
 
Kwanza kabisa nipende kusema "MAJI HUJITENGA NA MAFUTA"
ni vema kwanza kuijua historia ya wilaya ya chamwino, kabla ya kuandika utumbo na ujinga mkubwa hapo juu, nawaza tu hivi hii halmashauri haina mkurugenzi? kama yupo na mambo yapo hivi na yeye hajielewi na inawezekana yeye ndio tatizo kubwa hapa chamwino.

naifahamu halmashauri hii vzr tangu ikiwa Dodoma vijijini na mpk sasa nikiwa mwalimu tena wa shule ya msingi.

naomba niseme ukweli na Mungu anisaidie, kwani nipo hapa tangu mwaka 2006.

1. Kilichoandikwa hapo juu ni majungu, unafiki, ujinga, uzandiki na upumbafu na fitina uzuri mwandishi mwandishi umetumwa na anajulikana vema tu kwani amekuwa akitangaza vita dhidi ya afisa elimu huyo kwa sababu za kijinga tu (mbona yeye anawataka watumishi kinguvu na hakuna anayemfatilia?) mfano aliwahi kwenda centre ya marking akiwa na gari ya serikali saa tatu usk kumfata mwalimu x ili aache kazi ya kusahihisha aende naye lodge, kama anabisha ajitokeze hapa akane kwamba hakumpa mwalimu sh 20000 akale chipsi na mwalimu akamrushia hizo pesa.
2. Tangu huyu afisa elimu amekuja Chamwino matokeo ya ufaulu yamekuwa mazuri na mahusiano kazini yamekuwa mazuri sana, walimu wanazikilizwa na hakuna mwalimu amewahi hata kuandikishwa barua ya mashtaka yoyote yale.
3. amenunua photocopy mashine inayotumiwa na shule zote za wilaya ya chamwino.
4. kama yeye ni mwonevu TSC wako wapi? wanafanya nini? CWT je wapo? wanafanya nini kutetea walimu unaosema wanaonewa? acha majungu kijana kama umenunuliwa kwa pesa walizozulumiwa ma (ARO-KATA) SEMA TU! Mwisho wako umefika.
5. Kukuwa kwa kiwango cha ufaulu tangu afisa huyu aje, 2018 wastani 64, 2019 wastani 74, na 2020 wastani wa 76, sasa tujiulize maswali? je kama yupo hivyo ni kwa nini ufaulu unaongezeka?
jibu jepesi mtoa posti umenunuliwa na wajinga wenzako.
6. pia kama taarifa zako ni za kweli hebu taja hata jina moja la mwalimu aliyenyanyaswa na afisa huyo.

MWISHO ALIYEKUTUMA MWAMBIE AJIANDAA KWA HILI, SERIKALI HAILALI INAFAHAMU UCHAFU WOTE ANAOFANYA NA HATA HUYO MJINGA ANAYEMTETEA KISA POSHO NA NYAMA ZA CHALINZE NA WINE ZA MPUNGUZI, ACHA BIA ZA TANGO.
UKWELI UPO KARIBU SANA KUFAHAMIKA NA BALAA LIPO JIRANI SANA NA WEWE! AJIANDAE KURUDI MASJALA ALIPOZOEA KUFANYA KAZI
Jikite kwenye hoja kuliko kazi uliyojipa ya kupulizia KINYESI pafyum aliyeombwa kufanya uchunguzi ni waziri mwenye dhamana ya elimu sio marehemu bibi yako kenge mweusi wewe.
 
Kwa bandiko hili Ni waz mleta mada yuko sahihi kwa alichokileta na inaonekana mnafahamiana vzr.

Mleta mada kaongea ukweli mchungu Sana .kwanza nikil tu kwakusema ww sio Mwalimu Bali Ni wewe mwenyew Afisa Elimu Kama sio ww basi Ni mtu uliyetumwa na huyo Afisa Elimu wako.

Comments kibao hapo juu zinaeleza jinsi huyo Afisa alivyo na tabia mbovu ,kwamba wote hao wanamwonea wivu?

Ushaur wa bure achen kuzifanya ofisi za serikal Kama nyumba zenu za milele ,hamjifunz kwa kina makonda na Nape saiz wanasugua benchi, hamjifunz kwa wanaotumbuliwa kila siku?

Ukiwa mtendaj mzur na ukiwa mtu wa watu sidhan Kama Kuna mtu atakuja kukuanika huku mitandaon kwa mabaya ,ukiona had mtu katika huku jua ww sio mtendaj mzur.

Kitendo tu Cha kuandikwa jf tayal Hilo Ni doa ,hujachelewa Anza kuishi vzr na walio chini yako.

Mbona watu mnapenda kujitafutia maadui kinguvu? Hao mnaowatendea unyama hamjui kesho yao watakuwa akina Nan coz maisha Ni duara.

Mfano Kuna mtu alijua Magufur atakuja kuwa Rais ? Je kama Afisa Elimu wa kipind Cha Magufur aliwah kumnyanyasa na saiz akawa hai unahis yuko na Hali gani?

Je hamkumbuk ya Jery muro kumdharirisha yule mbaba wa Tume ya uchaguz ? Saiz Nan ana cheo kikubwa kumzid mwenzie?

Plz jaman ofis vyeo vipo tu na tunapokezana ,bahat nzur huwez dumu milele hapo utatoka tu atakuja mwingine na unaowatendea ubaya hujui kesho watakuwa akina nan na mtakutana mazingira gani.

Hapa nilipo Kuna Afisa Elimu mmoja na Afisa utumishi wanapendwa balaa na watumish wao maana Ni watu wanaoheshim Sana watu walio chin yao ,wanawasaidia pale inapotakikana ,Wana customer care nzur sna. Watumish kibao wanawaombea wabak mielele ila kenge wengine wakishaachana na chak na kuanza kukalia viti vya kuzunguka wanajiona sijui akina Nan ,kumbe Ni ushamba tu unawasumbua ,alaf karne hii watu wanapiga kitabu kwa Sana tofaut na zaman ,saiz wasomi Ni kila Kona hivyo hizo nafas mzitendee haki kabla hamjapokwa na kubak na aibu
Hakika umenena vema
 
Majungu tupu, nyie waalimu chapeni kazi, CCM ipo kikazi zaidi, muachane na matumizi mabaya ya mtandao. Huyo dada anatekeleza ipasavyo sera na ilani ya chama kikamilifu. Muda wa kupiga majungu haupo, kama hauna maslahi na kazi yako, tupishe, waingie watu wenye wito; nyie mnaonekana mmeingia katika fani hii kwa bahati mbaya, nendeni mkapige majungu kwenye vijiwe vya AL-KASUSU
Powerful comment!
 
Daa! Mungu wangu tunapoandika haya mambo naomba tuwe na hofu ya Mungu kati ya maafisa Elimu wapole na wanaowapenda walimu huyu ni mmoja wapo.

kwa nini uamue kumchafua kwa mambo ya uongo? faida gani unatapa kwa kusema uongo? ipo siku utayalipa haya mbele ya Mwenyezi Mungu kama sio wewe kizazi chako kitayalipa huu uongo uliouandika
Umbwa we wewe ndiyo mnafiki Wa kiwango cha juu na nidhamu yako ya kujipendekeza na unafiki,unakumbuka aliwahi kufukuzwa ofisi moja nyeti ulipoenda kupeleka majungu kuhusu tenda za wazabuni dhidi ya afisa mmoja hivi jikite kwenye hoja ufanywe uchunguzi kama huyo unayemtetea hana tatizo shida iko wapi?
 
Wewe umeamua kuona ukaribu wa watu, Bado upo kwenye mjadala ule ule... Kujadili watuv vivyo hivyo unahukumu ubaya wa mtu kwa kusoma comments za "watu kadhaa".

Maswali nliyouliza hapo yangefaa kujiuliza na kutafakari vya kutosha.
kwa wanaoifahamu Chamwino, ni dhahiri huyu Mwandishi sio kwamba hajui tatizo, tatizo analijua!

Ingekuwa vyema aandike kwa ufasaha matatizo ya kiutendaji ya hiyo halmashauri bila biasness!
Mtu mwenye madaraka anaeweza kukujibu "Kafie mbele huko...afterall kila mtu atakufa" mtu wa aina hii unaona ni mtu timamu kweli au ethics za kazi huzijui?

She belongs to the streets anytime from now ajiandae. Wacha hili bango limfikie mkulu tuone kama hio kinga ya Professor flani itamsaidia.

Wanawake aina hii ukichunguza hata mume hawezi kuwa nae kabisa.
 
Komenti nyingi hapo juu ni za kumlalamikia Tabia zake ,.

Ni meseji MOJA tu iliyomtetea.
Pitia Comments hapo, Zote zimeandikwa na watu ambao wako switched kufanya hiyo kazi na wanafahamika
Bad enough Mmoja wa hilo kundi la kumlalamikia kasoma nae enzi hizo (binafsi nimeanza nao kazi serikalini miaka ya nyuma kidogo, wote nawafahamu vyema.. huyu dada na mmoja wa washambuliaji.) And I can connect the dots,..
Hakuna jipya hapo.
Wamemshindwa kwenye kasoro za utendaji, wamekuja kumpakaza huku.
 
Mtu mwenye madaraka anaeweza kukujibu "Kafie mbele huko...afterall kila mtu atakufa" mtu wa aina hii unaona ni mtu timamu kweli au ethics za kazi huzijui?

She belongs to the streets anytime from now ajiandae. Wacha hili bango limfikie mkulu tuone kama hio kinga ya Professor flani itamsaidia.

Wanawake aina hii ukichunguza hata mume hawezi kuwa nae kabisa.
Nimefanyanae kazi vizuri tu hapa Kongwa, na kaenda huko chamwino akitokea hapa.
Kwa ninavyomfahamu, hayuko hivyo anavyoandikwa!
 
Umbwa we wewe ndiyo mnafiki Wa kiwango cha juu na nidhamu yako ya kujipendekeza na unafiki,unakumbuka aliwahi kufukuzwa ofisi moja nyeti ulipoenda kupeleka majungu kuhusu tenda za wazabuni dhidi ya afisa mmoja hivi jikite kwenye hoja ufanywe uchunguzi kama huyo unayemtetea hana tatizo shida iko wapi?
Mtoa mada unapanic tena??
Na matusi juu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2923]
Mungu akusaidie tu!
 
Majungu tupu, nyie waalimu chapeni kazi, CCM ipo kikazi zaidi, muachane na matumizi mabaya ya mtandao. Huyo dada anatekeleza ipasavyo sera na ilani ya chama kikamilifu. Muda wa kupiga majungu haupo, kama hauna maslahi na kazi yako, tupishe, waingie watu wenye wito; nyie mnaonekana mmeingia katika fani hii kwa bahati mbaya, nendeni mkapige majungu kwenye vijiwe vya AL-KASUSU
Baadhi ya walimu Wana majungu Sana.
 
Unamzungumzia MTU ninae mjua tangu chuoni maalufu kama zaina ifike maali serikali iwe inachunguza kabla ya kumpa nafasi nyeti MTU miaka ya karibuni nilipata taarifa kuwa kapora Mme Wa MTU pale udom prof mmoja anatokea nyanda za juu kusini,ndiye anaempa kiburi hata avurunde anampigania kokote kwa sasa huyo prof anakacheo manisipaa Dodoma ni kweli magufuri hajawajua.
Yaani Mwamfupe bado hajaacha tabia yake hiyo!? Daaaah mzee atafia kwenye viuno vya wanawake huyu
 
Mnamsema huyo hivi mnafahamu afisa Elimu secondari mkoa wa Dodoma!? Mwanamama amejaa majivuno na ukali usiokuwa na sababu za msingi, ana mtreat kila mtu kama anavyowatreat walimu wake... mimi siku moja nilimjibu kuwa usiongee na mimi kama unavyoongea na walimu wako mimi sio mwalimu huwezi kunifokea utakavyo. Maafisa elimu wa Dodoma wote hovyo tu isipokuwa wa Chemba, mzee mmoja very humble na ni msikivu sana.
Daaah hapa umesema kweli.. Yaani huyu ni tabu mnoo.... Tuna mradi tunafanya yaani kawa ni kipingamizi kikubwa sana... Mmmmh niishie hapa

Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom